Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 110182 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI UMMY AZINDUA TAWI LA CCM KATA YA USAGARA APOKEA WANACHAMA 50 PAPO HAPO

 Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ambaye pia ni  Mbunge wa Viti Malumu (CCM) mkoa wa Tanga akimkabidhi kadi ya CCM moja ya wanachama wapya waliojiungana chama hicho...

View Article



Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZUHURA MAGANGA ATWAA KWA KISHINDO NAFASI YA UWENYIKITI TAPSEA

Mwenyekiti wa Chama cha Makatibu Mahsusi Tanzania (TAPSEA), Zuhura Maganga (katikati) akishangilia sambamba na wanachama wenzake wa TAPSEA baada ya kutangazwa mshindi katika uchaguli wao uliofanyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATAALAMU WA NISHATI, REA, TANESCO WAKAGUA MIRADI YA REA MOROGORO

Wataalam kutoka Wizara ya Nishati, Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wamefanya ziara katika vijiji vya Mandera, Mtego wa Simba na Kibaoni vilivyopo mkoani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shindano la utunzi wa hadithi la Andika Challenge lazinduliwa

Na Mwandishi wetuTAASISI ya Dr Ntuyabaliwe imezindua shindano la Andika Challenge kwa watoto wa shule za msingi manispaa ya Kinondoni wenye lengo la kuibua vipaji vya watoto katika kubuni na kutunga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanawake wajipumzisha Kunduchi, wasema wanastahili kupumzika

WANAWAKE wamama wanastahili kupewa nafasi na jamii kupata muda wa kupumzika na kufurahia maisha kutokana na wao kuwa wafanyakazi wa mwaka mzima.Kauli hiyo imetolewa na mwandazi wa siku ya wamama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIMIYU YAWAHAKIKISHIA WADAU UPATIKANAJI WA MIUNDOMBINU MUHIMU UWANJA WA NANENANE

Na Stella Kalinga, SimiyuMkoa wa Simiyu umewahakikishia wadau wote wa Nanenane mwaka 2018 upatikanaji wa miundombinu muhimu hususani miundombinu ya maji, umeme na barabara katika Uwanja wa Maonesho ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DR. SHEIN AZINDUA TAWI LA CCM FUONI MICHENZANI

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein  akifungua pazia kuashiria kulifungua Tawi jipya la CCM Fuoni Michenzani hafla...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATAALAM NISHATI, REA, TANESCO WAKAGUA MIRADI YA REA MOROGORO

Wataalam kutoka  Wizara ya Nishati, Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wamefanya  ziara katika vijiji vya Mandera, Mtego wa Simba na Kibaoni vilivyopo mkoani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI JANUARI AZUNGUMZIA SOMO LA MUUNGANO BUNGENI, AAHIDI KUWASILIANA NA...

Na Ripota Wetu, Globu ya jamiiWAZIRI  wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais,Muungano na Mazingra Januari Makamba amesema watawasiliana na Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia kuangalia namna ya kupandisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAHAKAMA KUU YAMTOA LULU GEREZANI, YAMRUDISHA NJE

Na Ripota Wetu, Globu ya jamiiMAHAKAMA Kuu ya Tanzania imetoa amri ya muigizaji Elizabeth Michael maarufu kwa jina la Lulu ambaye alihukumiwa kifungo cha miaka miwili jela sasa atumikie adhabu hiyo kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI LA MAGEREZA LAFAFANUNA KUHUSU KUBADILISHIWA KIFUNGO CHA NJE MFUNGWA...

View Article

WANANCHI WA KIJIJI CHA MKASALE WILAYANI TUNDURU WAMSHUKURU RAIS.

Wananchi wa kijiji cha MKASALE katika TARAFA YA NAMASAKATA wilayani TUNDURU mkoani RUVUMA wameishuru serikali ya awamu ya tano kwa kuwajengea kituo cha afya ambacho kitaweza kuhudumia wakazi zaidi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

mabingwa wa Ligi Kuu Tanzaniana Bara 2018 Simba SC watembelea Bungeni Jijini...

 Sehemu ya wachezaji wa timu ya Simba Sports Club wakifuatilia mjadala wa kipindi cha maswali na majibu wakati mabingwa hao wa Ligi Kuu Tanzaniana Bara 2018 walipotembelea Bungeni leo Jijini Dodoma kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIAKA 70 YA NAKBA YA WANANCHI WA PALESTINA

Taifa letu la Palestina  linaadhimisha kumbukumbu ya miaka 70 ya Nakba (janga), likiendeleza mapambano kabambe ya kurudisha haki zake thabiti za kizalendo, kuondoa athari na matokeo yake ambayo bado...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA YATINGA FAINALI MASHINDANO YA KOMBE LA DUNIA LA WATOTO

Mashindano ya Kombe la Dunia la Watoto wa kike yameendelea tena leo mjini Moscow nchini Urusi katika uwanja wa klabu ya Lokomotive, ambapo michezo ya nusu fainali ilichezwa wakati Tanzania ikipambana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YALIYOJIRI LEO BUNGENI MJINI DODOMA LEO

 Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Najma Giga akiongoza kikao cha ishirini na nane cha mkutano wa 11 leo Jijini Dodoma. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mradi wa Maji Kimbiji na Mpera Kuwanufaisha Wananchi

Frank Mvungi- MAELEZO, DodomaMradi wa maji wa Kimbiji na Mpera kuanza kuwanufaisha Wananchi baada ya kukamilika kwa awamu ya pili ambayo itahusu ujenzi wa miundombinu ya kusambaza maji ambapo utaanza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania Yaanza Maandalizi Ya Kuridhia Mkataba wa Kupambana na Silaha za...

Na Frank Mvungi- MAELEZOSerikali Kuridhia mkataba wa kupambana na silaha za  baolojia na sumu mara baada ya taratibu kukamilika kufikia mwezi Septemba 2018 ambapo  waraka wa mapendekezo ya kuridhia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania Health Summit yachangia Milion Moja ya UpasuajI wa mtoto

 Baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wa    Tanzania Health Summit wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kukabidhiwa mfano wa  hundi ya shilingi milioni moja fedha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HALMASHAURI ZATAKIWA KUJIBU HOJA ZA UKAGUZI KWA WAKATI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mheshimiwa Selemani Jafo amewaagiza wakurugenzi wote nchini kujibu hoja za wakaguzi kwa wakati ili kupunguza hati Chafu na Mashaka kwa...

View Article
Browsing all 110182 articles
Browse latest View live




Latest Images