UTENDAJI KAZI CHUO KIKUU SUA WAMFURAHISHA RAIS MAGUFULI
Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamiiRAIS Dkt. John Magufuli leo Mei 7 ametembelea Chuo kikuu cha kilimo (SUA) katika kuhitimisha ziara yake akitokea mkoani Morogoro huku akielezea kufurahishwa na...
View ArticleRAIS DK. SHEIN AFANYA MKUTANO NA MABALOZI WA WILAYA YA AMANI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akiwahutubia Mabalozi wa Wilaya ya Amani Mkoa wa Mjini Kichama wakati...
View ArticleMAJAJI WAPYA 14 WAPATA MAFUNZO YA TEHAMA
Na Karama Kenyunko, blogu ya jamii JAJI Mkuu wa Mahakama ya Tanzania Ibrahimu Juma, amefungua mafunzo elekezi kwa majaji wapya 14 wa Mahakama Kuu nchini yenye lengo la kuwataka kufanya kazi kwa makini...
View ArticleMWALIMU WA SEKONDARI ALIYEMPA MIMBA MWANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI ACHUKULIWE...
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme ameagiza mwalimu wa sekondari aliyempa mimba mwanafunzi wa shule ya msingi achukuliwe hatua haraka iwezekanavyo.
View ArticleBei mpya za mafuta yatangazwa zanzibar
Na Mwashungi Tahir Maelezo 7-5-2018.Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma, Nishati na Maji Zanzibar ZURA imetoa taarifa juu ya bei za mafuta zitakazoanza kutumika rasmi kuanzia kesho siku ya Jumanne ya tarehe...
View ArticleUPANDE WA MASHTAKA WAAMRIWA KUTOA MAJIBU UPELELEZI WA KESI YA VIGOGO WA...
Na Karama Kenyunko blogu ya jamiiMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeutaka upande wa mashtaka katika kesi inayowakabili vigogo wawili wa uthamini wa madini ya Almasi wa Serikali kuwa hadi kufikia Mei...
View ArticleLeseni za madini kuanza kutolewa muda wowote
Greyson Mwase na Asteria Muhozya, MorogoroKatibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Profesa Simon Msanjila amesema kuwa zoezi la utoaji wa leseni kwa ajili ya utafiti, uchimbaji na biashara ya madini...
View ArticleRAIS VLADIMIR PUTIN WA URUSI AAPISHWA RASMI
Na Leandra Gabriel, Blobu ya jamiiRAIS Mteule wa Urusi Vladimir Putin wa Chama cha Independent ameapishwa kuwa Rais wa nchi hiyo baada ya kushinda Uchaguzi uliofanyika mapema Machi 18 mwaka huu.Rais...
View ArticleTaasisi za Fedha Zakopesha Shilingi Bil. 59.2 kwa Wananchi Kupitia Hati za...
Na: Frank Mvungi - MAELEZO, DodomaSerikali imesema kuwa Bilioni 59.2 zimekopeshwa na Taasisi za Fedha kwa wananchi kupitia hati za kimila katika maeneo mbalimbali hapa nchini.Akijibu swali la...
View ArticleYALIYOJIRI LEO BUNGENI JIJINI DODOMA
Waziri wa Viwanda Biashara na Uwekezaji Mhe. Charles Mwijage akisisitiza kuwa Serikali imejipanga kuhakikisha kuwa kuna kiwango cha kutosha cha mafuta ya kula hapa nchini hasa kipindi hiki cha...
View ArticleMAMIA YA WANAWAKE DAR WAPIMA SARATANI MLANGO WA KIZAZI, MATITI
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiMAMIA ya wanawake wa Mkoa wa Dar es Salaam wajitokeza kupima saratani ya mlango wa kizazi bure kutokana na uhamasishaji uliotolewa na muandaaji wa kipindi cha Ng’ari...
View ArticleRAIS DKT MAGUFULI ATEMBELEA CHUO KIKUU CHA KILIMO CHA SOKOINE MOROGORO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikaribisha maswali, maoni na ushauri toka kwa jumuiya ya Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) mkoani Morogoro alipofika na...
View ArticleJAN INTERNATIONAL YACHEZESA BAHATI NASIBU KWA WATEJA WAKE,MSHINDI AJISHINDIA...
Mkurugenzi wa Kampuni ya Jan International Sheikh Muhmmad akisoma moja ya tiketi ya mshindi wa Bahati Nasibu iliyochezeshwa na kampuni hiyo mbele ya wateja wao mapema mwisho mwa wiki Namanga,jijini...
View ArticleWATAKAO HUJUMU MIRADI YA ELIMU KUKIONA CHA MOTO.RC RUVUMA
Wilaya ya TUNDURU imefanikisha kukusanya kiasi cha zaidi ya shilingi milioni 600 kutoka kwa wakulima wa zao korosho,ambapo fedha hizo zitatumika katika kuboresha miundombinu ya elimu pamoja na...
View ArticleMJANE KARIAKOO AMUOMBA RAIS MAGUFULI AMSAIDIE KUPATA NYUMBA YAKE
*Adai nguvu ya fedha imesababisha adhulumiwe, sheria kupindishwaNa Ripota Wetu,Globu ya jamiiMKAZI wa Kariakoo jijini Dar es Salaam Rafika Hawa Sadick ambaye ni Mjane amemuomba Rais John Magufuli...
View ArticleJAN INTERNATIONAL YACHEZESHA BAHATI NASIBU KWA WATEJA WAKE,MSHINDI AJISHINDIA...
Mkurugenzi wa Kampuni ya Jan International Sheikh Muhmmad akisoma moja ya tiketi ya mshindi wa Bahati Nasibu iliyochezeshwa na kampuni hiyo mbele ya wateja wao mapema mwisho mwa wiki Namanga,jijini...
View Article
More Pages to Explore .....