ILALA YATUMIA BILIONI 5.5/- UTEKELEZAJI WA MAENDELEO
Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiHALMASHAURI ya Manispaa ya Ilala Dar es Salaam imesema imetumia zaidi ya Sh.bilioni 5.5 kwenye utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo kwa bajeti ya kuanzia Julai...
View ArticleMECHI YA LIPULI, NDANDA YASOGEZWA MBELE
Na Agness Francis Globu Ya jamiiMCHEZO uliokuwa uchezwe na timu Lipuli dhidi ya Ndanda katika dimba la Samora mkoani Iringa Wasogezwa mbele kwa maandalizi zaidi. Bodi ya Ligi (TPLB), imefanya...
View ArticleMCHUNGAJI MWINGIRA AIBUKA KIDEDEA
Na Karama Kenyunko, blogu ya jamiiMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeifukuzia mbali kesi ya madai iliyofunguliwa na Dk.William Morris raia wa Marekani dhidi ya mke wake Dk.Phills Nyimbi na Mchungaji...
View ArticleWAZIRI MKUU, KASSIM MAJALIWA AANZA ZIARA YA KIKAZI MKOANI MTWARA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka jiwe la msingi wa jengo la wazazi katika kituo cha afya Chiwale, Wilayani Masasi, akiwa ameanza ziara yake ya kikazi ya siku tatu, Mkoani Mtwara Februari 26, 2018....
View ArticleBALOZI SEIF AKUTANA NA KAMISHNA MPYA WA POLISI ZANZIBAR,MABALOZI DR. SLAA NA...
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kulipa ushirikiano wa kina Jeshi la Polisi Nchini katika kuona Amani ya Taifa pamona na Raia...
View ArticleALIYEKUWA MGOMBEA UDIWANI KATA YA MPINGA AHAMIA CCM
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Pwani ,Ramadhani Maneno akizungumza alipotembelea kata ya Mapinga ,wilaya ya Bagamoyo wakati wa muendelezo wa ziara yake anayoendelea nayo mkoani hapo...
View ArticleIGP SIRRO AWATAKA ASKARI KUTENDA HAKI KWA WANANCHI WANAOWAHUDUMIA BARIADI,...
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro (wapili kushoto), akikagua baadhi ya vielelezo katika kituo Kikuu cha Polisi wilaya ya Bunda mkoani Mara wakati akiwa katika ziara ya kikazi ya kuzungumza na...
View ArticleMAVUNDE AAGIZA WAAJIRI MWANZA KUFIKISHWA MAHAKAMANI KWA KUSHINDWA KUJISAJILI...
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi Vijana na Ajira Mhe. Anthony Mavunde ameagiza Wakurugenzi wa Kampuni ya Ujenzi ya JASCO LTD,AIRCO na JB BELLMONT HOTEL kufikishwa Mahakamani kwa kushindwa...
View ArticleKUTOKA JESHI LA POLISI DAR: MWANAUME NA MWANAMKE WASHIKILIWA TUHUMA YA MAUAJI...
*Polisi yaendelea kuchunguza kifo cha Akwilina,waua majambazi DarNa Said Mwishehe,Globu ya jamiiJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limesema linamshikilia mwanamke mmoja na mwanaume mmoja...
View ArticleKIGWANGALLA ATOA MIEZI TISA WANANCHI KULIPWA FIDIA WAPISHE HIFADHI YA TAIFA...
Na Hamza Temba-WMU-Manyara........................................................................Serikali italipa fidia na vifuta jasho kwa vitongoji ambavyo vipo ndani ya Hifadhi ya Taifa ya...
View ArticleWATANZANIA KUPENYA SOKO LA KENYA
Jonas Kamaleki- MAELEZO.Serikali imetoa wito kwa wafanyabiashara wa Tanzania kupeleka bidhaa zao katika soko la Kenya ili kupanua wigo wa masoko ya bidhaa zao.Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam...
View ArticleNEWZ ALERT:RPC ARUSHA APATA AJALI BAADA YA GARI YAKE KUPOTEZA MUELEKEO
Na Ripota Wetu, ArushaKAMANDA wa Polisi Mkoa wa Arusha Charles Mkumbo amepata ajali ya gari katika eneo la Mdori mkoani Manyara.Taarifa kuhusu tukio hilo zinadai kuwa Kamanda Mkumbo amepata ajali leo,...
View ArticleSIMBA YAIBUGIZA MBAO FC BAO 5 - 0
Mshambuliaji wa Simba SC, Emmanuel Okwi akishangilia moja ya bao alilofunga katika mchezo dhidi ya Mbao FC mchezo uliofanyika katika dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Katika mchezo huo....
View ArticleMNEC SALIM ASAS ATOA MSAADA WA MILIONI TANO KWA JUMUIYA YA WAZAZI KILOLO
MJUMBE wa halmashauri kuu ya CCM Taifa anayewakilisha Mkoa wa Iringa Salim Asas ameichangia jumuiya ya wanawake wa chama cha mapinduzi ( UWT) wilaya ya Kilolo shilingi milioni 5 kwa ajili ya ujenzi wa...
View Article
More Pages to Explore .....