SERIKALI YAIPONGEZA HOSPITALI HUBERT KAIRUKI KWA UJENZI JENGO LA KISASA...
Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinodnoni, Dkt. Festo Dugange (kwanza) na Mama Kokushubira Kairuki ambaye ni mke wa Marehemu Hubert Kairuki (wa pili) wakiangalia ramani ya ujenzi wa kituo cha kisasa cha...
View ArticleSHEHENA YA MAGOGO 297 YENYE THAMANI YA ZAIDI YA SHILINGI MIL.26.3 YATAIFISHWA...
Na Jumbe Ismailly-ITIGI SHEHENA nyingine ya magogo 297 yenye thamani ya shilingi milioni 26,370,000/= yaliyokuwa yakimilikiwa na Kampuni ya ARIZONA ENTERPRISES iliyopo katika Mji mdogo wa...
View Articlewawili wapendanao wajishindia milioni 10 za tatu mzuka
Mwakilishi wa kampuni ya TatuMzuka,Milard Ayo akizungumza mbele ya Waandishi wa habari mapema jana jijini Dar,alipokuwa akiwatambulisha washindi wa TatuMzuka Daily,waliojinyakulia Milioni 10 wakiwemo...
View ArticleUCHUMI CUP YAFUNGULIWA HANDENI KUHAMASISHA SHUGHULI ZA MAENDELEO KWA VIJANA
Katika kuhamasisha vijana kujishughulisha na shughuli za maendeleo hususani kilimo mashindano ya mpira wa mguu na mpira wa pete UCHUMI CUP yamefunguliwa rasmi kwa ngazi ya robo fainali na Mwakilishi wa...
View ArticleKarani wa Kampuni ya Ulinzi ya SGA ahukumiwa kulipa faini ya Sh milioni 100...
Na Karama Kenyunko, blogu ya Jamii.Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuhukumu Karani wa Kampuni ya Ulinzi ya SGA, Winfred Businge (33) kulipa faini ya Sh milioni 100 ama kutumikia kifungo cha miaka...
View ArticleTICTS WASHEHEREKEA REKODI YA ONGEZEKO SHUGHULI 2017-
Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya TICTS, Jared.H. Zerbe akiongea kwenye hafla ilioyandaliwa na kampuni hiyo iliyofanyika katika hoteli ya Hyatt Regency mwishoni mwa wiki iliyopita kusheherekea rekodi ya...
View ArticleMATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU LEO BUNGENI MJINI DODOMA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Waziri wa Nchini, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Viana, Akira na Wende Ulemavu, Jenista Mhagama (kushoto) na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais,...
View ArticleAZAM FC, SIMBA SC VITANI KESHO UWANJA WA TAIFA
Na Agness Francis, Globu ya jamii MABINGWA Afrika Mashariki na kati Azam FC watakuwa wageni dhidi ya vinara aa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba Sc katika mchezo wao wa 2 mzunguko wa 2.Mchezo huo...
View ArticleJENERALI MABEYO AWATAKA WACHEZAJI WA GOFU LUGALO KUREJESHA HESHIMA KWA KUWA...
Na Luteni Selemani Semunyu JWTZMKUU wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo amewataka wachezaji wa Gofu wa Klabu ya Jeshi ya Lugalo kuhakikisha wanarejesha heshma ya jeshi kwa kuwa kinara katika...
View ArticleUTARATIBU WA SHERIA UNAPOHAMISHA OFISI ZA KAMPUNI.
Na Bashir Yakub.Vijana wengi wamefungua makampuni. Mengine tayari yanafanya kazi na mengine hayafanyi kazi. Kutokana na sababu mbalimbali vijana wamekuwa wakihamisha ofisi za...
View ArticleRAIS WA ZANZIBAR AZUNGUMZA NA BALOZI WA INDONESIA NCHINI TANZANIA IKULU LEO
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Balozi wa Indonesia Nchini Tanzania Ratlan Pardede, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzoRAIS wa Zanzibar...
View ArticleSTARTIMES YAMKUTANISHA STAA MAU DOU DOU NA WASANII WA FILAMU NCHINI
Kampuni ya Star Media (T) Ltd kupitia chapa yake ya StarTimes imefanya hafla fupi ya kumkutanisha muigizaji maarufu wa China Hai Qing maarufu kama Mau Dou Dou na wasanii wa Kitanzania pamoja na...
View ArticleLESENI MADUKA KUBADILISHA FEDHA ZA KIGENI KAA LA MOTO
*Maduka yamepungua,baadhi ya wamiliki waingia mitini*Kati ya maduka 297 ya awali sasa yamebaki 70,matawi 40*BoT yaendelea kuchambua leseni za maduka 65, Na Said Mwishehe,Blogu ya jamiiBENKI Kuu ya...
View ArticleDC HANANG AFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO
Mkuu wa wilaya ya Hanang, Sarah Msafiri akikagua gwaride wakati alipofunga Mafunzo ya Mgambo katika tarafa ya Bassotu wilayani humo mwishoni mwa wiki. (Picha kwa Hisan ya New Hanang Photo Studio)
View ArticleRC NDIKILO AIAGIZA CBT KUMLIPA MALIPO MKANDARASI GHALA LA KUHIFADHIA KOROSHO...
Na Mwamvua Mwinyi,MkurangaMKUU wa mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo ameiagiza bodi ya Korosho Tanzania (CBT) kuhakikisha inamlipa ,malipo ya awali kiasi cha sh.bilioni 1.6, mkandarasi wa ghala la...
View ArticleTANZANIA,CHINA KUSHIRIKIANA KUONGEZA WATALII.
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiTANZANIA na China zimeamua kushirikiana kwa lengo la kukuza soko la utalii nchini.Hivyo imeelezwa watu maarufu na mashuhuri wa nchi ya China akiwamo mwigizaji maarufu...
View ArticleDKT. KIGWANGALLA AFANYA MAZUNGUMZO NA MUWAKILISHI BENKI YA DUNIA NCHINI
Waziri wa Maliasili na Utalii Dk. Hamisi Kigwangalla (kulia) akizungumza na Muwakilishi wa Benki ya Dunia nchini Tanzania, Daniel Mira-Salama ambaye pia ni Mratibu wa Mradi wa REGROW kwa ajili ya...
View ArticleMKUU WA MAJESHI YA ULINZI AITAKA GOLF LUGALO KUREJESHA HESHMA YA JESHI MICHEZONI
Na Luteni Selemani Semunyu JWTZMkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo amewataka wachezaji wa Timu ya Wanawake ya Gofu ya Klabu ya Jeshi ya Lugalo kuhakikisha wanarejesha heshma ya jeshi kuwa...
View ArticleMTOTO AUWAWA KIKATILI MKOANI MTWARA
Mtoto mwenye umri wa miaka Mitano Jazaka Mussa, ameuwawa kikatili kwa kukatwa na Panga kichwani na mtu asiyefahamika katika kijiji cha Lipwidi, halmashauri ya wilaya ya Mtwara.Akithibitisha taarifa za...
View Article
More Pages to Explore .....