Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117024 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASANII WA FILAMU BONGO KUPELEKWA NIGERIA NA DRC KUENDELEZA KAZI ZAO

 Mkurugenzi wa Mad Mad Entertainment, Yasmin Razak (katikati) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu kampuni yake kuingia mikataba na wasanii wa filamu wa Tanzania...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete apokea hati za utambulisho kutoka kwa Mabalozi wa Msumbiji na...

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo amepokea hati za utambulisho kutoka kwa Mabalozi wa Msumbiji na Indonesia ikulu jijini Dar es Salaam.Mhe.Zakaria Anshar wakiwasilisha hati zao za utambulisho kwa...

View Article


ngoma azipendazo ankal - enzi hizo

Hadi leo Ankal anazimia na ngoma ya Otis Redding ya 'Direct Me'

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Timu ya Simba ikiwa Nchini Oman

Wachezaji wa timu ya Simba wapo nchini Oman kwa kambi maalum ya kujifua wakati wakijiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara ambapo jioni ya leo wanakipiga na timu ya taifa ya...

View Article

Mdau akipeperusha bendera yetu maeneo ya utalii

Ankal, Mdau katika harakati zake kutalii maeneo maarufu kwa watali toka pande zote za dunia akipeperusha jina TANZANIA kwa kutumia 'uzi' jezi inayovutia . Maeneo hayo ni pwani za SRI LANKA na Thailand...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jamaa wametega.......

Wakati Mahabusu wakikosa haki ya kupelekwa mahakamani wilayani Ruangwa kwa kukosekana Mafuta ya gari la kuwachukua Magereza Nachingwea,Cha ajabu ni kwamba Mafuta ya kwenda umbali kama huo wa Nachingwea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

INDOMA TOURS ZANZIBAR KUJA NA MCHEZO WA KIRAFIKI WA KIMATAIFA

Kampuni ya Utalii ya Indoma Tours ya Mjini Zanzibar, inawaleate mchezo mkali wa Kirafiki wa Kimataifa wa Soka, kati ya timu ya Skonda Flota kutoka Barani Ulaya na Timu ya Sale Mdosi Hardware, ya mjini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIBONZO CHA NATHAN MPANGALA LEO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Shirika la ndege la Precision Air yazindua safari za Mbeya

 Mkurugenzi wa Huduma za Usafiri wa Wizara ya Uchukuzi, Peter Lupatu, akikata utepe kuzindua Safari za Ndege za Shirika la Precision Air za Mbeya kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe. Kushoto...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU ATOA MSAADA WA TV KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA MJINI DODOMA

Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda (kulia) akizungumza na Walezi wa Kituo cha watoto yatima cha Kijiji cha Matumaini wakati alipotembelea kituo hicho,mjini  Dodoma na kutoa Msaada wa Luninga kwa ajili ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Barabara ya Lindi kwenda Ruangwa hali ni tete

Tanroads tupieni jicho Barabara ya kutoka Lindi kwenda Ruangwa ukianzia Michenga hadi Kitandi Hali ni mbaya.Natoa wito kwa Madereva waedao Ruangwa kuwa makini kutokana na maeneo mengi ya barabara hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AMERICAN PEOPLE PROMOTE TOURISM SECTOR DEVELOPMENT IN TANZANIA

On January 15, 2012 U.S. Embassy Public Affairs Officer Dana L. Banks (left) met with Ms. Scholastica Ponera, (right), Managing Director of Pongo Safaris and Tours Limited at the U.S. Embassy in Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

kikosi cha timu ya Black Leopards ya Afrika Kusini chatua leo jijini...

 Kikosi cha  Wachezaji 28 na viongozi 11 wa timu ya Black Leopards ya Afrika Kusini,wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuwasili mchana wa leo kwa ndege ya shirika la Afrika Kusini, kwenye...

View Article


Rais Kikwete afanya uteuzi wa wenyeviti wa bodi

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UFUNGUZI WA VISIMA 30 KATIKA MAENEO YA WILAYA 6 KAME TANZANIA VILIVYOCHIMBWA...

Waziri wa Maji na Umwagiliaji  Profesa Jumanne Maghembe (katikati) akishirikiana na Waziri wa Maji na Umwagiliaji wa Serikali ya Misri Prof. Dr. Mohamed Bahaa El-Din Ahmed (kulia) kukata utepe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

52 WACHUKUA FOMU TFF, 50 WAREJESHA

 Wanamichezo 50 kati ya 52 waliochukua fomu kuomba kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) utakaofanyika Februari 24 mwaka huu wamerejesha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA KAMATI YA BUNGE YA ULINZI NA USALAMA KATIKA GEREZA LA MAHABUSU LA...

 Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ulinzi na Usalama ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Ilala, Mussa Azzan Zungu akizungumza na Mahabusu na Wafungwa wa Gereza la Segerea jijini Dar es Salaam...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALLIANCE AUTOS YASAIDIA TIMU YA DAR LEOPARDS RUGBY CLUB

Meneja Mkuu wa Alliance Autos, wakala wa Volkswagen nchini, Alfred Minja akikabidhi jezi kwa timu mchezo wa raga (Rugby) ya Dar Leopards jijini Dar es Salaam. Anayepokea ni Mwenyekiti wa Dar Leopards...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa ya Msiba

Familia ya ndugu Demba Sow, inasikitika kutangaza Kifo cha mke wake mpenzi Monique Demba Sow Kasongo. Kilichotokea Burhani Hospital 14-1-13 saa 2 usiku. Habari ziwafikie watoto wa Marehemu, Yan Sow na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, GERGORY TEU AFANYA ZIARA KATIKA VIWANDA...

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Gregory Teu (kulia) akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Konyagi cha Tanzania Distilleries Limited (TDL), David Mgwassa kuhusu picha ya...

View Article
Browsing all 117024 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>