DC TEMEKE AHIMIZA WAENDESHA BODABODA KUZINGATIA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI
Na Emmanuel ,Globu ya JamiiMKUU wa Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam, Felix Lyaniva amewataka madereva wa pikipiki na Bajaj kuwa makini na kuzingatia sheria za usalama barabarani ikiwemo kuvaa...
View ArticleBENKI YA CRDB YADHAMINI MKUTANO MKUU WA GS1
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akimkabidhi cheti cha shukrani Mkurugenzi Mtendaji wa Benki wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei, kwa kutambua udhamini wa benki ya CRDB katika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa...
View ArticleUSAJILI KILI MARATHON WAPATA MUAMKO MKUBWA MLIMANI CITY
Usajili wa mbio za Kilimanjaro Premium Lager Marathon zinazotarajiwa kufanyika jumapili ijayo mjini Moshi umekuwa mkubwa huku wakazi wa Dar es Salaam na mikoa ya jirani wakimiminika kukamilisha zoezi...
View ArticleRAIS MAGUFULI ASHIRIKI IBADA YA MISA TAKATIFU ILIYOFANYIKA KATIKA KANISA LA...
Rais Mhe.Dkt John Pombe Magufuli akishiriki Ibada ya misa Takatifu katika kanisa la kigango cha Mlimani (Parokia teule ya mlimani)lililopo Wilayani Chato Geita Februari 25, 2018. Rais Mhe. Dkt John...
View ArticleBITEKO AUTAKA MGODI WA KATAVI NA KAPUFI KUAJIRI WATANZANIA
Naibu Waziri wa Madini, Doto Biteko ameupa Siku 14 Mgodi wa Dhahabu wa Katavi & Kapufi uliopo Mkoani Katavi kuhakikisha uwe umekamilisha taratibu za kuajiri Watanzania na kupunguza wafanyakazi wa...
View ArticleFIFA na CAF kuendelea kufikiria namna ya kuisaidia Zanzibar
Na Anitha Jonas – WHUSMRais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) Gianni Infantino na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) Ahmad Ahmad wakiri kuelewa hali ya Zanzibar pamoja na...
View ArticleMakamu Mwenyekiti wa UWT afanya ziara katika Mkoa wa Magharibi Unguja
Na Is-Haka Omar, Zanzibar.VIONGOZI na watendaji wa Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi(UWT) Tanzania wameshauriwa kuendeleza utamaduni wa kuwatembelea wananchi ili kuibua kero zinazowakabili na...
View ArticleWANANCHI 300 WA KITONGOJI CHA KINACHERE,HANANG WAANZA UJENZI WA KISIMA NA...
Na Jumbe Ismailly -HANANG WANANCHI 300 wa Kitongoji cha Kinachere,kata ya Sirop,tarafa ya Simbay,wilayani Hanang,Mkoani Manyara kwa kushirikiana na Halmashauri ya wilaya ya Hanang wameanza ujenzi...
View ArticleWatoto 6 Wawashiwa Vifaa vya Usikivu (Cochlear Implant)
Watoto sita ambao wamewekewa vifaa vya usikivu Januari mwaka huu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) leo wameanza kusikia kwa mara ya kwanza baada ya kuwashiwa vifaa hivyo.Kuwashwa kwa vifaa...
View Articleserikali yatakiwa kuzitambua kazi za wanawake katika mipango ya Taifa
NA VICENT MACHA - DAR ES SALAAM.SERIKALI imetakiwa kuzitambua kazi za kutoa huduma zinazotekelezwa na wanawake na kuziingiza katika Mipango ya Taifa kwani zinaweza kusaidia kuongeza pato la Taifa.Hayo...
View ArticleNAIBU WAZIRI ANGELINA MABULA ASHUHUDIA UZINDUZI HUDUMA ZA KISASA KITUO CHA...
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina Mabula akilakiwa nawananchi wakati alipokwenda kushuhudia uzinduzi wa huduma za kisasa katika kituo cha Afya cha Nyamwaga kilichopo wilaya...
View ArticleTRA: SASA UNAWEZA KULIPA KODI YA MAJENGO KIELEKTRONIKI
Na: Veronica Kazimoto,Dar es Salaam,Wito umetolewa kwa wananchi wote kuanza kulipa Kodi ya Majengo ya mwaka 2017/18 mapema kwa kuwa ulipaji wa kodi hiyo umerahisishwa ambapo wanaweza kulipa kwa...
View ArticleKATIBU CHADEMA KATA YA MAILMOJA ATIMKIA CCM
Na Mwamvua Mwinyi,PwaniWIMBI la baadhi ya viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM) limezidi kuwakumba hapa nchini baada ya katibu wa CHADEMA kata ya MailMoja Mjini...
View ArticleSTENDI YA KISASA MAILMOJA - KIBAHA KUKAMILIKA MWEZI MACHI
Na Mwamvua Mwinyi,KibahaSTENDI ya mabasi ya Maili Moja wilayani Kibaha mkoani Pwani inatarajiwa kukamilika Machi baada ya mkandarasi wa kuongezewa muda kutokana na mradi huo kukumbwa na changamoto...
View ArticleSOLOMONI MUKUBWA,CHRISTINA SHUSHO WATHIBITISHA KUNOGESHA TAMASHA LA PASAKA...
Waimbaji wa nyimbo za Kiroho (Injili), Afrika Mashariki na Kati Christina Shusho na Solomon Mukubwa wanatarajiwa kuwaburudisha kiroho vilivyo,watakapokuwa wakitumbuiza katika jukwaa la Tamasha la...
View ArticleDC SOPHIA MJEMA AELEZEA UMUHIMU WANAWAKE,VIJANA KUPATIWA ELIMU YA UKOPAJI...
Na Ripota Wetu,Globu ya JamiiMKUU wa Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam Sophia Mjema , amemuagiza Mwwenyekiti wa Umoja wa Wanawake (UWT) Kata ya Liwiti Salima Fumbwe kuandaa vijana na wanawake wa...
View ArticleDIAMOND SOMA NILOCHOANDIKA KUHUSU WEWE NA ZARI, NAMUOMBA MUNGU ASIKURUDISHE...
Na said Mwishehe,Globu ya JamiiNI ngumu kuzungumzia mahusoano ya kimapenzi ya watu wengine lakini kuna wakati unaamua kufumba macho na kuziba masikio useme japo kidogo.Nikiri mahusiano ya kimapenzi...
View Article
More Pages to Explore .....