BAADA YA KUONDOLEWA WETCU URAMBO, KALIUA KUANZISHA CHAMA CHAO KIKUU CHA USHIRIKA
NA TIGANYA VINCENTHATIMAYE wanachama wa Chama Kikuu cha Ushirika wa Tumbaku (WETCU) mkoani Tabora kwa kauli moja wameridhia kuganishwa kwa Chama Kikuu cha Ushirika kwa ajili ya kuchukua Wilaya za...
View ArticleMobisol na StarTimes kuleta shangwe za Kombe la Dunia vijijini
Wapenzi wa Soka vijiji kufurahia michuano ya Kombe la dunia mwaka huu. Hii ni kutokana na Kampuni ya Star Times ambayo ina mkataba hapa nchini wa kutangaza mashindano ya Kombe la Dunia la FIFA 2018,...
View ArticleRAIS DK. SHEIN AFANYA MKUTANO WA MABALOZI WILAYA YA DIMANI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (wa pili kushoto) Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Magharibi Kichama Mohamed Rajab...
View ArticleWATUMISHI WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO WATAKIWA KUUNGA MKONO MAENDELEO YA...
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Isdor Mpango, amewataka Watumishi wa Wizara hiyo kuongeza ukusanyaji wa mapato na kusimamia nidhamu ya matumizi ya Fedha za Umma ili kuijengea Serikali uwezo wa...
View ArticleMPANGO WA MATIBABU KUPITIA CHF ILIYOBORESHWA KUANZA KARIBUNI
*Katibu wa afya Dar, Wizara wazungumzia mafunzo waliyotoa kwa watumishi ili kuufanikisha mpango huoNa Said Mwishehe, Globu ya jamiiMPANGO wa matibabu ya afya kupitia utaratibu wa Mfuko wa afya wa...
View ArticleYALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akisisitiza jambo leo Bungeni Jijini Dodoma mara baada ya kipindi cha maswali na majibu . Naibu Waziri wa Mali Asili na Utalii Mhe....
View ArticleJIJI LA DAR ES SALAAM SASA LADAIWA BILIONI 47 NA NSSF KWA MACHINGA COMPLEX
Kwa habari zaidi BOFYA HAPA
View Articlediamond platunumz show in chicago - save the date!
Hello CHICAGO AND ITS VICINITYYou heard if from the man himself "SAVE THE DATE"Diamond Platnumz aka "SIMBA" A Boy From Tandale USA Tour will be live in CHICAGO On Friday JULY 6TH 2018.This is gonna be...
View ArticleMUHAS MLOGANZILA WAZINDUA HUDUMA ZA KUSAFISHA DAMU KWA WAGONJWA WA FIGO
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Mpoki Ulisubisya ambaye alikuwa mgeni rasmi (wa tatu toka kushoto) na Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na...
View ArticleWASATU ILIVYOVIMBA BIRMINGHAM , UINGEREZA, KUSAIDIA VIGOLI BONGO, APRIL 28
PICHA NA HABARI Za Freddy Macha Jumuiya ya Wasanii Watanzania Uingereza (WASATU) ilichemsha supu, ukumbi wa Heartlands , Birmingham, Uingereza Jumamosi iliyopita. Makutano haya yalikuwa pia sehemu ya...
View ArticleTAHADHARI NA WEZI WA MITANDAO, UKILETEWA KANYABOYA HII IFUTE HARAKA
Ndugu wadau,Endapo utaletewa ujume wa aina hii kwa account yako ya Instagram jua kuwa ni wezi wa mtandao na usifuate agizo lolote watalokuelekeza, nia yao kuu ni kukuibia account yako. Toka lini...
View ArticleCHUO KIKUU MZUMBE CHAJADILI SEKTA ISIYO RASMI
LICHA ya kuchangia asilimia 35 katika pato la taifa, bado sekta isiyo rasmi haijapewa uzito unaostahili kwa kutoshiriki ipasavyo kwenye hifadhi za jamii.Hayo yalisemwa Dar es Salaam na Mhadhiri wa Chuo...
View ArticleWAZIRI WA MAMBO YA NJE NCHINI UJERUMANI ATEMBELEA TAASISI ZA UN TANZANIA
Waziri wa Mambo ya nje wa Ujerumani Heiko Maas akiwasili katika katika Taasisi ya Umoja wa Mataifa (UN) ya kushughulikia Masuala yaliyoachwa na Mahakama za jinai za umoja wa mataifa zilizoko eneo...
View ArticleWAKULIMA NJOMBE WAFURAHIA MBEGU BORA YA MUHOGO WAWASHUKURU WATAFITI SERIKALI
Na: Calvin Edward Gwabara-Njombe.Wakulima Mkoani Njombe wamewashukuru watafiti na Serikali kwa kuwezesha kupatikana kwa mbegu bora za muhogo ambazo zinauwezo wa kustawi kwenye maeneo ya baridi hasa...
View ArticleBalozi Seif awataka wananchi kuchangia damu
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema wakati umefika kwa kila Mwananchi mwenye sifa za uchangiaji damu kuanzia umri wa Miaka 18 hadi 65 uzito wa Kilogram 50 ajitokeze...
View Article
More Pages to Explore .....