MAYANGA AITA 23 TAIFA STARS KUWAKABILI ALGERIA NA DR CONGO
Kikosi cha wachezaji 23 wa Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars kitakachocheza michezo miwili ya kirafiki kwenye tarehe za kalenda ya FIFA dhidi ya Algeria na DR Congo kimetajwa leo Alhamis Machi 8,...
View ArticleNGORONGORO HEROES YAINGIA KAMBINI
Kikosi cha timu ya Taifa chini ya miaka 20 (Ngorongoro Heroes) kimeingia kambini kujiandaa na mchezo wake wa raundi ya kwanza ya kuitafuta tiketi ya kucheza fainali za vijana za Africa dhidi ya Congo...
View ArticleMAMA MWANAMEMA SHEIN AONGOZA MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI ZANZIBAR
Akizungumza katika maadhimisho ya ‘Siku ya Wanawake Duniani’ yaliyofanyika leo Machi 8, 2018 katika kijiji cha Makunduchi Mkoa wa Kusini Unguja, mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, amesema...
View ArticleDC WA KIBAHA ASSUMPTER MSHAMA AAHIDI NEEMA KWA KINAMAMA WILAYANI HUMO
MKUU wa Wilaya ya Kibaha Bi Assumpter Mshama amewaahidi kina mama wajasiriamali wa Wilaya ya Kibaha kuwa atazungumza na uongozi wa Halmashauri ya Mji ili itengwe siku na eneo maalum kwa ajili ya...
View ArticleKUWAIT YAZINDUA KISIMA CHA 61 KATIKA WILAYA YA KIGAMBONI
Na Zaynab Nyamka, Globu ya JamiiBalozi wa Kuwait nchini Mhe. Jasem Al-Najema amezindua kisima cha 61 katika Shule ya Msingi ya GEZAULOLE Wilayani Kigamboni, Dar es salaam ikiwa ni mwendelezo wa...
View ArticleUWT KINONDONI YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA KUTOA MSAADA...
Mjumbe wa halmashauri kuu (MNEC UWT), Halima Okashi akitoa zawadi kwa Mmoja ya Wanawake waliolazw aktika wodi ya wamama katika Hospitali ya Mwananyamala ambapo UWT Kinondoni walifika katika Hospitali...
View ArticleHDIF YAWAWEZESHA WANAWAKE TANZANIA KATIKA NYANJA YA UBUNIFU
Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiSERIKALI imesema inaendelea na utaratibu wa ukarabati wa shule kongwe nchini ikiwemo za sekondari na ufundi ili kuwasaidia wanafunzi kujifunza masuala mbalimbali ya...
View ArticleMAKILAGI , MANYANYA WAWAFUNDA WANAWAKE WA DAR ES SALAAM UMUHIMU WA...
Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Taifa(UWT), Amina Makilagi akizungumza wakati wa Warsha ya Wanawake Wajasiliamali iliyoandaliwa na Uhuru Fm katika mahadhimisho ya siku ya...
View ArticleSIKU YA WANAWAKE DUNIANI ILIVYOADHIMISHWA MKOANI TABORA
Mke wa Rais Mstaafu Mama Salma Kikwete akimpongeza Mbunge wa Vitimaalum mkoa wa Tabora Munde Tambwe baada ya kupokea kiasi cha shilingi milioni moja kwaajili ya TIKA huku Mbunge huyo Munde Tambwe...
View ArticleNAIBU WAZIRI WA MAJI AMCHUKULIA HATUA MHANDISI ULANGA
Naibu Waziri wa Majina Umwagiliaji, Jumaa Aweso akishuka mara baada ya kukagua tenki la mradi wa maji wa Gombe, wilayani Ulanga, mkoaniMorogoro. NaibuWaziriwaMajinaUmwagiliaji, JumaaAweso...
View ArticleMBUNGE WA TUNDURU KUSINI AKABIDHI PIKIPIKI 15 KWA MAKATIBU KATA.
Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kusini wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma kupitia chama cha mapinduzi (CCM) Daimu Mpakate amekabidhi pikipiki 15 zenye thamani ya shilingi milioni 23 kwa makatibu kata 15 wa...
View ArticleWANAWAKE MSD WATOA MSAADA HOSPITALI YA TEMEKE NA MAKAO YA WATOTO YATIMA...
Kaimu Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala wa MSD, Neema Mwela, akimkabidhi Mganga Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Temeke, Amaani Malima, Mfuko wenye vifaa vya kujifungulia akina mama...
View ArticleDC MSHAMA AWAASA WANAWAKE KUACHA KURUDISHANA NYUMA KIMAENDELEO NA FITNA
Mkuu wa wilaya ya Kibaha, Assumpter Mshama.Na Mwamvua Mwinyi,Kibaha.MKUU wa wilaya ya Kibaha ,Assumpter Mshama ,amewaasa wanawake kuacha tabia ya kurudishana nyuma kwenye maendeleo,fitna na kuwabeza...
View ArticleAirtel yashirikiana na Polisi kikosi cha usalama barabarani katika ukaguzi ya...
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania imeendeleza juhudi zake za kushirikiana na jeshi la Polisi Tanzania ambapo kwa sasa wameshirikiana na polisi kikosi cha barabarani kuitikia wito uliotolewa...
View ArticleTUZO KWA WAANDISHI WA HABARI ZA MAJI ZATANGAZWA TENA.
Shirika lisilo la kiserikali la Shahidi wa Maji kwa kushirikiana na wadau mbalimbali nchini na ne ya Tanzania kupitia programu yake ya Uhakika wa Maji, imetangaza kuongezwa muda wa uwasilishwaji wa...
View ArticleNMB WATOA MSAADA WA VIFAA HOSPITAL YA WILAYA NAMTUMBO.
Bank ya NMB tawi la Namtumbo Mkoni Ruvuma imetoa msaada wa vifaa vya hospital ambavyo ni vitanda vya kujifungulia akina mama, vitanda vya kawaida, mashine za shinikizo ya damu na mashuka. Kaimu Meneja...
View Article
More Pages to Explore .....