Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 110028 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC Wangabo Asisitiza Kutumia Bidhaa Za Viwanda Vya Ndani Kujihakikishia Soko

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amewataka wananchi wa Mkoa wa Rukwa na watanzania kwa ujumla kujenga mazoea ya kutumia bidhaa zinazozalishwa na viwanda vilivyopo kwenye maeneo yao ili...

View Article



MICHUZI TV: Mlezi Wa Ukonga Jogging Club Bi Rahel Martin Emil azikwa Kisarawe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI AONDOKA UGANDA MARA BAADA YA KUHUDHURIA VIKAO VYA WAKUU WA NCHI...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiondoka katika uwanja wa ndege wa Entebe mara baada ya kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC ambao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC Wangabo Asisitiza Kutumia Bidhaa Za Viwanda Vya Ndani Kujihakikishia Soko

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amewataka wananchi wa Mkoa wa Rukwa na watanzania kwa ujumla kujenga mazoea ya kutumia bidhaa zinazozalishwa na viwanda vilivyopo kwenye maeneo yao ili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MPINA AZIPIGA FAINI MELI 19 ZILIZOTOROKA BILA KUKAGULIWA

Na John MapepeleSerikali imezipiga faini ya bilioni kumi na tisa meli 19 ikiwa ni shilingi bilioni moja kwa kila meli na kuamuliwa kulipa faini hiyo ndani ya wiki mbili kwa kukiuka kanuni ya 10...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIGWANGALLA ATEMBELEA HIFADHI YA TAIFA YA ARUSHA, ATUMA SALAMU KWA MUWEKEZAJI...

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla akikagua mazingira ya Hifadhi ya Taifa ya Arusha alipotembelea hifadhi hiyo jana kwa ajili ya kukagua shughuli mbalimbali za uhifadhi hususan...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI AREJEA NCHINI AKITOKEA NCHINI UGANDA ALIPOHUDHURIA MKUTANO WA...

Rais Mhe.Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkuu wa MKoa wa Mwanza John Mongella mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza akitokea Nchini Uganda alipohudhuria mkutano wa 19 wa wakuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

OSHA YASISITIZA KADA YA USALAMA KAZINI KUTAMBULIKA RASMI

Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) unakusudia kuishawishi serikali na waajiri katika sekta binafsi hapa nchini kuitambua kada ya Usalama na Afya mahali pa kazi na kuiweka katika mfumo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK MWANJELWA AANZA ZIARA YA KIKAZI MKOANI IRINGA, ATETA NA KINA MAMA...

NAIBU Waziri wa Kilimo, Dk Mary Mwanjelwa akiongea machache na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Amina Masenza alipofika kwa utambulisho na kuanza ziara katika Mkoa huo Februari 23 2018. Pamoja naye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA KUSITISHA MATUMIZI YA ADA MPYA KWA WAANDAAJI WA MBIO ZA MARATHON

SHIRIKISHO la Riadha Tanzania (RT), limepokea tamko la Baraza la Michezo la Taifa (BMT), kuhusu mada tajwa hapo juu Februari 20, 2018 kwa barua yenye Kumbukumbu namba: BMT/A/2/Vol. 18/69, pia kupitia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEYA JIJI LA DAR AWASILISHA MPANGO WA BAJETI BIL 75.2/- ,MADIWANI WAUPITISHA

Na Said Mwishehe,Globu ya Jamii MEYA wa Jiji la Dar es Salaam , Isaya Mwita amewasilisha mpango wa Bajeti wa mwaka 2018 hadi 2019 ambapo jumla ya Sh. bilioni 75.2 zitatumika kwa mwaka huo katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK.KAMANI AWAONYA VIONGOZI VYAMA VYA USHIRIKA NCHINI

Na Said Nwishehe,Globu ya JamiiMWENYEKITI wa Tume ya Maendeleo ya Ushirika,Dk.Titus Kamani amesema Serikali kupitia tume hiyo ni awaelekeza viongozi wa Vyama vya Ushirika kutojihusisha kuuza mali za...

View Article

MBUNGE VITI MAALUM RUVUMA AWAPIGA TAFU WAKULIMA

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Ruvuma Mh.Jacqueline Ngonyani Msongozi ametoa mkopo wa Mbolea kwa vikundi vya akinamama na Vijana vipatavyo 75 vyenye wanachama wapatao 1030 mkoani Ruvuma. Mkopo wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FIFA KUONGEZA FEDHA ZA MAENDELEO NA KUJIENDESHA KWA SHIRIKISHO

Na Anitha Jonas –WHUSMShirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuendeleza viwanja tisa nchini kufuatia kuongezeka kwa dau la pesa za Maendeleo na Kujiendesha zinazotolewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUNA WATU WANAJIDAI WANASHAHADA ZA UCHUMI KUMBE MAMBUMBU WA UCHUMI-Dk MPANGO

Na Said Mwishehe,Globu ya jamiiWAZIRI wa Fedha na Mipango,Dk.Philipo Mpango amesema kuna baadhi ya watu nchini wamekuwa wakijidai wana shahada za uchumi lakini kiuhalisia ni mambumbu wa uchumi.Pia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IDARA YA UHAMIAJI WAFANYA USAFI KITUO CHA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM,...

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii IDARA ya Uhamiaji nchini imefanya usafi katika Kituo cha watoto wenye mahitaji maalumu na Shule ya Msingi ya Matumaini ya Jeshi la Waokovu ‘Salvation Army’ iliyopo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA: Ruvuma Press Club wamlilia mwenyekiti wao Marehemu Hassan Simba

Chama cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Ruvuma (RPC) kimepokea kwa msikitiko taarifa ya kifo cha Mwenyekiti wa Mtwara press club Hassan Simba kilichotokea Leo mchana.Uongozi wa RPC unatoa pole kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA JUMAPILI LEO FEBRUARY 25,2018

Kupata magazeti zaidi BOFYA HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

'SERIKALI YA AWAMU YA TANO HAIKO TAYARI KUONA MWANANCHI ANAONEWA,...

Na,Joel Maduka,Geita. NAIBU Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo amesema Serikali ya Awamu ya Tano haiko tayari kuona mtu akilalamika ,kunyanyaswa au kunyimwa haki yake.Ametoa kauli hiyo alipokuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zoezi la Usajili Tigo Kili Half Marathon laendelea maeneo mbalimbali nchini

Baadhi ya wananchi waliojitokeza kwa wingi kujisajili kushiriki mbio za Km 21 za Tigo Kili Half Marathon katika zoezi la usajili linaloendelea siku ya leo na kesho katika eneo la Mlimani City jijini...

View Article
Browsing all 110028 articles
Browse latest View live


Latest Images