WAKURUGENZI WASIOTENGA FEDHA ZA MIKOPO KWA WANAWAKE KUFIKIA JUNE KUTUMBULIWA
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu ametoa miezi mitatu kwa wakurugenzi wote nchini kuhakikisha wanatenga asilimia 4 za fedha za halmashauri kwaajili ya kuwapa...
View ArticleMKUTANO WA MPANGO KAZI WA WATAALAM WA MALARIA KUTOKA MAREKANI NA ZANZIBAR WAFANA
Na Faki Mjaka-Maelezo ZanzibarWataalamu wa maswala ya afya wametakiwa kutanua wigo katika Tafiti zao na wajikite zaidi katika tafiti za maradhi yatokanayo na vyanzo vya maji (Water born...
View ArticleHALMASHAURI YA WILAYA KONDOA KUJENGA HOSPITALI YAKE
Na Benny Mwaipaja, Kondoa.NAIBU Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Ashatu Kijaji, ameuagiza uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma kutenga fedha kwenye bajeti ya Mwaka ujao wa Fedha...
View ArticleTigo Yawakabidhi simu washindi 84 wa Promosheni ya Nyaka Nyaka Bonus
Kampuni inayoongoza kwa mageuzi ya kidigitali ya Tigo Tanzania, leo imewazawadia washindi 84 wapya wa promosheni ya Nyaka Nyaka Bonus simu aina ya Tecno R6 zenye uwezo wa 4G. Akikabidhi zawadi hizo...
View ArticleMCHENGERWA AZUNGUMZIA MAFANIKIO YALIYOPATIKANA JIMBONI KWAKE RUFIJI
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiMBUNGE wa Rufiji mkoani Pwani, Mohamed Mchengerwa amesema tangu amechaguliwa na wananchi kuwa mbunge wa jimbo hilo amefanikiwa kusukuma upatikanaji wa maendeleo na...
View ArticleMASHINDANO NDONDO CUP YAZINDULIWA RASMI
Na Agness Francis Globu ya jamiiMASHINDANO ya Ligi ya Ndondo CUF kwa mwaka 2018 yanatarajiwa kufanyika kwenye mikoa kadhaa nchini na tayari yamezindulwa rasmi leo huku ikielezwa maandalizi na fedha...
View ArticleRAIS MAGUFULI AFUNGUA TAWI LA BENKI YA CRDB CHATO MKOANI GEITA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akivuta utepe kuashiria ufunguzi wa Tawi jipya la Benki ya CRDB lililopo Chato Mkoani Geita. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
View ArticleZIMAMOTO YAWATEMBELEA WAATHIRIKA WA MOTO WA SOKO MBAGALA
Kamishna wa Operesheni wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji (CF) Billy Mwakatage, akiwapa pole Waathirika wa moto ulioteketeza vibanda vya Wafanyabiashara wa Soko la Nguo Mbagala Temeke Jijini Dar es...
View ArticleTAMASHA LA PASAKA WASHIRIKI WAZIDI KUMIMINIKA KANDA YA ZIWA, UPENDO NKONE NA...
Mmoja wa Waandaaji wa Tamasha la Pasaka 2018, Ufoo Saro akizungumza na waandishi wa habari juu ya maandalizi ya Tamsha hili ikiwa ni pamoja na kuwatambulisha waimbaji wengine waliweza kuungana kuleta...
View ArticleACT WAPATA PIGO ,VIONGOZI WA NNE NA WAFUASI 45 WATIMKIA CCM
Chama cha ACT Wazalendo wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma , kimepata pigo baada ya viongozi wake wa nne na wafuasi 14 ambao ni wananchama kuhamia Chama tawala Chama cha Mapinduzi (CCM). Viongozi hao...
View ArticleMBUNGE HAWA MCHAFU AWAASA WANAJAMII KUJIEPUSHA NA VITENDO VIOVUhab
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.Mbunge wa Viti Maalum Mkoani Pwani Hawa Mchafu amewataka wanajamii wote kudumisha amani na kujiepusha na vitendo viovu ikiwa ni pamoja na uhalifu, ubakaji, matumizi ya...
View ArticleVIJANA WA BAGAMAYO TEMBEENI KIFUA MBELE KUMSEMEA RAIS MAGUFULI -MWENYEKITI WA...
NA ELISA SHUNDA-BAGAMOYO.WANACHAMA wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) wa Wilaya ya Bagamoyo wametakiwa kutembea kifua mbele huku wakijiamini na kuwaelezea vijana wenzao miradi mbalimbali...
View ArticleKLNT holds 3rd Tanzania National Prayer Breakfast meeting in Dodoma
KLNT holds 3rd Tanzania National Prayer Breakfast meeting in Dodoma Kingdom Leadership Network Tanzania (KLNT) in partnership with the Committee of Union of Churches Dar es Salaam, hosted its 3rd...
View ArticleMAVUNDE AHAMISHIA OPERESHENI KUWABAINI WAAJIRI WANAOKIUKA SHERIA ZA KAZI...
OPERESHENI ya nchi nzima kuwabaini waajiri ambao hawatekelezi sheria ya ajira na mahusiano kazini na wale ambao bado hawajajisajili na Mfuko wa Fidia Kwa Wafanyakazi, (WCF), inayoongozwa na Naibu...
View ArticleBRIGEDIA JENERELI MSTAAFU AONGOZA MAZISHI YA KABURU KIGOMA
Na Rhoda Ezekiel, Kigoma MKUU wa Mkoa wa Kigoma Brigedia Jenerali mstaafu Emanuel Maganga amewaongoza mamia ya wakazi wa viongozi wa Serikali na vyama vya siasa katika mazishi ya aliyekuwa mwanasiasa...
View ArticleWANAOTAKA KUUZA FIGO ILI WAPATE FEDHA SASA WAPIGWA MARUFUKU
*Rais Chama cha Madaktari bingwa wa figo atoa sababu, atoa ushauri kwa WatanzaniaNa Said Mwishehe, Globu ya JamiiCHAMA cha Madaktari Bingwa wa magonjwa ya figo Tanzania kimepiga marufuku biashara ya...
View ArticleWALENGWA TASAF WILAYANI CHATO MKOANI GEITA WACHANGAMKIA HUDUMA ZA MFUKO WA...
Takribani kiasi cha Shilingi Milioni 140 zimepatikana katika kipindi cha miaka miwili iliyopita baada ya Wananchi wanaopata huduma za Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini unaotekelezwa na Serikali kupitia...
View ArticleWANANCHI TABORA WAJITOKEZA KWA WINGI USAJILI VITAMBULISHO VYA TAIFA
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imeendelea na zoezi la Usajili Vitambulisho vya Taifa kwa wananchi wa mkoa wa Tabora, ambapo Wilaya zote zinaendelea na zoezi hilo. Akizungumzia mwenendo wa...
View ArticleMPISHI WA KIMATAIFA MTANZANIA CHEF ISSA ATIA FORA NCHINI SWEDEN KWA MAPOCHOPOCHO
Bango la kinamama kutoka kila kona ya dunia waliokusanyika mjini Trollhättan Sweden kusherehekea Siku ya Wanawake Machi 8, 2018 na baadaye kwenda kwenye hoteli ya Mtanzania Chef Issa kwa chakula cha...
View Article
More Pages to Explore .....