WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AMWAKILISHA RAIS MAGUFULI MKUTANO WA AU NCHINI...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa amehudhuria katika Mkutano wa Viongozi Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika AU, kumwakilisha Rais John Pombe Magufuli. Januari 29, 2018. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa...
View Article5 YEARS DEATH ANNIVERSARY
Moses Tito KachimaBORN:27th January 1945 DIED: 29th January 2013Gone but not forgotten. Your presence lingers in our life. God blessed us with your presence and now you’re not here...
View ArticleSERIKALI KUTOWAFUMBIA MACHO WANAOJIHUSISHA NA UVUVI HARAMU
Na Ripota Wetu,Globu ya jamiiSERIKALI ya Awamu ya Tano inayoongozwa na Rais ,Dk.John Magufuli imeapa kutowafumbia macho viongozi au watu wanaojihusisha na shughuli za uvuvi wa kutumia zana haramu...
View ArticleMKAZI WA JIJI LA MWANZA AJISHINDIA MILIONI 40 ZA TATUMZUKA
Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Ilemela,Khadija Nyembo akimkabidhi mfano wa hundi mkazi wa Buswelu,Ilemela,jijini Mwanza, Gibson Gratian Erasms,aliyejishindia kitita cha shilingi milioni 40 kwenye mchezo wa...
View ArticleMPINA AAGIZA VIWANDA VYA SAMAKI KANDA YA ZIWA VICTORIA VIANZE KAZI IFIKAPO...
Na John Mapepele, Mara.Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina ameagiza viwanda vinne vya kuchakata samaki na mazao yake vilivyofungwa katika Mikoa ya Mwanza na Mara kuanza kazi mara moja ifikapo Julai...
View ArticleMAJINA YA VYUO YABADILISHWA ZANZIBAR
Chuo Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA) kiliunganishwa na Chuo cha Uongozi wa Fedha Zanzibar cha Chwaka, Chuo cha Maendeleo ya Utalii Zanzibar cha Maruhubi na Chuo cha Afya cha Mbweni kwa sheria No. 7 ya...
View ArticleKIGWANGALLA AWATAKA WALIOVAMIA KIWANJA MAMLAKA HIFADHI YA NGORONGORO...
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla (kulia) akipata maelezo ya eneo la kiwanja chenye hati namba 4091 kilichopo Njiro Jijini Arusha ambacho kimevamiwa na watu mbalimbali na kuanzishwa...
View ArticleSHUGHULI ZA KIBINADAMU ZAATHIRI UZALISHAJI UMEME NYUMBA YA MUNGU
Na Rhoda James, KilimanjaroImeelezwa kuwa, shughuli za Kibinadamu zinazofanywa kuzunguka Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Nyumba ya Mungu zimeendelea kuathiri uzalishaji wa nishati hiyo kutokana na...
View ArticleMADARASA YA NYASI, TEMBE, UDONGO YASITUMIKE KATIKA SHULE ZOTE NCHINI-WAZIRI JAFO
Nteghenjwa Hosseah, OR-TAMISEMI.Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Selemani Jafo amewaagiza Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi ambao kwenye maeneo yao bado kuna...
View ArticleMBULU YAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA MABILIONI KUKAMILISHA VIPAUMBELE VYAKE
Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Mkoani Manyara, limepitisha shilingi bilioni 43.983 za mapendekezo ya mpango wa bajeti kwa mwaka wa fedha wa 2018/2019. Mkurugenzi Mtendaji wa...
View ArticleJAJI MKUU AZINDUA KITUO CHA MAFUNZO, HABARI KUWAJENGEA UWEZO WATUMISHI
Na Karama Kenyunko, blogu ya jamii.JAJI Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Juma amezindua Kituo cha Mafunzo na Habari za Mahakama kilichopo Kisutu Dar es Salaam ambacho kitasaidia kuwajengea uwezo...
View ArticleMSEMAJI WA JESHI LA ZIMAMOTO,UOKOAJI NCHINI ATEMBELEA CHANNEL TEN
Mwandishi wa habari na mtangazaji mwandamizi wa African Media group Ltd inayosimamia Vyombo vya utangazaji Channel ten na Magic Fm, Bw. Kibwana Dachi akifafanua jambo kwa Msemaji Mkuu wa Jeshi la...
View ArticleJafo Apiga Marufuku Madarasa ya Udongo na Tembe.
Na: Lilian Lundo - MAELEZO, Dodoma.Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Selemani Jafo amewaagiza Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi wa Halamshauri zote nchini...
View ArticleRAIS MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI MTEULE DKT....
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Balozi Mteule Dkt. Wilbrod Slaa kabla ya kuanza mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri...
View ArticleRAIS Dkt Magufuli akutana na Maafisa Wakuu sita wa JWTZ wanaotarajiwa kustaafu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini (CDF) Jenerali Venance Mabeyo kabla hajaanza kuwatambulisha Maafisa...
View ArticleWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AMWAKILISHA RAIS MAGUFULI MKUTANO WA AU NCHINI...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa amehudhuria katika Mkutano wa Viongozi Wakuu wa Nchi za Umoja wa Afrika AU, kumwakilisha Rais John Pombe Magufuli. Januari 29, 2018. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa...
View ArticleWAZIRI ATAKA WAKURUGENZI WA HALMASHAURI KUPELEKA WATUMISHI TPSC KUPIGWA MSASA
Mkuu wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) Dkt.Henry Mambo (wa pili kushoto) akiteta jambo na Mkuu wa Wilaya ya Singida Elias Tarimo huku Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi...
View ArticleWananchi Wapongeza Tanzania Kutajwa Kinara Uchumi Shirikishi
Wananchi Mkoani Dodoma wamepongeza hatua zinazochukuliwa na Serikali katika Kujenga uchumi shirikishi unaogusa maisha ya wananchi baada ya Tanzania kutajwa na Jukwaa la Uchumi Duniani (World Economic...
View Article
More Pages to Explore .....