Kamati ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa yakagua ujenzi wa shule za...
Angela Msimbila, Kagera.Kamati ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa imeipongeza Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dk. John Pombe Magufuli kwa kazi kubwa na nzuri inayoifanya ya kuzijenga upya...
View ArticleWAZIRI KIGWANGALLA AKABIDHI MAGARI KWA HALMASHAURI 6 KUKABILIANA NA UJANGILI
WAZIRI wa Maliasili na Utalii,Dk.Hamisi Kigwangalla amekabidhi magari kwa Halmashauri 6 kwa ajili ya kupambana na vita dhidi ya ujangili.Magari hayo amewakabidhiwa Wabunge leo katika ofisi za Makao...
View ArticleWAZIRI KIGWANGALLA AKABIDHI MAGARI KWA HALMASHAURI 6 KUKABILIANA NA UJANGILI
WAZIRI wa Maliasili na Utalii,Dk.Hamisi Kigwangalla amekabidhi magari kwa Halmashauri 6 kwa ajili ya kupambana na vita dhidi ya ujangili. Magari hayo amewakabidhiwa Wabunge leo katika ofisi za Makao...
View ArticleUjenzi wa jengo la maabara kwa Shule ya Sekondari Bulekela wilayani kishapu...
Na Robert Hokororo, Ofisi ya MkurugenziWanafunzi wa kike wameaswa kutokuwa bidhaa rahisi kwa kuepuka kurubunika na kujiingiza katika mapenzi hali inayoweza kuwasababisha kupata maradhi na mimba kabla...
View ArticleRC DKT. KEBWE AZINDUA BODI YA PAROLE YA MKOA WA MOROGORO
Na John Nditi, MorogoroMKUU wa Mkoa Morogoro Dk Kebwe Stephen Kebwe amezindua bodi ya parole na kuvitaka vyombo vinavyoshughulikia HAKIJINAI kuendelea kutoa ushirikiano wa karibu kwa Jeshi la...
View ArticleSAFARI YA MWISHO YA ALIYEKUWA MWANDISHI WA HABARI WA GAZETI LA MAJIRA...
Baadhi ya vijana wa Umoja wa vijana wa Chama cha Mapinduzi(UVCCM)wilaya ya Mbinga wakishusha jeneza lenye mwili wa marehemu Kassian Nyandindi aliyekuwa mwandishi wa Habari wa Gazeti la Majira na...
View ArticleDED MBINGA ATUMBUA WATUMISHI 10 WA IDARA YA AFYA
Na Mwandishi Wetu MbingaMKURUGENZI Mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma Gombo Samandito,amewasimamisha kazi watumishi kumi wa idara ya Afya akiwemo mganga mkuu wa halmashauri hiyo...
View ArticleIFM imeaswa kushirikiana na wadau mbalimbali katika kutoa elimu ya bima- Dk....
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiSERIKALI imekitaka Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) kushirikiana na wadau mbalimbali katika kutoa elimu ya bima ili kuweza kuongeza pato la taifa pamoja na ukuaji wa...
View ArticleKAMPUNI YA HUSEA YAUNGA MKONO KAULI YA RAIS MAGUFULI YA KUHAMISHA SHUGHULI ZA...
KAMPUNI ya Mipango Miji na Vijiji inayotoa ushauri elekezi kuhusu ardhi (HUSEA), imeunga mkono kauli ya Rais Dk. John Magufuli ya kuhamishia shughuli za mipango miji na kuzipeleka wizarani badala ya...
View ArticleLUKUVI ATATUA MGOGORO MKONGWE WA ARDHI SOMJI- BOKO JIJINI DAR
Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamiiWAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Willium Lukuvi ametatua mgogoro mkongwe wa ardhi huko Boko kata ya Dovya maarufu kama kwa Somji jijini Dar es...
View ArticleHakutakuwa na Upungufu wa Sukari- Dkt Tizeba
Serikali imeagiza sukari kiasi cha tani 70,354.35 kutoka nchi za nje lengo likiwa ni kujipanga ili kuhakikisha kuwa hapatokei upungufu wa bidhaa hiyo hapa nchini.Akizungumza na vyombo vya habari hivi...
View ArticleAGAPE YAENDESHA KONGAMANO KWA WANAFUNZI SHULE 8 ZA KATA YA USANDA SHINYANGA
Shirika la Agape AIDS Control Programme (AACP) limeendesha kongamano kwa wanafunzi 120 kutoka shule nane zilizopo katika kata Usanda halmashauri ya wilaya ya Shinyanga (Vijijini) kwa lengo la...
View ArticleJAFO AFURAHISHWA NA MRADI WA MACHINJIO JIJI LA MWANZA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Selemani Jafo amewapongeza viongozi wa mkoa na jiji la Mwanza kwa kuboresha machinjio ya Kisasa ndani ya jiji hilo. Jafo...
View ArticleMGODI WA MGONGO GOLD MINE WAWAOKOA WANAFUNZI 99 WANAOSOMEA CHINI YA MITI IRAMBA
Na Jumbe Ismailly IRAMBAWANAFUNZI 99 wa darasa la awali katika shule ya msingi Kibululu,kata ya Mgongo,tarafa ya Shelui,wilayani Iramba,Mkoani Singida wanasoma wakiwa wamekaa chini ya miti huku...
View ArticleKUWAIT NA TAASISI YA WAMA ZATIA SAINI MKATABA WA KUWASAIDIA WALEMAVU
Balozi wa Kuwait nchini Tanzania, Jasem Al-Najem na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Mama Salma Kikwete, Jumamosi Mei 12 2018, walitiliana saini mkataba wa ushirikiano kwa ajili...
View ArticleDC GAIRO AAGIZA WACHIMBAJI MADINI WASIO NA LESENI KUSIMAMISHA UCHIMBAJI MARA...
Mkuu wa Wilaya ya Gairo, Mhe. Siriel Mchembe akiwa na kamati ya Ulinzi na Usalama mara baada ya kutembelea sehemu ya migodi inayochibwa kinyemela na wachimbaji wasiokuwa na leseni. Moja ya mashine...
View ArticleWAZIRI KIGWANGALLA AMTEUA MISS JOURNALISM TANZANIA 2018 KUWA BALOZI WA UTALII...
Na Hamza Temba-WMU-DodomaWaziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla amemteua mshindi wa taji la Miss Journalism Tanzania, 2018, Witness Teddy Kavumo (21) kuwa balozi wa utalii wa Pori la...
View Article
More Pages to Explore .....