CCM ZANZIBAR YATOA AGIZO ZITO KWA VIONGOZI WA CHAMA NA SERIKALI
NA IS-HAKA OMAR, ZANZIBAR.TASNIA ya Habari ni sekta muhimu inayoziwezesha Serikali mbali mbali Duniani kuimarisha dhana ya Demokrasia kupitia matangazo na taarifa za utekelezaji wa Ilani ya Chama...
View ArticleSIMBA NA STAND KUCHEZA UWANJA WA TAIFA KESHO, DROO KOMBE LA SHIRIKISHO LA...
Ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara mzunguko wa 19 inaendelea kesho kwa mchezo mmoja utakaowakutanisha Simba ya Dar es Salaam dhidi ya Stand United ya Shinyanga Mchezo huo utakaochezwa saa 10 jioni...
View ArticleHALMASHAURI UBUNGO,YAPITISHA BAJETI YA BILLIONI 98.2/- MWAKA 2018/2019
Na Emmanuel Masaka,Globu ya JamiiBARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo, Dar es Salaam limepitisha makadirio ya mapato kwa mwaka 2018/2019Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo kwa Mwaka...
View ArticleSERIKALI KUTOA KIBANO KWA WATENDAJI WANAOHUJUMU FEDHA ZA SERIKALI.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Joyce Ndalichako amefunga kikao kazi cha Makatibu Tawala Wasaidizi wa Elimu na Mipango ngazi ya Mikoa, Wakaguzi wa ndani wa Hesabu, na Maafisa Elimu...
View ArticleMBUNGE LUCY MAYENGA AKUTANA WAFANYABIASHARA NDOGO NDOGO MJINI SHINYANGA
Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Shinyanga, Lucy Mayenga (CCM) amefanya ziara ya kukutana na akina mama wafanyabiashara ndogo ndogo zaidi ya 250 wanaofanya shughuli zao katika Soko Kuu, Mtaa wa Sukari na...
View ArticleMahakama Kinondoni yamuhumuku msanii Shilole kulipa milioni 14 ndani ya wiki...
MSANII wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amehukumiwa kulipa faini ya Tsh. Milioni 14 na mahakama ya Mwanzo Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam baada ya kupatikana na hatia ya utapeli...
View ArticleWANANCHI MADABA WAMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KUWALETEA FEDHA ZA MRADI UJENZI...
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma,Christina Mndeme akifuatilia maendeleo ya ujenzi wa kituo cha Afya cha Mtiangimbole kilichopo katika Halmashauri ya Madaba ambapo jumla ya sh. Milioni 500 zimetolewa na Serikali...
View ArticleMBUNGE MGIMWA ATOA VIFAA VYA UJENZI JIMBONI MWAKE
MBUNGE wa Jimbo la Mufindi Kaskazini Mahmoud Mgimwa ametoa msaada wa vifaa mbalimbali vya ujenzi vyenye thamani ya zaidi ya Sh Milioni 12 vitakavyotumika kuboresha miundombinu ya sekta ya elimu na afya...
View ArticleWAZIRI MKUU, KASSIM MAJLIWA AWEKA JIWE LA MSINGI ZAHANATI MBECHA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa na Mkewe Mary Majaliwa, wakiwasalimia watoto wa shule ya msingi Mbecha, katika kijiji cha Mbecha Wilayani Ruangwa, Waziri Mkuu yupo Wilayani humo kwa ziara ya kikazi...
View ArticleSERIKALI YAAGIZA OPERESHENI YA KUONDOA WAVAMIZI WA KIGENI KATIKA KISIWA CHA...
.........................................................................................Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla ametoa siku 7 kwa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori...
View ArticleArticle 4
CHUO KIKUU CHA TUMAINI MAKUMIRA, KILICHOPO USA-RIVER, ARUSHA KINATANGAZA NAFASI ZA MASOMO KWA MWAKA 2018/2019 KAMA IFUATAVYO:ASTASHAHADA (CERTIFICATE)1. Astashahada (Certificate) ya ICT (mwaka...
View ArticleTACAIDS KUANZA KAMPENI KUHAMASISHA WANAUME KUPIMA AFYA ZAO-MABOKO
Na Mwamvua Mwinyi,PwaniTUME ya Taifa ya kudhibiti ukimwi (TACAIDS), inatarajia kuanza kampeni za kitaifa kuhamasisha wanaume kupima afya zao ,ili kujenga tabia ya kujitokeza kujua afya zao kwani ni...
View ArticleZiara ya Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mkoani Njombe.
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Charles Mwijage akimsikiliza mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Christopher Ole Sendeka alipomtembelea ofisini kwake kupata taarifa ya Viwanda na uwekezaji...
View ArticleMAANDALIZI TAMASHA LA PASAKA YAZIDI KUNOGA,WAIMBAJI WAZIDI KUMIMINIKA
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion, Alex Msama akizungumza mapema jana mbele ya Waandishi wa habari (hawapo pichani),jijini Dar kuhusiana na maandalizi ya Tamasha la Pasaka 2018 litakalofanyika...
View ArticleSERIKALI YATENGA SHILINGI BILIONI 11.4 KUBORESHA WAKALA WA NDEGE ZAKE
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imejipanga kuboresha Wakala wa Ndege za Serikali (TGFA) ambayo inasimamia na kuendesha ndege ambazo zinasafirisha viongozi wa kitaifa wa SerikaliHayo...
View Article‘TUTAIFANYIA MABADILIKO MAKUBWA TUME YA UMWAGILIAJI’-AWESO
Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Jumaa Aweso amesema wizara yake itaifanyia mabadiliko makubwa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kutokana na udhaifu mkubwa aliougundua kiutendaji, hali inayosababisha...
View Article
More Pages to Explore .....