MAGUFULI AMEWATENDEA HAKI WANARUFIJI KURIDHIA UJENZI WA STIEGLER'S GORGE...
Na Mwamvua Mwinyi,RufijiMBUNGE wa jimbo la Rufiji,mkoani Pwani,Mohammed Mchengelwa amesema Rais Dkt.John Magufuli hakukosea kuridhia kujengwa kwa mradi mkubwa wa kuzalisha umeme katika maporomoko ya...
View ArticleDC SHINYANGA AFUNGUA KIKAO CHA TAHOSA, ATOA TAHADHARI KWA WAKUU WA SHULE
Na Kadama Malunde - Malunde1 blogMkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine MatiroMatiro amewatahadharisha wakuu wa shule za sekondari wilayani humo kutothubutu kuchangisha pesa kwa wazazi na wanafunzi kwa...
View ArticleRAIS DKT MAGUFULI NA MAKOMANDOO WA JWTZ
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya askari wa vikosi maalumu (makomandoo) wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania...
View ArticleMWINYI ASHIRIKI KUPANDA MITI NA ROTARY INTERNATIONAL CLUB JANGWANI SEKONDARI
RAIS Mteule wa Rotary International, Barry Rassin akikata utepe kuashiria uzinduzi wa zoezi kupanda miti kwenye Shule ya Wasichana Jangwani kushiriki zoezi la kupanda miti kwa lengo kuunga mkono...
View ArticleOFISI YA RAIS-UTUMISHI YATEKELEZA MWONGOZO HUDUMA KWA WATUMISHI WA UMMA WENYE...
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro akizungumza na Bw. Abbas Mpunga kabla ya kumkabidhi Bajaji ili kumwezesha mtumishi huyo kutekeleza majukumu...
View ArticlePOLE POLE AMTAKA MKURUGENZI HALMASHAURI ILALA KUTOA UFAFANUZI MIKOPO WANAYOTOA
Na David John KATIBU wa Nec Itikadi na uenezi Taifa wa Chama cha Mapinduzi, Humphrey Polepole ameuagiza uongozi wa Chama hicho wilaya chini ya Ubaya Chuma kumuita mkurugenzi wa Halmashauri ya Ilala na...
View ArticleJINSI YA KUANDAA NA KUTAYARISHA LISHE MAALUMU YA ASILI YA KUONGEZA UZITO NA...
Je, umekonda na kudhoofika mwili kwa sababu mbalimbali kama vile kuugua maradhi au msongo wa mawazo ( stress)?Uzito wako umepungua kupita kawaida ? Unahitaji kuongezeka uzito wako kwa...
View ArticlePASIPOTI MPYA NI SALAMA ASILIMIA 100 - UHAMIAJI
Na Mwandishi Wetu. IDARA ya uhamiaji nchini imewataka watanzania kupuuza habari zinazozagaa kuhusu uvumi wa pasipoti mpya kuwa zimechakachuliwa.Kauli hiyo ameitoa leo jijini Dar es Salaam wakati...
View ArticleMPINA APANGUA HOJA ZA WABUNGE NAMNA WIZARA YAKE INAVYOPAMBANA KUTOKOMEZA...
Na John Mapepele, DodomaWAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina amepangua hoja zilizotolewa na wabunge kuhusu namna Wizara yake inavyopambana kutokomeza uvuvi haramu ili kunusuru kupotea kabisa kwa...
View ArticleJUKWAA LANGU Feb 5 2018 Pt 2 TANO LADIES
Katika sehemu ya pili ya kipindi cha Jukwaa Langu Jumatatu hii tumetembelewa na TANO LADIES."Wadada" walioamua kuwa sehemu ya msukumo wa maendeleo ya wanawake na mabinti zetu.Wamezungumzia (pamoja na...
View ArticleWENGI WAJITOKEZA KUSHIRIKI MAFUNZO YA MKIKITA KILIMO BIASHARA CHA PAPAI SALAMA
Na Seleman MsuyaZAIDI ya wanachama 500 wa Mtandao wa Kijani Kibichi Tanzania (Mkikita), wanatarajiwa kushiriki mafunzo maalum ya kufungua msimu wa kilimo cha Papai salama.Hayo yamesemwa na Mkurugenzi...
View ArticleKipindi cha JUKWAA LANGU: SARATANI
Katika sehemu ya kwanza ya kipindi cha Jukwaa Langu, tumezungumzia kuhusu siku ya SARATANI DUNIANI iliyoadhimishwa Feb 4.· Takwimu za maradhi haya zinaonyesha kwamba kifo 1 kati ya 6 hutokana na...
View ArticleJKCI yafanya semina ya afya ya moyo,magonjwa yasiyoambukiza kwa Wabunge mjini...
Wazazi wametakiwa kuhakikisha watoto wao wanapata chanjozote zinazotakiwa ili waweze kuepukana na magonjwa mbalimbali yakiwemo magonjwa ya moyo ya kuzaliwa nayo.Rai hiyo imetolewa jana na Waziri wa...
View ArticleKUTOKA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mhe,Mohamed Aboud Mohamed kulia akibadilishana mawazo na Waziri wa Fedha na Mipango Dk,Khalid Salum Mohammed ndani ya Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi...
View ArticlePESA ZA MAENDELEO HAZINA CHAMA-SALUM MWALIMU
Mgombea Ubunge wa CHADEMA, Salum Mwalimu akihutubia katika Mkutano wa Wananchi uliofanyika katika Kata ya Kigogo akiomba kura hili aweze kupata ridhaa ya kuwa Mbunge wa Jimbo la Kinondoni katika...
View Article
More Pages to Explore .....