Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 110000 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU MAJALIWA AKUTANA NA WABUNGE WA AFRIKA YA MASHARIKI...

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wabunge wa Bunge la  Afrika ya Mashariki wanaoiwakilisha  Tanzania, Ofisini kwake mjini Dodoma Aprili 23, 2018.  Kutoka kushoto ni Josephine Lemoyan,...

View Article



Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA BUNGE LA AFRIKA AKUTANA NA SPIKA NDUGAI PAMOJA NA WABUNGE WA BUNGE...

Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai (katikati) akizungumza na Rais wa Bunge la Afrika, Mhe. Roger Dang (wa pili kulia) alipomtembelea Ofisini kwake Mjini Dodoma. Wa pili kushoto ni Naibu Spika wa Bunge,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MZISIMAMIE NGOs ZIFANYE KAZI: MSAJILI NGOs

Na Anthony Ishengoma WAMJWMsajili wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali NGOs Marcel Katemba amewataka Wasajili Wasaidizi wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali nchini kuzisimamia NGOs ili zifanye kazi kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC TABORA AZINDUA CHANJO YA KINGA DHIDI YA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI

 Baadhi ya wanafunzi wa kike wa Shule za Msingi na Sekondari wakiwa katika maandamano ya kuunga mkono chanjo ya kinga dhidi ya saratani ya mlango wa kikazi iliyozinduliwa jana na Mkuu wa Mkoa wa Tabora...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA WADAU KATI YA SERIKALI, WAAJIRI PAMOJA NA SEKTA BINASFI KUHUSU...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUME YA KUREKEBISHA SHERIA TANZANIA YAMPONGEZA AGNES MGEYEKWA KUTEULIWA KUWA...

 Jaji wa Mahakama Kuu, Agnes Mgeyekwa akipokea ua kutoka kwa afisa Sheria wa Tume ya Kurekebisha Sheria Christina Binali kufuatia kuteuliwa kushika wadhifa huo. Mgeyekwa kabla ya kuteuliwa alikuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GLOBAL EDUCATION LINK WATOA USHAURI NASAHA WA KITAALUMA KWA WANAFUNZI ILI...

Na Said Mwishehe, Globu ya jamiiKAMPUNI ya Global Education Link imeamua kutoa ushauri nasaha wa kitaaluma kwa wanafunzi wa shule za sekondari mbalimbali nchini ili kuhakikisha wanafunzi wanafanikiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Pelum yafanya mdahalo kwa wakulima, kupunguza migogoro ya ardhi Morogoro...

  Mwenyekiti wa Halimashauri ya Wilaya ya Morogoro, Kibena Kimu ambaye ni mgeni rasmi wa kongamano la haki za ardhi wilaya ya Morogoro akizungumza na wadau wa ardhi kuashiria ufunguzi wa kongamano hilo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tigo and TECNO Team up to Provide the Best Digital Experience to Customers

TECNO Tanzania's Public Relations Manager, Eric Mkomoya (right) shows the new TECNO Camon X smartphone at the official launch of the 4G smartphone at the Tigo Tanzania offices in Dar es Salaam today....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri wa Afya azindua ugawaji wa vyandarua vyenye dawa ya muda mrefu Kigoma

Vyandarua Bure kwa Wajawazito na Watoto,atakaeuza kukionaWAZIRI Wa Afya maendeleo ya Jamiii jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ameagiza Waganga Wakuu Wa Mikoa,Wa Wilaya na Waganga Wafawidhi kuweka...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NIMERIDHISHWA NA MAADHALIZI YA SHEREHE ZA MUUNGANO-MAJALIWA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na maandalizi ya sherehe za miaka 54 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yanayoendelea katika Uwanja wa Jamuhuri mjini Dodoma.Ameyasema hayo leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wadau wa Sekta ya Filamu waomba Kanuni kali za kusimamia vibanda vya...

Na Genofeva Matemu – WHUSMWadau wa sekta ya Filamu nchini wameiomba bodi ya filamu kunao umuhimu wa kuongezea makali ya kikikanuni katika kusimamia vibanda vinavyoonyesha sinema nchini kwa kuzifanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nuclear isotopes help to sustain agriculture and good farming

The main goal of innovation and the development of new technologies is to make our lives better and safer. Technology can be regarded as a primary source of economic development and the various...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KWA HILI LA YANGA, BODI YA LIGI LAZIMA WAPANGUE TENA RATIBA

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.Kufuatia Yanga kuingia hatua ya makundi Kombe la Shirikisho barani Afrika ratiba ya ligi kuu iko mbioni kupanguliwa.Hilo linakuja baada ya Shirikisho la Soka Afrika CAF...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PUMA ENERGY TANZANIA YAZINDUA MAFUNZO MAALUM YA USALAMA BARABARANI KWA...

Na Ripota Wetu, Globu ya jamiiKAMPUNI ya Puma Energy Tanzania imezindua kampeni maalumu ya mafunzo ya usalama barabarani kwa wanafunzi wa shule za msingi kwa lengo la kueneza elimu hiyo kuanzia ngazi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WHO YAWAJENGEA UWEZO WATENDAJI WA TFDA NA WATALAAM WA DAWA KATIKA VIWANDA

Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiKAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), Agnes Kijo amesema ipo haja kwa wazalishaji wa dawa kuhakikisha wanazalisha dawa zenye ubora kwa kuzingatia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAFUNDI MITAMBO REDIO 25 ZA KIJAMII WATEMBELEA SHIRIKA LA UTANGAZAJI TBC...

MAFUNDI mitambo wa redio kutoka mikoa mbalimbali nchini wametembelea Shirika la Utangzaji Tanzania(TBC)kwa lengo la kupata mafunzo zaidi ili kuendelea kuboresha majukum yao kwa ufasaha.Wakiwa TBC...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AHUTUBIA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI (EALA) KATIKA UKUMBI WA...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki Martin Ngoga mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Bunge kwa ajili ya kuhutubia...

View Article

BBC DIRA YA DUNIA JUMANNE 24.04.2018

View Article

HABARI ZA UMOJA WA MATAIFA LEO APRILI 24, 2018

View Article
Browsing all 110000 articles
Browse latest View live




Latest Images