MTULIA ASEMA SHIDA ZA WANANCHI KINONDONI NI ZAKE, ATAJA ATAKAYOANZA NAYO...
Na Ripota Wetu,Globu ya jamiiMGOMBEA ubunge jimbo la Kinondoni kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Abdallah Mtulia ameendelea kuomba kura huku akiwaambi wananchi yeye hana tofauti na wao.Pia shida...
View ArticleSINE TAMER YATILIA MKAZO AGIZO LA RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI
Na Zainab Nyamka,Globu ya Jamii.Kampuni ya Sine Tamer imedhamiria kuhakikisha inatilia mkazo agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli la kuwa katika uchumi wa kati wa...
View ArticlePICHA ZA MATUKIO WAZIRI MKUU BUNGENI
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema) Mkoa wa Geita Upendo Peneza, nje ya jengo la utawala la Bunge Mjini Dodoma, Februari 7, 2018.(Picha na Ofisi ya Waziri...
View ArticleTANZIA
Mfanyabiashara maarufu mkoani Kigoma, Carole P. Mtei amefariki tarehe 04/02/2018 katika hospitali ya Rabininsia, Tegeta jijini Dar es salaam alikokuwa amelazwa kwa matibabu ya maradhi yaliyokuwa...
View ArticleUTUMIAJI WA ISOTOPU ZA KINUKLIA KATIKA UTIBABU: VIPI INAWEZEKANA?
Kama kawaida maneno kama “kinuklia” au “mionzi” yanatisha ikiwa yanatumika katika nyanja za afya na maisha marefu. Hata hivyo, haiwezekani kufikiria utibabu za siku hizi bila ya teknolojia mpya...
View ArticleTANZIA: MWANASIASA TAMBWE HIZZA AFARIKI DUNIA
Mwanasiasa maarufu nchini, Tambwe Hizza amefariki Dunia leo alfajiri nyumbani kwake Mbagala Kizuiani, jijini Dar es salaam.Inaelezwa kuwa Marehemu Tambwe Hizza amefikwa na mauti hayo akiwa usingizini,...
View ArticleTatu Mzuka yazidi kuwaneemesha Watanzania,wengi waendelea kujizolea mamilioni
Mwakilishi wa Kampuni ya inayochezesha mchezo wa kubahatisha,TatuMzuka,Kemilembe Mbeikya (katikati),akizungumza mbele ya Wanahabari mapema jana wakati wa kuwatambulisha washindi wa TatuMzuka,ambao...
View ArticleAirtel yawazawadia washindi 2,000 wa promosheni ya SHINDA NA SMATIKA Intaneti
Kampuni ya simu za mkokoni Airtel Tanzania leo imewazadia washindi 2,000 wa kwanza wa promosheni ya SHINDA NA SMATIKA Intaneti kwenye droo ambayo imechezesha jijini Dar es Salaam.Promosheni ya SHINDA...
View ArticleHALMASHAURI YA JIJI LA MBEYA YABOMOA NYUMBA YA SERIKALI
Na Emanuel Madafa-Mbeya HALMASHAURI ya Jiji la Mbeya, imetoa siku saba kwa mkandarasi anayejenga nyumba ya serikali iliyoamuliwa na mahakama kuu kujengwa, kuibomoa baada ya kubainika kujengwa chini ya...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AKUTANA NA UJUMBE WA SHIMUTA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amekutana na kufanya mazungumzo na Viongozi wa Shirikisho la Michezo la Mashirika ya Umma, Taasisi na Makampuni Binafsi...
View ArticleYANGA KUIFUATA MAJIMAJI SONGEA 16 BORA YA KOMBE LA FA
Raundi ya nne ya michuano ya Kombe la Shirikisho Tanzania Bara (Azam Sports Federation Cup) imefanyika leo kwa timu 16 zimehusika katika droo hiyo.Miongoni mwa timu hizo ni ile ya Buseresere FC ambao...
View ArticleKESI YA WEMA SEPETU KUUNGURUMA FEBRUARI 26 MWAKA HUU
Na Karama Kenyunko, Blogu ya jamii.Shahidi wa pili wa Upande wa Mashtaka katika kesi ya kutumia dawa za kulevya inayomkabili msanii Wema Sepetu ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa...
View ArticleMFUMUKO WA BEI KWA MWEZI JANUARI UMEBAKI KUWA ASILIMIA 4.0-NBS
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiMFUMUKO wa bei wa Taifa wa Januari 2018 umebaki kuwa asilimia 4.0 kama ilivyokuwa mwezi Desemba 2017 kwa ujumla inamaanisha kuwa kasi ya mabadiliko ya bei ya bidhaa...
View ArticleWAFANYABIASHARA NDOGONDOGO KAZINI
Wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama Machinga,akisafisha vikombo katika Barabara ya Morogoro Shekilango jijini Dar es Salaam.Kijana akipima chupa za plastiki anazozikusanya mtaani na kuziuza jijini...
View ArticleDIAMOND NA HAMISA WAMALIZA TOFAUTI ZAO
Na Karama Kenyunko , Globu ya JamiiMsanii wa muziki wa kizazi kipya Naseeb Abdul “Diamond Platzum” mapema leo asubuhi amefika katika viunga vya mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu upande wa Ustawi wa Jamii...
View ArticleRITA SASA KUTOA CHETI CHA KUZALIWA SIKU MOJA
Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiWakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini(RITA) imefanya maboresho ya Kanzidata na mfumo wa usajili wa vizazi na kifo kupitia mradi wa maboresho ya miundombinu ya...
View ArticleSimba Sc, Gendarmerie Nationale Nani Mbabe.
Na Agness Francis Globu ya jamii VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba Sc wanaendelea kujifua vikali kukabiliana na mchezo wao kimataifa dhidi ya Gendarmerie Nationale FC ya nchini Djibouti katika...
View ArticleSerikali Yahamasisha Kilimo cha Mazao Makuu Matano ya Biashara.
Na: Lilian Lundo - MAELEZO, Dodoma.Serikali inaendelea na mpango wa kuhamasisha ulimaji wa mazao makuu matano ya Pamba, Korosho, Tumbaku, Kahawa na Chai nchini ili kuongeza uzalishaji wa mazao...
View Article
More Pages to Explore .....