Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 110186 articles
Browse latest View live

INTRODUCING "GHETTO" BY JAYKAH MTENGWA FT G WISE AND DOUBBLE K

View Article



Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC MAKONDA KUTOA MAJIBU MALALAMIKO YA WANANCHI, WANASHERIA KUYACHAMBUA

Na Said Mwishehe,Globu ya JamiiWANASHERIA zaidi ya 100 wameanza kupitia na kuchambua malalamiko mbalimbali ya wananchi wa Mkoa wa Dar es Salaam kwa lengo la kuhakikisha yanapatiwa majibu.Hatua hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE MGIMWA KUBORESHA SEKTA YA ELIMU,AFYA JIMBONI KWAKE

Na Fredy Mgunda,Mufindi.MBUNGE wa Jimbo la Mufindi Kaskazini Mahmoud Mgimwa ametoa msaada wa vifaa mbalimbali vya ujenzi vyenye thamani ya zaidi ya Sh Milioni 12 vitakavyotumika kuboresha miundombinu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SPORTPESA KUKARABATI NYUMBA YA MADAKTARI ZANZIBAR

Picha ya pamoja kati ya (Baadhi ya wawakilishi/Uongozi wa SportPesa Tanzania) na uongozi wa Kizimkazi mkunguni mara baada ya kuzindua na kukabidhiwa mradi wa kujenga nyumba ya madaktari pichani,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AWESO AHIDI NEEMA KWA WAKANDARASI WA MAJI WAAMINIFU

Naibu Waziri wa Maji na Umwangiliaji, Mheshimiwa Jumaa Aweso ameahidi serikali kupitia wizara ya Maji kulipa kwa wakati wakandarasi waaminifu wanaosimamia miradi ya Maji ili upatikanaji wa Maji uwe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mvua kubwa yaharibu Shule ya Msingi Kanyenye mkoani tabora

Mvua kubwa ikiambatana na upepo mkali iliyonyesha usiku wa jana mkoani Tabora imesababisha madhara makubwa kwa baadhi ya miundombinu pamoja na nyumba ikiwemo Shule ya Msingi Kanyenye ambayo paa lake...

View Article

KIGWANGALLA ATEMA CHECHE KWA WAFUGAJI MANYARA

View Article

IGP SIRRO AWAONYA WANAOTUMIA MITANDAO VIBAYA

MKUU wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, amewaonya baadhi ya watu wanaohamasishana kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusu kufanya maandamano bila kufuata utaratibu uliopo na kwamba kitendo hicho...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA LEO JUMANNE FEBRUARI 27, 2018

Kupata magazeti yote BOFYA HAPA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTUNZI WA NYIMBO YA "TANZANIA YETU NI NCHI YA KUPENDEZA" ANAHITAJI MSAADA WA...

Na Yusuph Mussa, KorogweMzee Stephen Hizza (pichani), mtunzi na muimbaji wa wimbo "TANZANIA YETU NI NCHI YA KUPENDEZA", ambao aliutunga na kuimba mwaka 1966 akiwa na bendi ya Atomic Jazz ya mkoani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MILIONI 64/-ZAHITAJIKA WAZEE WOTE MKURANGA WAPATE VITAMBULISHO VYA...

Na Emmanul,Globu ya jamiiSHILINGI milioni 64 zinahitajika ili wazee wote wilayani Mkuranga mkoani Pwani wapatiwe vitambulisho kwaajili ya matibabu.Hayo yamesemwa jana na Mbunge wa jimbo hilo ambaye pia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MO Dewji aahidi kuongeza idadi ya wanafunzi wanaopata ufadhili wa taasisi yake

Taasisi ya Mo Dewji imetangaza orodha ya wanafunzi 22 wa elimu ya juu waliopata ufadhili kutoka katika taasisi hiyo kwa mwaka wa masomo 2017/2018 kupitia mpango wa Mo Scholars.Wanafunzi hao ni Neema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAHUDUMIENI WANANCHI BILA YA UBAGUZI-MAJALIWA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka watumishi wa umma wawatumikie wananchi kwa uweledi na ustadi bila ya ubaguzi wa aina yoyote.Waziri Mkuu alitoa kauli hiyo jana (Jumatatu, Februari 26, 2018) wakati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC MTAKA: FEDHA ZA WADAU WA AFYA ZILENGE KUJIBU MAHITAJI YA WANANCHI

Na Stella Kalinga, SimiyuMkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka amewataka wadau na mashirika mbalimbali wanaofanya kazi na Mkoa huo katika sekta ya Afya kuelekeza fedha zao zaidi katika masuala...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAOMBWA KUONDOA KODI ZA PEMBEJEO ZA KILIMO

Na. Jumbe Ismailly SERIKALI imeombwa kuangalia uwezekano wa kuondoa kodi kwenye pembejeo za kilimo na mifugo ili kuwasaidia wakulima kuwa na uwezo wa kulima na kufuga kwa njia za kisasa na kuwawezesha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UPELELEZI KESI YA UTAKATISHAJI FEDHA DOLA 150,000 BADO HAUJAKAMILIKA

Na Karama Kenyunko, Globu ya Jamii.MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeelezwa kuwa, upelelezi wa kesi ya utakatishaji fedha kiasi cha Dola za Marekani 150,000 inayomkabili Mhasibu wa Ubalozi wa Tanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC SHINYANGA AFANYA MKUTANO KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI BUGAYAMBELELE

Mkuu wa wilaya ya Shinyanga amewataka maafisa watendaji wa vijiji na kata kusoma taarifa za mapato na matumizi kwa wananchi pamoja na wenyeviti wa vitongoji,mitaa,vijiji na kata kufanya mikutano kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TENMET kushirikiana na Equality Now kupaza sauti za watoto

MTANDAO wa Elimu Tanzania (TenMeT) na taasisi ya Equality Now imekubaliana kufanyakazi kwa pamoja kuhakikisha inapaza sauti za watoto juu ya changamoto mbalimbali za ukatili zinazowakabili hasa watoto...

View Article

MICHUZI TV: WATAKAOSUMBUA MABINTI KURIPOTIWA KWA WATENDAJI WA VIJIJI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WALIOHUJUMU RUZUKU YA UCHIMBAJI WATAKIWA KUIREJESHA

Serikali imetoa onyo kali kwa waliojinufaisha na kutumia ruzuku ya uchimbaji madini kinyume na makusudio yake ambao hadi sasa hawajarejesha licha ya kutakiwa kufanya hivyo. Naibu Waziri wa Madini, Doto...

View Article
Browsing all 110186 articles
Browse latest View live




Latest Images