RAIS DKT MAGUFULI AZINDUA JENGO LA PSPF PLAZA NA TAWI LA BENKI YA NMB MJINI...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipigiwa makofi na viongozi mbalimbali baada ya kufunua pazia kuashiria uzinduzi rasmi wa jengo la kitega uchumi la mfuko wa pensheni...
View ArticleTFDA,TBS WAINGIA MAKUBALIANO KUFANYA KAZI KWA PAMOJA KUELEKEA TANZANIA YA...
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiMAMLAKA ya Chakula na Dawa (TFDA),imeingia makubaliano ya miaka mitatu na Shirika la Viwango nchini (TBS) katika kufanya kazi kwa ushirikiano kuhakikisha wajasiriamali...
View ArticleRais Magufuli Aitaka Bodi ya NMB kuangalia Upya Gawiwo Linalotolewa kwa Serikali
Na: Lilian Lundo – MAELEZO, Dodoma.Rais Dkt. John Pombe Magufuli ameiagiza Bodi ya National Microfinance Bank (NMB) pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo kuangali kiasi cha gawiwo kinachotolewa...
View ArticleHappy birthday Sensei Fundi Rumadha
I wish you will receive all best things in the world in the coming years, and fulfil all your dreams. Wish you a very happy birthday my Sensei!- Ankal
View ArticleWater as an immediate energy solution for Tanzania
It is common knowledge that water sustains alllife on Earth and that nothing can be grown or survivewithout it. When used effectively, water can also provideclean electricityfor millions of people. In...
View ArticleWANAWAKE WA GAIRO WAUNGA MKONO JUHUDI ZA RAIS MAGUFULI KATIKA KUANZISHA VIWANDA
Mkuu wa Wilaya ya Gairo, Siriel Mchembe akipongezwa na mchungaji Canon Chamwenye wa kanisa Anglikana Msingisi mara baada ya kumaliza kuongea na akina mama juu ya kuanzisha kiwanda ili waweze kujikwamua...
View ArticleMafundi mitambo wa redio jamii watakiwa kutumia nafasi zao kuleta mabadiliko
Na Mwandishi wetuWashiriki wa mafunzo ya ufundi mitambo ya kurushia matangazo ya redio ambayo yameshirikisha mafundi kutoka redio jamii 25 zilizopo Tanzania Bara na Zanzibar wametakiwa kutumia vyema...
View ArticleRAIS MAGUFULI AUFAGILIA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF KWA UWEKEZAJI WENYE TIJA...
NA K-VIS BLOG/Khalfan Said, DodomaRAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, amefurahishwa na uwekezaji uliofanywa na Mfuko wa Pensheni wa PSPF wa kujenga jingo la kitegauchumi...
View ArticleWAZIRI MHAGAMA AMTAKA MSAJILI WA VYAMA KUCHUKUA HATUA KWA VYAMA VINAVYOKIUKA...
Waziri wa Nchi Ofisi anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama amemuagiza Msajili wa vyama vya Siasa kuchukua hatua kwa vyama vinavyokiuka sheria...
View Article
More Pages to Explore .....