ekari sita za bangi zateketezwa mkoani arusha
Waziri wa mambo ya ndani nchini,Dkt Mwigulu Nchemba leo ameongoza oparesheni ya kuteketeza jumla ya ekari sita za bangi zilizokuwa zimelimwa katikati ya msitu ndani ya kijiji cha Engalaoni wilayani...
View ArticleMWANASHERIA MKUU AKIJITAMBULISHA KWA WAZIRI MKUU
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Dk. Adelardus Kilangi amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa mjini Dodoma hapo jana, ikiwa ni sehemu ya ratiba yake ya kujitambulisha kwa...
View ArticleNAIBU WAZIRI AFANYA ZIARA KUKAGUA UTEKELEZAJI MIRADI YA UMEME VIJIJINI
Mwishoni mwa wiki Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu ametembelea na kukagua utekelezaji wa Miradi ya umeme vijijini (REA II & REA III) kwenye jumla ya vijiji 18 katika wilaya za ROMBO,...
View ArticleWAVURUGA ELIMU KONDOA WAMKERA MKUU WA WILAYA
Mkuu wa Wilaya ya Kondoa Mh. Sezaria Makota amesema hatowafumbia macho wale wote wenye nia ya kuishusha wilaya ya Kondoa kielimu kwa kuvuruga kwa makusudi mikakati ya kuinua elimu wilayani...
View ArticleJESHI LA ZIMAMOTO MKOANI ARUSHA LAMUUNGA MKONO JPM
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoani Arusha limemkabidhi vifaa vya kuzimia moto (fire extenguisher’s) sita mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt....
View ArticleHalmashauri Kishapu yaboresha huduma za elimu kupitia ushirikishaji wananchi
Na Robert Hokororo, Ofisi ya Mkurugenzi.Serikali ya Tanzania imeweka mkazo kuboresha mazingira ya elimu kwa wanafunzi katika kujifunza ambayo ndiyo chachu ya mabadiliko na kufanya sekta hiyo nyeti...
View ArticleMKUU WA TAKWIMU ATOA TAKWIMU ZA BEI ZANZIBAR
Mkuu wa Takwimu za Bei Zanzibar Khamis Abdul-rahman Msham akitoa maelezo kuhusiana na Takwimu za Bei ambapo zimeonekana kushuka kutoka asilimia 5.9 kwa Mwezi wa Disemba 2017 hadi asilimia 5.2 kwa...
View ArticleZaidi ya Bilioni 25 kutekeleza shughuli mbalimbali Halmashauri Wilaya Njombe
Na Lukelo Mshaura- Njombe.Baraza la madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Njombe limepitisha mapendekezo ya rasimu ya bajeti ya mwaka wa fedha 2018/2019 wilayani hapa.Katika mapendekezo hayo baraza hilo...
View ArticleZAIDI YA BILIONI 2.1 KUKARABATI BIHAWANA NA DODOMA SEKONDARI
Na Ramadhani Juma, Ofisi ya Mkurugenzi .SERIKALI kupitia Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) imetoa zaidi ya shilingi Bilioni 2.1 kwa ajili ya kukarabati Shule za Sekondari za Bihawana na Dodoma zilizopo...
View ArticleMATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU BUNGENI MJINI DODOMA LEO
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani, Bungeni mjini Dodoma Februari7, 2018. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge , Kazi, Vijana, Ajira na...
View ArticleUHAMIAJI YAWACHUNGUZA WATOTO WATATU RAIA WA RWANDA KWA KUINGIA NCHINI BILA...
Na Jumbe Ismailly, SingidaIDARA ya Uhamiaji Mkoa wa Singida inawashikilia kwa uchunguzi watoto wa kike watatu raia wa Rwanda wenye umri chini ya miaka 18 kwa tuhuma za kuingia nchini kinyume cha...
View ArticleWAHAMIAJI WALOWEZI WATAKIWA KUJIORODHESHA UHAMIAJI
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiIDARA ya Uhamiaji Mkoa wa Dar es Salaam imewataka wahamiaji walowezi kujiorodheshwa Marika ofisi zao za uhamiaji wilaya.Lengo ni kwamba baada ya kufanya hivyo...
View ArticleTANZANIA KINARA UTAWALA BORA AFRIKA MASHARIKI
Na. Immaculate Makilika- MAELEZOOrodha ya Hali ya Demokrasia Duniani (2017 Democracy Index) iliyozinduliwa Februari 2, mwaka huu na kuchapishwa na jarida kongwe na mashuhuri duniani la The Economist...
View ArticleUTUNZAJI FEDHA BADO NI CHANGAMOTO KWA WATANZANIA
Na Said Mwishehe,Blogu ya jamiiBENKI Kuu ya Tanzania(BoT) imesema bado ni changamoto kwa watanzania walio wengi katika kutunza fedha za noti na noti ya sh.500 na noti ya Sh.1000.Hayo yamesemwa leo...
View ArticleWAZIRI JAFO AWATAKA WADAU WA ELIMU KUUNGA MKONO SERA YA ELIMU BILA MALIPO
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.Selemani Jafo amewataka Wadau wote wa Elimu pamoja na jamii kwa ujumla kushirikiana na serikali kutekeleza sera ya elimu Bila...
View Article
More Pages to Explore .....