Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 109602 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC MLOZI AHIMIZA WATENDAJI,MADIWANI WA MANISPAA YA TABORA KUZINGATIA MUDA

Na Tiganya VincentMKUU wa Wilaya ya Tabora Queen Mlozi amewataka Madiwani na Watumishi wa Manispaa ya Tabora kuzingatia muda wanapokuwa katika shughuli mbalimbali kama wanataka kupata maendeleo ya...

View Article



Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamishna Nsekela: Zingatieni mgongano wa Maslahi mnapojadili rasimu ya kanuni

Kamishna wa Maadili Jaji (Mst) Harold Nsekela amewataka wadau wa maadili kuzingatia suala la mgongano wa maslahi wanapojadili rasimu ya kanuni za maadili ili kupata kanuni sahihi zitakazosaidia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAUZA MENO YA VIBOKO KWA SH.30,900,000/= KATIKA MNADA WA HADHARA LEO...

Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imefanya mnada wa hadhara wa kuuza meno ya viboko vipande 12,467 yenye uzito wa kilo 3,580.29 katika ofisi zake ndogo katika Jengo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Shein Afungua Warsha ya Uelewa Mamlaka ya Viwanda Vidog Vidogo...

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia na kulifungua Kongamano la Warsha ya Uelewa Juu ya Mamlaka Itakayosimamia Viwanda Vidogo vidogona Vya Kati...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI SIMBA AKUTANA NA UGENI KUTOKA NCHINI MAREKANI

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Balozi Simba Yahya (kulia) akimkaribisha katika ofisi ndogo ya Wizara, jijini Dar es Salaam, Afisa wa Masuala ya Siasa kutoka Ubalozi wa Marekani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

YANGA KUKWEA PIPA ALFAJIRI KESHO KUWAHI MECHI SAA 10 JIONI

Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.KIKOSI cha Yanga kesho kinatarajia kukwea pipa alfajiri na mapema ili kuwahi mechi yao  dhidi ya Ihefu ikiwa ni mchezo wa kombe la Azam Sports HD  utakaopigwa kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BFB WAANDAA MASHINDANO YA KUJIMA NGUVU KUELEKEA JUMUIYA YA MADOLA

Na Agness Francis Globu ya Jamii. KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Ngumi Tanzania(BFT) Makore Mashaga amesema katika kujiandaa na michuano kuelekea Jumuiya ya Madola watakwenda Mjini Dodoma kwa ajili ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU SPIKA AONGOZA KIKAO KAMATI YA UONGOZI MJINI DODOMA.

 Naibu Spika wa Bunge, Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson akiongoza kikao cha kamati ya uongozi kilichokuwa kinalenga kupokea na kujadili Shughuli za Mkutano wa kumi wa Bunge pamoja na Mapendekezo ya Ratiba...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BASI LA TAHMEED LATETEKEA KWA MOTO KABUKU WILAYANI HANDENI

Basi la kampuni ya Tahmeed lenye namba za usajili T483 BFL limeungua moto katika Kijiji cha Kabuku wilayani Handeni. Kwamujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoani Tanga, SACP Edward Bukombe alisema basi hilo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASKARI 16 WA JESHI LA POLISI WATUNUKIWA VYETI

Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa RUVUMA Gemini mushi amewatunuku vyeti askari 16 kikosi cha usalama barabarani kwa kazi nzuri waliyoifanya kwa kipindi cha mwaka 2016 na 2017.

View Article

KIPINDI MAALUM CHA RAIS DKT. MAGUFULI KUKUTANA NA MAAFISA WA JWTZ...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHERIA YA TAKWIMU MWAKA 2015 HAIJAZUIA TAFITI ELIMU YA JUU

Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiMKURUGENZI wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dk.Albina Chuwa amesema sheria ya Takwimu ya mwaka 2015, hazigusi tafiti zinazofanywa na Vyuo Vikuu nchini kutokana na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MGOMBEA TLP AOMBA WANANCHI KUENDELEA KUWAAMINI WAPINZANI

Na Karama Kenyunko, Globu ya jamiiMGOMBEA ubunge Jimbo la Kinondoni jijini Dar es Salaam kupitia Tanzania Labour Party(TLP), Dk. Godfrey Malisa ameomba wananchi wa jimbo hilo kuendelea kuamini kuwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bodi ya Filamu Yamaliza Mzozo Malipo Filamu ya Utu Wangu

Na: Mwandishi WetuHatimaye Bodi ya Filamu nchini imerejesha furaha kwa msanii na mtayarishaji wa filamu ya Utu Wangu kufuatia kuongoza kikao cha usuluhishi kilichofikia muafaka kwa msanii huyo kulipwa...

View Article

UZINDUZI WA KAMPENI ZA UBUNGE ZA CCM WILAYA YA KINONDONI

View Article


Kuanza Kwa Mkutano Wa Kumi Wa Bunge mjini DODOMA Jumanne Januari 20, 2018

View Article

Introducing "WATAKUBALI" by Mbosso

View Article


INTRODUCING "TUNAPENDANA" BY KAREN

View Article

Introducing "Nang'ang'ania" by Atan

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKOA WA PWANI WAZINDUA MSIMU MPYA WA KILIMO IKIWEMO MPUNGA 2018/2019

Na Mwamvua Mwinyi,PwaniMKUU wa mkoa wa Pwani ,mhandisi Evarist Ndikilo ,amekiagiza Chama Cha Ushirika cha Wakulima wa Umwagiliaji Ruvu (CHAURU), kumnyang'anya mwekezaji wa Kichina M/S Guoming Tang...

View Article
Browsing all 109602 articles
Browse latest View live




Latest Images