Kind reminder: Haba na Haba Dance Festival Start on Friday, 11th - 12th May 2018
Dear Friends and Partners,Haba na Haba team would like to take this opportunity to give you a kind reminder for our coming HABA NA HABA – DAR ES SALAAM INTERNATIONAL DANCE FESTIVAL MAY 2018, to be...
View ArticleJAFO AITAKA MANISPAA YA UBUNGO IJITATHMINI
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Selemani Jafo ameitaka manispaa ya Ubungo ijitathimini katika usimamizi wa mapato na utekelezaji wa miradi ya maendeleo....
View ArticleSITAKI UKANJANJA KATIKA UJENZI WA STENDI YA MABASI MBEZI LUIS - WAZIRI JAFO
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Selemani Jafo amewaonya watu ambao ni makanjanja wa miradi ya maendeleo kwamba hatasita kuwachukulia hatua kali za kisheria...
View ArticleTANZANIA YATAJWA KUWA BUSTANI YA EDEN NA CHIMBUKO LA MWANADAMU WA KALE DUNIANI
Hatimaye utata uliokuwa ukiendelea duniani kwa watafiti wa mambo ya kale kuhusiana na mahali mwanadamu wa kwanza alipotokea umemalizika baada ya jopo la wataalam liloundwa na Wizara ya Maliasili na...
View ArticleWananchi MBEYA watakiwa kufanya mazoezi
Taasisi ya Mo Dewji imekuwa miongoni mwa wadhamini ambao kwa kushirikiana na Taasisi ya Tulia Trust wamewezesha kufanyika Tulia Marathon 2018, ikiwa ni mara ya pili kufanya hivyo baada ya mbio za mwaka...
View ArticleMASHINDANO YA SIRRO CUP KUANZA KUTIMUA VUMBI KIBITI
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akimkabidhi mpira mmoja wa Viongozi wa timu zinazoshiriki mashindano ya Sirro Kibiti mwaka 2018 katika uwanja wa Samora Kibiti wakati wa uzinduzi wa...
View ArticleWorld Bank launches trainings on new Environmental and Social Framework (ESF)
DAR ES SALAAM, May 8, 2018 - Workshops to support the implementation of the new World Bank Environmental and Social Framework (ESF) kicked off today in Dodoma.The workshops, which will take place over...
View ArticleMkazi wa Zanzibar ashinda bidhaa zenye thamani ya Tsh. milioni 1 kutoka Jumia
Mkazi wa visiwani Zanzibar, Bi. Patricia Philipo amejishindia vyombo vya ndani vyenye thamani ya shilingi milioni moja kutoka Jumia kupitia kampeni iliyokuwa ikiendeshwa kwa jina la ‘Big Home Makeover’...
View ArticleNG'UMBI AVISHWA RASMI CHEO CHA BRIGEDIA JENERALI
Na Ripota Wetu, Globu ya jamiiBALOZI wa Tanzania nchini China Mbelwa Kairuki kwa niaba ya Makao Makuu ya Jeshi amemvisha rasmi Kanali R.C Ng’umbi cheo kipya cha Brigedia Jenerali.Brigedia Jenerali...
View ArticleCSI WAHIMIZA USHIRIKIANO ILI KUPUNGUZA VIFO VITOKANAVYO NA UZAZI, WAELEZEA...
Na Said Mwishehe, Globu ya jamiiSHIRIKA la Childbirth Survival International (CSI) limesema ipo haja kwa wakunga wote nchini kutoa huduma yenye heshima kwa mama mjazito ili ajifungue salama huku...
View ArticleHalmashauri ya Kishapu yakabidhi maabara kwa Shule ya Mangu
Na Robert Hokororo, Ofisi ya MkurugenziHalmashauri ya Wilaya ya Kishapu imekabidhi jengo la maabara kwa Shule ya Sekondari Mangu iliyopo Kata ya Shagihilu baada ya ujenzi wake kukamilika.Maabara hiyo...
View ArticleFAMILIA YALALAMIKA NYUMBA KUVUNJWA BILA KUFUATA SHERIA, WAMUOMBA MAKONDA...
Na Emmanuel Masaka, Globu ya jamii.Edith Max amemuomba Makonda kusaidia ili haki ipatikane na kufafanua nyumba yao imeporwa na moja ya taasisi na kisha kuiuza katika moja ya benki iliyopo nchini(jina...
View ArticleULEGA AZUNGUMZIA MRADI WA UMEME WA REA MKURUNGA,APONGEZA JUHUDI ZA...
Na Emmanuel Masaka,Globu ya jamiiNAIBU Waziri wa Mifugo Na Uvuvi ambaye pia ni Mbunge wa Mkuranga Aballah Ulega amekagua mradi wa Umeme vijijini(REA) Awamu ya 3 Union delta katika Vijiji viwil vya...
View ArticleChuo cha biashara cha Rungwe na Taasisi ya Yemco zimetiliana saini kuwajengea...
Na Karama Kenyunko, Blogu ya jamii.Chuo cha kimataifa cha Biashara na Ujasiriajari Rungwe na Taasisi ya Youth Empowerment and Mindset Change Organization (Yemco) leo zimetiliana saini mkataba wa...
View Article
More Pages to Explore .....