Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 110031 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TPDC yawanoa viongozi wa dini kuhusu sekta ya mafuta na gesi asilia

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeendeleza utaratibu wake wa kutoa elimu zaidi juu ya sekta ya gesi asilia na mafuta kwa wadau mbalimbali safari hii ikiwa ni kwa viongozi wa dini...

View Article



Image may be NSFW.
Clik here to view.

Michezo ya UMISSETA na UMITASHUMTA kutumika kuibua vipaji vya wanamichezo nchini

Na Genofeva Matemu – WHUSMWaziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe amewataka walimu wa michezo nchini kutumia michezo ya UMISSETA na UMITASHUMTA kuibua vipaji kupitia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MAHIGA AFUNGUA OFISI YA UBALOZI WA TANZANIA, ISRAEL

Dkt, Mahiga afungua Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania, IsraelWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga amezindua rasmi ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Israel...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Airtel yaja na Fursa ya wekeza na Airtel Money Branch

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania kupitia Airtel money imedhamiria kuwakomboa Watanzania kwa kutoa ajira kwa kuanzisha ushirikiano wa uwekezaji na uendashaji wa maduka yake ya kisasa...

View Article

Serikali yafuta tozo saba kwenye mbegu ili kupunguza gharama za uzalishaji

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAFO AAGIZA MIFUMO YA KIELEKTRONIKI KATIKA VITUO VYOTE VYA AFYA 208...

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Selemani Jafo ameagiza kufungwa mifumo ya kielektroniki ya ukusanyaji wa mapato katika vituo vyote vya Afya 208...

View Article

RC RUVUMA ATOA SIKU SABA VYAMA VYA MSINGI KULIPA MAMILIONI KWA WAKULIMA WA...

Mkuu wa mkoa wa RUVUMA CHRISTINA MNDEME ametoa siku saba kwa vyama vya msingi vya chama kikuu cha ushirika (TAMCU) wilaya ya TUNDURU mkoani humo kuwalipa wakulima wa korosho milioni mia mbili ambazo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA DUNIA YATOA MAFUNZO YA SIKU MBILI KWA WATUMISHI WA UMMA JUU YA...

Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiMkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia kwa nchi za Tanzania, Malawi, Burundi na Somalia, Bela Bird leo amefungua warsha ya siku mbili kwa watalaamu na Watumishi wa Serikali...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASHIRIKI WA WAZO LA UBUNIFU WA TEKNOLOJIA YA MAPINDUZI YA KILIMO YA ABINBEV...

Washiriki wa wazo la ubunifu wa teknolojia ya mapinduzi ya kilimo ya ABINBEV na TBL Group wapigwa msasa Dar es Salaam Washiriki wa wazo la ubunifu la kuleta mapinduzi kwenye sekta ya kilimo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAPSEA KUFANYA MKUTANO MKUU ZANZIBAR

Na Ali Issa, Maelezo Zanzibar  Makatibu Mahsusi wa Taasisi za Serikali na Watu Binafsi Wametakiwa Kufanya Kazi zao Kwa Kufuata Sheria na maadili ya kazi hiyo kama zinavyo waelekeza ili kuleta ufanisi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Kuendelea Kuhakikisha Kuwa Pembejeo Zinawafikia Wakulima kwa Wakati

Frank Mvungi- MAELEZOSerikali imesema itaendelea Kuhakikisha kuwa Pembejeo za Kilimo zinawafikia Wakulima kwa wakati na kwa bei nafuu ili kukuza sekta ya Kilimo.Akijibu swali la Mbunge wa Mpanda Mjini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMANDA WA POLISI WAJINOA KUUKABILI UKATILI WA KIJINSIA

 Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP, Simon Sirro akizungumza wakati wa Mafunzo ya kuwajengea uwezo Mkamanda wa Polisi wa Mikoa ya Tanzania kuhusu makosa ya ukatili wa kijinsia. Mafunzo hayo ya siku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mwakyembe afungua Mashindano ya Kombe la Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi

Na Genofeva Matemu- WHUSMTimu za majeshi kupitia michezo mbalimbali zimetakiwa kuweka mikakati na kuibua wanamichezo wazuri ambao wataiwakilisha vyema nchi katika mashindano ya kimataifa na kuleta...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UZINDUZI WA COPA UMISSETA SINGIDA WAFANA

Mashindano ya Copa Umisseta ngazi ya mikoa yanaendelea ambapo yamezinduliwa mkoani Singida, katika uwanja wa Namfua ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Mkuu wa mkoa huo, Dk. Rehema Nchimbi, aliyemwakilisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA : NYUMBA ZA KANDO KANDO NA MTO ZINAONDOKA NA MAJI KILA MWAKA

 Kutokana na mvua za masika zinazoendelea kunyesha katika mikoa ya Dar es Salaam na Pwani zimekuwa zikisababisha baadhi ya nyumba zilizojengwa karibu na mito kuondoka na maji ya mvua kila mwaka kama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATUMISHI WANAWAKE ILALA WAANZA KAMPENI KUFANIKISHA UJENZI CHOO CHA MTOTO WA...

Na Said Mwishehe, Globu ya jamiiWATUMISHI Wanawake katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam wameamua kuanzisha kampeni maalumu ya ujenzi wa Choo cha mtoto wa kike kwa kuanza na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI UMMY – SERIKALI IMETENGA BILION TATU (3) KWA AJILI YA KUDHIBITI UKIMWI...

Dar es salaam: Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM) kwa kushirikiana na Tume ya kuthibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) ilizindua zoezi la upandaji wa mlima Kilimanjaro (Kili Challenge 2018), na kuendesha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASHINDANO YA HISANI YA MBIO ZA MBUZI KUENDELEA MWAKA HUU

Mashindano maarufu ya hisani ya mbio za mbuzi jijini Dar es salaam yanatarajiwa kuendelea mwaka huu. Baada ya tangazo la mwaka jana la kamati iliyokuwa ikiandaa mashindano hayo kuamua kusitisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msajili Baraza la Uuguzi Tanzania Aanza Kazi Rasmi, apokewa kwa shangwe

Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania, Bi. Agnes Mtawa leo ameanza kazi rasmi baada ya kukabidhiwa ofisi tangu alipoteuliwa kushika nafasi hiyo mwezi uliopita. Bi. Agnes Mtawa anachukua nafasi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA AVUTIWA NA CHUO CHA UFUNDI ARUSHA

Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Profesa Joyce Ndalichako(wa pili kulia)akimsikiliza Kaimu Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha(ATC),Dkt Masudi Senzia juu ya miradi ya upanuzi wa Chuo hicho inayoendelea...

View Article
Browsing all 110031 articles
Browse latest View live




Latest Images