WANANCHI RUHURU WAJICHANGISHA FEDHA KUJENGA ZAHANATI
Na Rhoda Ezekiel Kigoma, WANANCHI wa Kijiji cha Ruhuru wilayani Kakonko mkoani Kigoma wamejitolea kuanza ujenzi wa Zahanati itakayogharimu zaidi ya Sh.milioni 50 kwa lengo la kutatua changamoto ya...
View ArticleSERIKALI YATOA BILIONI 1.92 KUBORESHA AFYA NANYAMBA
SERIKALI imepeleka sh. bilioni 1.92 katika Halmashauri ya Mji wa Nanyamba wilayani Mtwara kwa ajili ya ujenzi na uboreshaji wa vituo vya afya.Hayo yalibainika jana (Jumatano, Februari 28, 2018) wakati...
View ArticleMEYA JIJI LA DAR AMJULIA HALI MWANASIASA MKONGWE CHADEMA,AMPELEKA HOSPITALI...
Na Ripota Wetu,Globu ya JamiiMEYA wa Jiji la Dar es Salaam , Isaya Mwita ametemtembelea nyumbani kwakwe na kisha kumpeleka katika Hospitali ya Taifa Muhimbili mwasisi na mkongwe wa Chadema Victa...
View ArticleDK MWAJELWA AWAPONGEZA WAKULIMA WA CHAI NA PARACHICHI MKOA WA NJOMBE
NAIBU Waziri wa Kilimo, Dk Mary Mwanjelwa akisalimiana na sehemu ya wakulima wa chai alipowasili kwenye kijiji cha Lwangu Wilaya ya njombe mkoani Njombe kwa ziara ya kikazi hivi karibuni. Kushoto ni...
View ArticleMZEE JORAM MOLLEL MAARUFU KAMA "BABU" APATA NAMBA YAKE YA KUSHIRIKI TIGO KILI...
Mzee Joram Mollel maarufu BABU mwenye umri zaidi ya miaka 90 akijisajili kushiriki mbio za kilomita 21 Tigo Kili Half Marathon zitakazotimua vumbi siku ya Jumapili wiki hii mjini Moshi, Mkoani...
View ArticleSERIKALI YATOA BILIONI 1.92 KUBORESHA AFYA NANYAMBA
SERIKALI imepeleka sh. bilioni 1.92 katika Halmashauri ya Mji wa Nanyamba wilayani Mtwara kwa ajili ya ujenzi na uboreshaji wa vituo vya afya.Hayo yalibainika jana (Jumatano, Februari 28, 2018) wakati...
View ArticleWIZARA YA ARDHI YAWATULIZA WANANCHI ARUMERU ,YAWAAMBIA MGOGORO WAO...
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula akizungumza na wakazi wa kata ya Sing’isi alipokuenda kuwasikiliza kuhusu mgogoro wa ardhi dhidi ya muwekezaji Sehemu ya wananchi...
View ArticleKASI UHARIBIFU WA MISITU HANANG YAONGEZEKA
Na. Jumbe IsmaillyKUTOKANA na hali ya uharibifu wa misitu katika wilaya ya Hanang kuwa kubwa sana,Mkuu wa wilaya ya Hanang,Mkoani Manyara, Sara Msafiri ameziagiza kamati za maendeleo za kata kujenga...
View ArticleMCHEZAJI WA SIMBA ,TIMU YA TAIFA ARTHUR MAMBETA AFARIKI DUNIA
Na Zainabu Nyamka, Globu ya JamiiMCHEZAJI wa zamani wa klabu ya Simba, Arthur Mambeta amefariki dunia jana Alhamisi baada ya kusumbuliwa na maradhi ya saratani kwa muda mrefu.Mambeta aliyeanza...
View ArticleJUMIA TANZANIA YAAHIDI KUWAKUTANISHA WAFANYABIASHARA, MAMILIONI YA WATEJA...
KAMPUNI ya Jumia Tanzania inayojishughulisha na huduma za uuzaji na manunuzi ya bidhaa mbalimbali kwa njia mtandao imemtambulisha Zadok Prescott kuwa Mkurugenzi Mkuu wake mpya.Akizungumza leo jijini...
View ArticleKUJISAJILI WCF LENGO NI KUMUONDOLEA MZIGO WA GHARAMA MWAJIRI,KULINDA HAKI ZA...
SERIKALI ya awamu ya tano imedhamiria kwa dhati kuhakikisha wafanyakazi wanalindwa na kupata haki zao pindi wanapopatwa na madhara yatokanayo na kazi, Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu,...
View ArticleMASAU BWIRE AZUNGUMZIA UZINDUZI JEZI ZA RUVU SHOOTING
Na Ripota Wetu, Globu ya JamiiMSEMAJI wa Ruvu Shooting Masau Bwire amesema hivi karibuni wamezindua jezi zake za mashabiki.Amesema uzinduzi uliofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo...
View ArticleWIZARA ZA UJENZI ZANZIBAR, TANZANIA BARA ZAFANYA MAZUNGUMZO ZANZIBAR
Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi Mawasiliano na Usafirishaji, Mustafa Aboud Jumbe akisisitiza jambo katika Mkutano wa mashirikiano kati ya Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji(SMZ) na Wizara ya...
View ArticleDKT KIJAJI AZINDUA MKTABA WA HUDUMA KWA WATEJA WA CMSA
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiNaibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk.Ashanti Kijaji amesema kuwa mamlaka ya Masoko na Mitaji ni injini katika maendeleo ya uchumi hivyo ni lazima mamlaka hiyo iwafikie...
View ArticleVanessa Mdee aungana na mastaa maarufu duniani wanaomiliki majukwaa ya mtandaoni
Vee Money App katika kilele cha maendeleo ya mziki Afrika na dunia nzima Vanessa Mdee anaungana na mastaa maarufu duniani ambao wanamiliki ‘majukwaa ya mtandaoni’ ya kuwasiliana na mashabiki wao Je...
View ArticleRAIS SHEIN AWAAPISHA MAWAZIRI NA WAKUU WA WILAYA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein akimuapisha Mhe.Salama Aboud Twalib kuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba,Maji na Nishati katika hafla iliyofanyika leo ukumbi wa...
View ArticleMkazi wa Lindi akabidhiwa Kirikuu yake aliyojishindia katika kampeni ya...
Meneja wa Tawi la benki ya NBC Tanga,Asia Chambega (katikati) akimkabidhi funguo ya gari aina ya Suzuki Carry maarufu kama ‘Kirikuu’ kwa mkazi wa Lindi, Saidi Chiwina baada ya kuibuka mmoja wa...
View ArticleREUBEN BULUGU NDIYE MSHINDI WA SHILINGI MILIONI 10 KTK DROO YA “DAKA MKWANJA”
Bw. Muganyizi Bisheko Meneja wa Masoko Utafiti na Maendeleo Benki ya BOA akikabidhi zawadi ya shilingi milioni 10 kwa Bw. Reuben Bulugu Kinamhala mshindi wa Bahati nasibu ya “Daka Mkwanja”...
View Article
More Pages to Explore .....