TUZO ZA SZIFF KUFANYIKA APRIL MOSI, STAA WA BEINTEHAA NDANI
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.Tuzo za Sinema Zetu International Film Festival (SZIFF) zinatarajia kufanyika April Mosi mwaka huu, huku msanii maarufu kutoka nchini India wa tamthilia ya Beintehaa...
View ArticleTUMEJIANDAA VILIVYO TAMASHA LA PASAKA CCM KIRUMBA APRILI 1-JOHN LISSU
*Awaambia wakazi wa Kanda ya Ziwa wafike kuona burudani, Msama awahakikishia usalama, maandalizi yamekamilikaNa Said Nwishehe,Globu ya jamiiMWANAMUZIKI maarufu wa nyimbo za Injili John Lissu amewaomba...
View ArticleRC TABORA: FICHUE RAIA WA KIGENI AMBAO WATAJIANDIKISHA KUPATA VITAMBULISHO...
NA TIGANYA VINCENTMKUU wa Tabora Aggrey Mwanri amewataka wakazi wa Wilaya ya Urambo kuwa makini kwa kutoa taarifa sahihi wakati wa zoezi la uandikishaji kwa ajili ya vitambulisho vya Taifa ili watu...
View ArticleBalozi wa Kuwait azuru Shule ya Sekondari ya Old Tanga
Balozi wa Kuwait nchini, Jasem Al-Najem amezindua kituo cha kompyuta katika Shule ya Sekondari ya Old Tanga ikiwa ni mwendelezo wa mradi ulioanzishwa na Ubalozi huo unaofahamika kwa jila la “KITUO CHA...
View ArticleABIRIA WANUSURIKA KIFO KUFUATIA KUPINDUKA KWA BASI LA KIMOTCO NDANI YA MTO
Basi la Kampuni ya Kimotco (pichani) lililokuwa likitoka Musoma,kwenda Arusha kupitia Mugumu,limepinduka katika mto unaodaiwa kuwa na viboko ndani ya hifadhi ya Taifa ya Serengeti.Mhifadhi Mkuu wa...
View ArticleRC MAKONDA AZINDUA WIKI YA MAJI KWA MKOA WA DAR ES SALAAM
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akizungumza na wenyeviti wa Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani pamoja na Wafanyakazi wa Dawasa ambao wameudhuria kwenye uzinduzi wa wiki ya maji kwa mkoa wa...
View ArticleTIDO MHANDO AELEZEA UBALOZI WA LULU TUZO ZA SZIFF.
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.Mkurugenzi wa Azam Media Tido Mhando amesema kuwa baada ya balozi wa Tuzo za Sinema Zetu internationa Film Festival Elizabeth Michael 'Lulu' kuhukumiwa kifungo cha...
View ArticleAZAM WAANZA MAANGAMIZI YA KUMUUA MTIBWA KOMBE LA FA
AZAM WAANZA MAANGAMIZI YA KUMUUA MTIBWA KOMBE LA FANa Zainab Nyamka,Globu ya Jamii.Kikosi cha Azam FC, kimeanzamaandalizi ya kuivaa Mtibwa Sugar huku Kocha Msaidizi wa timu hiyo, Idd Cheche akiahidi...
View ArticleTRC YANUNUA VICHWA 11 VYA KUVUTA MABEHEWA
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiCSHIRIKA la Reli Nchini (TRC) imeingia mkataba wa ununuzi vichwa vya trein 11 na kampuni ya Progress Rail Locomotives (PRL) ya Marekani ili kuweza kuongeza idadi ya...
View ArticleKAMATI YA BUNGE YA HUDUMA ZA JAMII YAVUTIWA NA MIRADI YA TASAF MKOANI SIMIYU.
NA ESTOM SANGA- BARIADI Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma za Jamii wamefanya ziara mkoani Simiyu na kuvutiwa na mafanikio yaliyopatikana katika utekelezaji wa Miradi ya Mfuko wa Maendeleo...
View ArticleTCRA:EPUKENI KUWEKA TAARIFA NYINGI ZINAZOWAHUSU KWENYE MITANDAO YA KIJAMII
Na.Vero Ignatus. ArushaMamlaka ya Mawasiliano Tanzania Katika kuadhimisha siku ya walaji duniani inayo adhimishwa kila mwaka machi 15,imetoa mafunzo kwa waalimu wanafunzi zaidi ya 300 katika chuo cha...
View ArticleKAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YATEMBELEA MGODI WA SEKENKE
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Kangi Lugola (katikati) akiwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira Mhe. Murad SadickA (Kushoto) na Mkuu wa Wilaya ya...
View ArticleKAMATI YA KUDUMU YA BUNGE MAMBO YA NJE YATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI MBALI...
Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mhe. Godfrey Zambi akizungumza na Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Mambo ya nje, ulinzi na usalama wakati wa kupokea na kujadili taarifa ya kamati ya ulinzi na usalama ya...
View ArticleTAGCO WAIKUMBUKA SHULE YA FAMILIA YA MZEE LAIBON MTO WA MBU MKOANI MANYARA.
Mwenyekiti wa Chama cha Maafisa Habari ,Mawasiliano na Uhusuano Serikalini (TAGCO) Pascal Shelutete akimkabidhi Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Laiboni iliyopo Mto wa Mbu mkoani Manyara ,Rashid Mohamed...
View ArticleBILIONI TANO KUKAMILISHA MIRADI YA MANISPAA YA KIGAMBONI
BILIONI tano kukamilisha miradi ya Manispaa ya Kigamboni ambayo ni Ujenzi wa Zahanati, kituo hc afya pamoja na ujenzi wa barabara ya kuelekea Daraja a Mwalimu Nyerere.Akifafanua kabla ya kuanza...
View ArticleWANAWAKE WATAKIWA KUCHANGAMANA HILI WAWEZE KUJIKWAMUA KIUCHUMI
Aliyekuwa Mkurugenzi wa Tantrade Tanzania,Jacqueline Maleko akizungumza wakati wa usiku wa Wanawake na tunzo kwa Mwanamke aliyefanikiwa kwa mwaka 2018 iliyoandaliwa na Tasisi ya Shangwe ambapo...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AFANIKISHA UCHANGIAJI UJENZI HOSPITALI YA MUHEZA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan jana aliwezesha kupatikana kwa shilingi bilioni moja na milioni mia saba kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya...
View ArticleDK.MWIGULU AWATAKA WANAFUNZI KUACHA KUTENGENEZA TAASWIRA MBAYA KWA SERIKALI
Na Ripota Wetu,Globu ya jamii.WAZIRI wa Mambo ya ndani, Dk.Mwigulu Nchemba amewataka wanafunzi kuachana na harakati za kutengeneza taswira mbaya za Serikali badala yake kuwa na mitazamo...
View Article
More Pages to Explore .....