BENKI YA CRDB YAJITOSA KUKISAIDIA CHAMA CHA MAAFISA HABARI,MAWASILIANO NA...
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii ,Kanda ya Kaskazini .BENKI ya CRDB imeahidi kuendelea kukisaidia Chama cha Maafisa Habari ,Mawasiliano na Uhusiano Serikali na kwamba kufanya hivyo kutasaidia...
View ArticleWATUMISHI WA AFYA WAASWA KUJIEPUSHA VITENDO VYA RUSHWA SEHEMU ZAO ZA KAZI
NA WAMJW-DAR ES SALAAMWATUMISHI wa sekta ya Afya nchini wametakiwa kujiepusha na vitendo vya kutaka rushwa kutoka kwa wananchi wanapokuwa sehemu zao za kazi ili kuendana na maadili ya utumishi wa Umma....
View ArticleJAFO AAGIZA MAAFISA HABARI SERIKALINI KUINGIA KWENYE VIKAO VYA MAAMUZI
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.SERIKALI imeziagiza Halmashauri kuhakikisha Maafisa Habari wanaingia katika vikao vya maamuzi ili waweze kupata na kutoa habari sahihi huku...
View ArticleKAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA DKT. JUMA MALEWA AONGOZA KIKAO MAALUM KUJADILI...
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, Dkt. Juma Malewa akiongoza Kikao Maalum cha kujadili mikakati ya utekelezaji wa Jeshi la Magereza kujitosheleza kwa chakula.Wajumbe wa Kikao hicho ambao ni...
View ArticleWIZARA SABA KUKUTANA KUTATUA CHANGAMOTO ZA MAZINGIRA YA BIASHARA NA UWEKEZAJI...
Ofisi ya Waziri Mkuu chini ya Mpango wa Kuboresha Mazingira ya Biashara na Uwekezaji Nchini, imeamua kuzikutanisha wizara saba zinazohusika moja kwa moja na changamoto zinazopunguza ufanisi katika...
View ArticleMRISHO MPOTO AKOSHWA PROGRAMU YA UMILIKISHAJI ARDHI NCHINI,AKUTANA NA...
Msanii wa muziki wa asili, Mrisho Mpoto ambaye amekuwa kioo cha jamii kwa muda mrefu kutokana na kutoa nyimbo za kijamii zenye kuwataka wananchi kuwa wazalendo kwa kufanya kazi kwa bidii ili kujipatia...
View ArticleJAFO AWAAGIZA WAKUU WA MIKOA KUBUNI MIKAKATI YA KUONDOA TATIZO LA OMBAOMBA...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Selemani Jafo amewataka wakuu wa mikoa kubuni mikakati ya kuondoa tatizo la ombaomba mijini.Waziri Jafo aliyasema hayo...
View ArticleTwanga Pepeta waipania Tanga hatari
WAKALI wa muziki wa dansi nchini Tanzania, The African Stars Band, Twanga Pepeta 'Wazee wa Kisigino', wameipania vilivyo ziara yao ya Mkoa wa Tanga, wakisema wanakwenda kuonyesha makali yao halisi kwa...
View ArticleSERIKALI INA MTAZAMO WA KUIFANYA SEKTA YA MIFUGO NA UVUVI KUWA SEKTA YA...
Naibu Waziri wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdalah Hamis Ulega ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mkuranga ameiambia kamati ya kudumu ya Bunge ya Kilimo Mifugo na Maji kuwa, Serikali ina mpango wa...
View ArticleMsaga Sumu: Nakwenda Handeni kwa watu wa nguvu
NYOTA wa muziki wa singeli nchini, Suleiman Jabir 'Msaga Sumu', amesema anashukuru kwa kupata shoo katika wilaya ya Handeni mkoani Tanga, akisema kuwa anakwenda kwa watu wake wa nguvu kutokana na...
View ArticleViongozi Mkoa wa Iringa hamasisheni wananchi kutunza historia ya Ukombozi wa...
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe (aliyesimama) akizungumza na wananchi wa Lugalo alipotembelea mnara wa Lugalo walipozikwa Askari 300 wa kijerumani pamoja na...
View ArticleAWAMU YA TANO YA RAIS DKT. MAGUFULI YAWATUA NDOO WANANACHI WA GAIRO
Mkuu wa Wilaya ya Gairo, Mhe. Siriel Mchembe (wa kwanza kulia) na wageni wake kutoka Sweden wakishiriki msaragambo na wanawake wa Kata ya Chakwale kuchimba mtaro wa kutandaza mabomba ya Maji. Mhandisi...
View ArticleMAGARI 50 YA WAGONJWA YAGAIWA KWA HALMASHAURI.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Selemani Jafo, ameendesha zoezi la kugawa magari 50 ya wagonjwa aina ya Suzuki Maruti (Ambulances) kwa Mamlaka za Serikali...
View Article
More Pages to Explore .....