TCCIA YAZINDUA HUDUMA YA TYM
Makamu wa Rais TCCIA Octavian Mshiu (katikati) akizundua huduma mpya ya TMY leo, kulia kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa TCCIA Gotfrid Muganda akifwatiwa na Patrick Emmunel Meneja Maendeleo ya Viwanda...
View ArticleMaamuzi ya Kamati ya Saa 72 kwa matukio mbalimbali ya mechi za Ligi Kuu
Kamati ya Usimamizi na Uendeshaji wa Ligi (Kamati ya Saa 72) ya Bodi ya Ligi katika kikao chake kilichopita ilipitia taarifa na matukio mbalimbali na kufanya uamuzi ufuatao;Mechi namba 171 (Njombe Mji...
View ArticleKONCEPT Yawajengea uwezo wa kujitambua wanafunzi wa kidato cha sita wa shule...
Mkurungezi Mtendaji wa KONCEPT Krantz Mwantepele akitoa nasaha kwa wanafunzi wa shule ya wavulana Kibiti Boys .Kongamano lililokutanisha wanafunzi wa kidato cha sita wa shule ya wavulana ya Kibiti Boys...
View ArticleRAIS DKT. MAGUFULI AWAONGOZA MAELFU YA WATANZANIA KATIKA SHEREHE ZA MIAKA 54...
Amiri Jeshi Mkuu, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa amesimama wakati akipigiwa wimbo wa Taifa kabla ya kwenda kukagua gwaride la heshima lililoandaliwa...
View ArticleTCCIA YAZINDUA HUDUMA YA TYM
Makamu wa Rais TCCIA Octavian Mshiu (katikati) akizundua huduma mpya ya TMY leo, kulia kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa TCCIA Gotfrid Muganda akifwatiwa na Patrick Emmunel Meneja Maendeleo ya Viwanda...
View ArticleWALIOKUBWA NA MAFURIKO DAR WAKUMBUKWA KWA MISAADA YA CHAKULA, MALAZI
Na Emmanuel Masaka,Globu ya jamiiMKOA wa Dar ea Salaam umeadhimisha miaka 54 ya Muungano kwa kutoa misaada ya chakula na malazi kwa familia zilizoathiriwa na mafuriko yaliyotokana na mvua zilizonyesha...
View ArticleMZEE MAJUTO KUPELEKWA NCHINI INDIA KWA MATIBABU
Na Cathbert Kajuna - Kajunason/MMG. Msanii mkongwe wa filamu za vichekesho nchini, King Majuto anatarajia kupelekwa nchini India kwa matibabu kutokana na tatizo linalomkabili. Akizungumza na waandishi...
View ArticleAIRTEL NA VETA WAUNGANA KUTOA MAFUNZO KUPITIA SIMU YA MKONONI
Na Leandra Gabriel, Blogu ya jamiiKATIKA kuadhimisha Siku ya kimataifa ya mtoto wa kike kampuni ya simu ya Airtel Tanzania sambamba na Chuo cha Mafunzo ya Ufundi(VETA), wamekuja na mbinu mpya ya kutoa...
View ArticleAfDB YARIIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA NISHATI YA UMEME INAYOFADHILIWA...
Na Benny Mwaipaja, WFM, DodomaRais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika-AfDB, Dkt. Akinumwi Adesina, amesema Benki hiyo imeridhishwa na utekelzaji wa miradi ya nishati hapa nchini kwani inachochea mageuzi...
View ArticleRAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS WA BENKI YA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Akinumwi Adesina mara baada ya kuwasili mjini Dodoma kwa ajili ya...
View ArticleSHEREHE YA MCHAPALO YA KUSHEREHEKEA MIAKA 54 YA MUUNGANO YAFANA WASHINGTON, DC
Balozi Mhe. Wilson Masilingi akisoma hotuba yake.aliyelezea mambo mbalimbali ikiwemo kuitangaza Tanzania katika maswala ya utalii ikiwemo uhusiano mzuri kati ya Tanzania na Marekani. Katika hotuba...
View ArticlePuma Energy Tanzania yajivunia ufanisi wa huduma ya mafuta iliyotoa kwa ndege...
AMPUNI ya mafuta ya Puma Energy Tanzania imejivunia ufanisi wa huduma ya mafuta iliyotoa kwa ndege kubwa aina ya Airbus 380 inayomilikiwa na Shirika la Ndege la Emirates iliyotua kwa dharura Uwanja wa...
View ArticleDC WA BUHIGWE AWAPONGEZA VIJANA KIGOMA KWA KUUENZI MUUNGANO
Na Rhoda Ezekiel Kigoma ,MKUU wa Wilaya ya Buhigwe Brigedia Jenerali Marko Gaguti amewapongeza Vijana wa Kigoma kwa kitendo walichokifanya cha kuuenzi Muungano wa Tanzania, kwa kuandaa mchezo wa...
View ArticleJAJI MKUU AONGOZA ZOEZI LA UPANDAJI MITI KATIKA KIWANJA CHA MAHAKAMA-DODOMA
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Juma, akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa upandaji miti, kulia ni Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi, kushoto ni Mhe. Ferdinand...
View Article
More Pages to Explore .....