MAPATO YA UTALII YAONGEZEKA HAPA NCHINI
Na Mahmoud Ahmad DodomaImeelezwa kuwa Ukuaji wa sekta ya utalii hapa nchini, umedhihirika mapato yatokanayo na utalii kuongezaka kutoka Dola bilioni 1.7 mwaka 2012 hadi kufikia Dola bilioni 2.2 mwaka...
View ArticleJUMIA YATOA SAMSUNG S9 NA S9+ KWA WATEJA WAKE
JUMIA imekabidhi simu mbili za Samsung Galaxy S9 na S9+ kwa wateja wake wawili ambao waliibuka washindi kupitia zoezi la kusaka simu kwenye mtandao wao (Treasure Hunt) kupitia kampeni ya ‘Mobile Week.’...
View ArticleCOASTAL UNION YAMKABIDHI TUZO YA HESHIMA WAZIRI UMMY WA KUISAIDIA KURUDI LIGI...
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga (CCM) kushoto akipokea tuzo ya heshima ya kutambua mchango wake kwa kuipandisha...
View ArticleWataalam Wawasilisha Usanifu Wa Awali Wa Kiwanja Cha Ndege Cha Kimataifa Cha...
Wahandisi Kamel Fazhani (kulia) na Marrarchi Walis (kushoto) wa Kampuni ya Studi ya Tunisia wakiwasilisha usanifu wa awali wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato Dodoma leo katika ukumbi wa...
View ArticleWatanzania Jiungeni Na NHIF Kabla Ya kuugua- Makinda
Na Grace Michael, DodomaWATANZANIA wametakiwa kujenga utamaduni wa kuwa na bima ya afya kabla ya kuugua ili kuepukana na usumbufu wa kutafuta au kutumia gharama kubwa za matibabu wakati wanapopatwa na...
View ArticleIGP SIRRO AWAPA SOMO WASTAAFU POLISI.
Na. Jeshi la Polisi. Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amewaasa Makamishna wastaafu wa Polisi kuendelea kukabiliana na uhalifu wawapo uraiani baada ya kustaafu utumishi wa Polisi kwa kuwa...
View ArticleWatanzania jiungeni na NHIF kabla ya kuugua - Makinda
Mwenyekiti wa Bodi ya NHIF, Anne Makinda akisalimiana na mmoja wa wananchi waliokuwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa.Na Grace Michael, Dodoma WATANZANIA wametakiwa kujenga utamaduni wa kuwa na bima...
View ArticleDkt Kalemani azindua Baraza la Kwanza la Wizara ya Nishati
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amezindua Baraza la Kwanza la Wizara ya Nishati na kutoa maagizo mbalimbali kwa Watendaji wa Wizara na Taasisi ili Sekta ya Nishati iendelee kuwa injini katika...
View ArticleTFF YAWAONDOA WAAMUZI WAWILI ORODHA YA WAAMUZI WA LIGI YA MABINGWA WA MKOA
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania(TFF) limewaondoa Waamuzi wawili kwenye orodha ya Waamuzi wa Ligi ya Mabingwa wa Mikoa(RCL) inayoendelea kwenye vituo vinne vya Geita,Singida,Rukwa na...
View ArticleSPIKA NDUGAI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA KATIBU MKUU SEKRETARIETI YA NCHI ZA...
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na mgeni wake Katibu Mkuu wa Sekretarieti ya Nchi za Ukanda wa Maziwa Mkuu Mhe. Onyango kakoba (kulia) alipomtembelea leo Ofisini kwake Mjini...
View ArticleWATUMISHI WA OFISI WAZIRI MKUU WAPEWA MAFUNZO YA KUZIMA MOTO
Mtumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Ruth Mwasakafyuka akizima moto katika mafunzo ya kuzima moto kwa kutumia kifaa rasmi cha kuzima moto yaliyoendeshwa na Maofisa wa Kikosi cha Zimamoto cha jijini Dodoma...
View ArticleWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKUTANA NA ASKOFU MKUU WA EAGT DKT. MWAKIPESILE
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Askofu Mkuu wa Kanisa la EAGT, Dkt. Brown Mwakipesile, Ofisini kwa Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, Mei 12, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
View ArticleBODI YA MIKOPO YAFAFANUA KUHUSU UMILIKI WA LESENI ZA BIASHARA KWA WAZAZI SIO...
Tunapenda kutoa ufafanuzi kuhusu taarifa zisizo za kweli zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa waombaji wa mikopo ambao wazazi wao wanamiliki leseni za biashara hawatapata mikopo ya elimu ya juu...
View ArticleMakhtar Diop Takes Up Role as Vice President for Infrastructure
After six years as the World Bank's Vice President for Africa where he oversaw the delivery of a record-breaking $70 billion to Sub-Saharan Africa to help tackle key development challenges, Makhtar...
View ArticleJAFO AAGIZA UJENZI KITUO CHA AFYA BWANGA UKAMILIKE NDANI YA MWEZI MMOJA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI)Selemani Jafo ametoa mwezi mmoja kwa Mhandisi wa Ujenzi wa Halmashauri ya Chato mkoani Geita kusimamia ipasavyo na...
View ArticleWILAYA YA MADABA YAJA NA MIKAKATI MADHUBUTI YA KUBORESHA KIWANGO CHA ELIMU.
Halimashauri ya wilaya ya MADABA mkoani Ruvuma imeadhimia kuandaa mikakati madhubuti ya kuboresha kiwango cha elimu katika shule za msingi na sekondari ikiwemo kuboresha miundombinu ya elimu pamoja na...
View ArticleWataalam wawasilisha usanifu wa awali wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha...
Wahandisi Kamel Fazhani (kulia) na Marrarchi Walis (kushoto) wa Kampuni ya Studi ya Tunisia wakiwasilisha usanifu wa awali wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato Dodoma leo katika ukumbi wa...
View Article
More Pages to Explore .....