BARAZA LA MADIWANI WAIKATAA MIRADI MINNE YA MAJI KAKONKO
Na Rhoda Ezekieli, KigomaBARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma wameikataa miradi minne ya maji yenye thamani ya zaidi ya Sh. bilioni mbili iliyoanza kutekelezwa tangu...
View ArticleMLIPUKO WA TRANSFOMA WASIMAMISHA KWA MUDA SHUGHULI ZA MAHAKAMA KISUTU
Na Karama Kenyunko,Globu ya JamiiHALI ya taharuki imeibuka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya kutokea kwa mlipuko wa moto uliosababishwa na Transfoma.Akizungumza na waandishi wa habari,...
View ArticleKAMATI YA BUNGE MASUALA YA UKIMWI,DAWA ZAKULEVYA YATEMBELEA WATU WANAOISHI NA...
Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Capt. Chiku Galawa (kulia) akizungumza na Mjumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya kulevya, Mhe. Venance Mwamoto (kushoto) na Makamu...
View ArticleULEGA AWEKA JIWE LA MSINGI ZAHANATI KIJIJI CHA KIBAMBA JIMBONI MKURANGA
Na Emmanuel Masaka ,Globu ya JamiiNAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi ambaye pia Mbunge wa Mkuranga Abdalah Ulega ameweka jiwe la msingi katika Zahanati ya Kibamba iliyopo Kata ya Mipeko wilayani Mkuranga...
View ArticleMsanii Roma Mkatoliki afungiwa miezi sita kutofanya kazi za sanaa
Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiMSANII wa muziki wa kizazi kipya Ibrahim Mussa a.k.a Roma Mkatoliki amefungiwa kwa kipindi cha miezi 6 baada ya kukaidi agizo la Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) la...
View ArticleMAHAKAMA YAELEZWA NAMNA HALIMA MDEE ALIVYOITA WAANDISHI KUPINGA KAULI YA RAIS
Na Karama Kenyunko, Blogu ya JamiiMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa mbunge wa Kawe jijini Dar as Salaam, Halima Mdee aliitisha mkutano na waandishi wa habari ili kupinga kauli ya Rais John...
View ArticleWAZIRI UMMY AKUTANA NA UGENI KUTOKA UTURUKI
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, wazee na Watoto Mhe Ummy Mwalimu amekutana na ugeni kutoka nchini Uturuki ukiongozwa na Balozi wao Dkt. Ali Daoutoglu mapema leo katika ofisi ndogo za Wizara...
View ArticleMA-DED WATAKIWA KUSIMAMIA WATOTO YATIMA WAPATE ELIMU.
NA TIGANYA VINCENTMKUU wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri amewataka Wakurugenzi Watendaji wote kuhakikisha watoto yatima ambao hawana ndugu maeneo wanawasidia kupata fursa ya elimu na huduma nyingine...
View ArticleSERIKALI YAMUONYA NAY WA MITEGO
Na Zainabu Nyamka, Globu ya JamiiNAIBU Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Juliana Shonza amemtaka Msanii Emmanueli Elibariki maarufu Ney Wamitego kuacha kutumia maneno yenye utata yanayolenga...
View ArticleWaliomaliza Shule ya Msingi Bunge 1997 watoa msaada wa viti 20 kwa shule hiyo
Umoja wa Wanafunzi waliomaliza Shule ya Msingi Bunge mwaka 1997 iliyopo Ilala Jijini Dar es Salaam wametoa msaada wa viti 20 kwa shule hivyo ambayo vitatumiwa na walimu ambao wanafundisha katika shule...
View ArticleRC MTAKA AWATAKA WANANCHI, VIONGOZI SIMIYU KUTOA USHIRIKIANO UTAFITI WA...
Na Stella Kalinga, SimiyuMkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe.Anthony Mtaka ametoa wito kwa wananchi na Viongozi Mkoani humo kutoa ushirikiano kwa wadadisi na wataalam wa Takwimu katika utafiti wa mapato na...
View ArticleMAMLAKA HALI YA HEWA WAMETABIRI UKWELI KUANZA KWA MVUA LEO
Na Leandra Gabriel, Globu ya JamiiKWA mara ya kwanza wamepatia!Ndivyo ambavyo kwa siku ya leo baadhi ya wananchi hasa wa Jiji la Dar es Salaam wanavyodai baada ya mvua kunyesha kama ambavyo Mamlaka ya...
View ArticleMAKONDA: WALIOZILALAMIKIA TAASISI ZA KIFEDHA WAJE OFISINI KWANGU KESHO
Na Emmanuel Masaka,Globu ya JamiiMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewatangazia wananchi wote ambao wamewasilisha malalamiko kwenye ofisi yake dhidi ya taasisi za fedha na benki kufika...
View ArticleAZAM FC YAJIHAKIKISHIA KUIBUKA KIDEDEA DHIDI YA SINGIDA UNITED
Na Agness Francis, Globu ya jamiiTIMU ya Azam FC imeendelea kujifua kikamilifu kwa lengo la kuhakikisha wanaibuka na ushindi kwenye mchezo ujao wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Singida United,...
View ArticleTFF YAAHIDI KUSIMAMIA UPATIKAJI WA BIMA KWA WACHEZAJI LIGI KUU
Na Humphrey Shao, Globu ya jamiiRAIS wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Warace Karia amesema atasimamia suala la bima kwa wachezaji wanaoshhiriki katika Ligi Kuu pamoja na ligi mbalimbali...
View ArticleTCRA NA MAKAMPUNI YA SIMU WAZINDUA MFUMO MPYA WA USAJILI WA LAINI ZA SIMU...
Mkuu wa Kitengo cha Udhibiti na Mahusiano na Serikali wa Kampuni ya simu za mkononi Tigo, Sylvia Balwire akisaini ubao wa uzinduzi wa mfumo usajili wa laini za simu unaotumia alama za vidole kuhakiki...
View ArticleMBUNGE WA CHALINZE RIDHIWANI KIKWETE ASHIRIKI UFUNGUZI WA OFISI YA KATA KIMANGE
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete ashiriki katika Ufunguzi wa Ofisi ya Kata ya Kimange na kuzungumza na Wananchi mafinikio yaliyofikiwa ktk kutatua migogoro ya Wakulima na Wafugaji, Elimu,...
View ArticleJAJI MKUU WA GAMBIA AMTEMBELEA MWANASHERIA MKUU WA TANZANIA JIJINI DAR ES SALAAM
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk. Adelardus Kilangi, leo (Alhamisi) amekutana na kuwa na mazungumzo na Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Gambia Mhe. Hassan Bubacar Jallow.Jaji Mkuu wa Gambia, yupo hapa...
View ArticleKARIA ASEMA SUALA LA BIMA ALIKWEPEKI KWA WACHEZA SOKA WA TANZANIA
Na Humphrey Shao, Globu ya jamiiRais wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Warace Karia amesema atasimamia suala la bima kwa wachezaji wanaoshhiriki katika ligi mbalimbali zinazo simamiwa na shiriki hilo...
View Article
More Pages to Explore .....