RAIS MTEULE WA ROTARY INTERNATIONAL AWASILI NCHINI TANZANIA
RAIS Mteule wa Rotary International, Barry Rassin amewasili nchini Tanzania jana na kulakiwa na wenyeji wake District Governor, Bwana Kenneth Mugisha, District Governor Mteule, Sharmila Bhatt pamoja na...
View ArticleEKARI 130,000 ZA MITI KUTUNZA NA KUPANDWA NA WAKAZI WA UYUI
NA TIGANYA VINCENT-RS TABORAHALMASHAURI ya Wilaya ya Tabora imeagiza kila kaya katika eneo hilo kuhakikisha inapanda miti ekari moja na kutunza miti asili ekari moja ikiwa ni mpango wake wa kuhakikisha...
View ArticleDkt. Shein Afungua Jengo Mahakama ya Wilaya Mwanakwerekwe Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akikata utepe kuashiria kulifungua jengo jipya la Mahakama ya Wilaya Mwanakwerekwe Unguja,kushoto Waziri Nchi Ofisi ya Rais...
View ArticleDkt. Marry Nagu: ununuzi wa mbolea kwa pamoja mkombozi kwa mkulima
Na Beatrice Lyimo-MAELEZO, DODOMAMfumo wa ununuzi wa mbolea kwa pamoja(Fertilizer Bulk Procurement) umesaidia kuwawezesha wakulima wadogo kupata mbolea yenye ubora na kwa bei nafuu kwa wakati.Hayo...
View ArticleRAIS MAGUFULI AFUNGUA KITUO CHA MAFUNZO MAALUM YA KIJESHI MAPINGA MKOANI PWANI
Amiri Jeshi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akivuta utepe kuashiria ufunguzi wa Kituo cha Mafunzo Maalum ya Kijeshi kilichopo Mapinga, Bagamoyo...
View ArticleKUMBUKUMBU YA MAMA OMWANA THERESIA NYAMICHWO RUTAGERUKA
TAREHE 6 – FEBRUARI 2018, UMETIMIZA MIAKA 24 TANGU MWENYEZI MUNGU ALIPOKUTWAA TOKA HAPA DUNIANI. PAMOJA NA KWAMBA KIMWILI HAUPO NASI, KIROHO TUNAKUKUMBUKA DAIMA. TUNAADHIMISHA KUMBUKUMBU HII TUKIOMBA...
View ArticleMwanasheria Mkuu wa Serikali akutana na Katibu wa Bunge mjini Dodoma
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dk.Adelardus Kilangi leo Jumanne amemtembelea Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Stephen Kigaigai ofisini kwake mjini Dodoma kwa ajili ya...
View ArticleNI KWELI WA CHEZAJI WA MAJI MAJI WANAGOMBANIA CHAKULA ?
Fahamu mambo makuu matatu kuhusiana na Club ya Maji Maji inayoshiriki ligi kuu Tanzania Bara 2017-2018 katika mahojiano maalum yaliyofanywa na Ruvuma Tv on line na Msemaji wa club hiyo Onesimo Emeran .
View ArticleIntroducing Kingman 107 track
https://www.youtube.com/watch?v=lsFX0Xm2P2Qhttps://www.youtube.com/watch?v=gmP3sOYucaIhttps://www.youtube.com/watch?v=a8mMkG_qTFchttps://www.youtube.com/watch?v=IGD3XG_eu5k&t=215shttps://www.youtub...
View ArticleMAHAKAMA YA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI YAKABILIWA NA CHANGAMOTO LUKUKI
Na Wankyo Gati, ArushaUHABA wa fedha na watumishi katika uendeshaji wa shughuli za Mahakama ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EACJ), unachangia kukwamisha baadhi ya mashauri mahakamani hapo.Akielezea...
View ArticleMkuu wa wilaya ya Hanang Mhe. Sarah Msafiri afunga Mafunzo ya Mgambo katika...
Mkuu wa wilaya ya Hanang Mhe. Sarah Msafiri akikagua gwaride wakati alipofunga Mafunzo ya Mgambo katika tarafa ya Bassotu wilayani humo mwishoni mwa wiki. (Picha kwa Hisan ya New Hanang Photo Studio)
View ArticleNEWS ALERT: LESENI MADUKA KUBADILISHA FEDHA ZA KIGENI KAA LA MOTO
*Maduka yamepungua,baadhi ya wamiliki waingia mitini*Kati ya maduka 297 ya awali sasa yamebaki 70,matawi 40*BoT yaendelea kuchambua leseni za maduka 65, Na Said Mwishehe, Globu ya jamiiBENKI Kuu ya...
View ArticleWAFANYABIASHARA WADANGANYIFU KUCHUKULIWA HATUA ZA KISHERIA
NA DITHA NYONI RUVUMA Mkuu wa mkoa wa RUVUMA BI CHRISTINA MNDEME amewataka wafanyabiashara katika mkoa wa huo kuhakikisha wanatumia vyema mashine ya kutolea risiti EFD kwa ajili kuongeza mapatao na...
View ArticleUWT KILOLO KUTATUA TATIZO LA VYOO SHULE YAMSINGI ILULA,ISOLIWAYA MKOANI IRINGA
Na Fredy Mgunda,Iringa. WALIMU wa shule ya msingi Ilula na Isoliwaya zilizoko katika kata ya Ilula Wilaya ya Kilolo wanakabiriwa na magonjwa ya Mlipuko kwa kukabiliwa na changomoto ya choo.Shule hizo...
View Article
More Pages to Explore .....