Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 110186 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAOFISA WA BUNGE WATOA ELIMU KWA WANAFUNZI WA NYAMIONGO, MWISENGE

 Mkurugenzi Msaidizi na Mratibu wa Dawati la Bunge la Afrika kutoka Ofisi ya Bunge, Ndg. Lawrence Makigi, akizungumza  jambo wakati akitoa Elimu kwa Shughuli Mbali mbali zinazofanywa na Bunge la...

View Article



Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC MARA TOKOMEZA UVUVI HARAMU ZIWA VICTORIA-MAJALIWA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza  Mkuu wa Mkoa wa Mara, Bw. Adam Malima kwa kushirikiana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa  wahakikisha wanatokomeza uvuvi haramu katika ziwa Victoria.Waziri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WADAU WA SEKTA YA UJENZI WAJADILI RASIMU YA SERA MPYA

 Mkurugenzi wa Sera na Mipango Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi),  Elizabeth Tagora akifungua mkutano wa wadau kuhusu mapitio ya Sera ya Ujenzi ya mwaka 2003 na uwasilishwaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA MABALOZI SITA, IKULU...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 22 Januari, 2018 amepokea hati za utambulisho kutoka kwa Mabalozi sita walioteuliwa kuziwakilisha nchi zao hapa nchini....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIWANDA CHA SUNFLAG CHA ARUSHA CHAPIGWA FAINI KUFADHILI UVUVI HARAMU

Na John MapepeleWaziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina amekitoza faini ya Shilingi milioni mia moja Kiwanda cha Sunflag Tanzania Limited cha jijini Arusha baada ya kukutwa na makosa mawili ambayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JUKWAA LA USIMAMIZI WA MAAFA LAHITAJI UTASHI KISIASA,KISHERIA -PROF KAMUZORA

Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiKATIBU Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu),Profesa Faustine Kamuzora amesema jukwaa la usimamizi wa maafa la Taifa linahitaji utashi wa kisiasa,uwajibikaji...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA: BIBI LULU AKIDA SILVESTER AFARIKI DUNIA

TANZIA: Familia ya Bwana Sylvester Manase Matunda Lema, wa Sinza mkabala na kituo cha daladala Simu 2000 jijini Dar es Salaam, inasikitika kutangaza kifo cha mama yao, Bibi.Lulu Sylvester kilichotokea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Makamba akutana na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na...

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba hii leo amekutana na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda Biashara na Mazingira. Kikao hicho kimejumuisha pia wajumbe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MV Njombe yafungua fursa za biashara Tanzania, Malawi na Msumbiji

Kuanza safari kwa Meli za kisasa za mizigo za MV Njombe na MV Ruvuma ambazo zina uwezo wa kubeba uzito wa tani 1,000 kumefungua fursa za kibiashara kati ya Tanzania, Malawi na Msumbiji.Meli ya Mv...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MIFUKO 3000 SARUJI YACHANGWA KUKAMILISHA USHINDI SEMINARI

NA TIGANYA VINCENTVIONGOZI  mbalimbali wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) na Serikali Mkoani Tabora wameahidi kutoa mifuko 3000 ya saruji kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa Shule ya Seminari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI IKULU JIJINI DAR ES...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha Barala la Mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 22, 2018. PICHA NA IKULU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MALI ZA CHAMA CHA USHIRIKA MARA KUKAGULIWA-MAJALIWA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itatuma wakaguzi ili wakague mali za Chama cha Ushirika cha mkoa wa Mara.Amesema Serikali imeanza kufuatilia mali za vyama vya Ushirika nchini zikiwemo za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

USAJILI WA VITAMBULISHO VYA TAIFA WAENDELEA BUTIAMA MKOANI MARA

Wananchi katika Wilaya ya Butiama mkoani Mara wameendelea kujitokeza kwa mamia kusajiliwa Vitambulisho vya Taifa pamoja na changamoto ya umeme iliyopo kwa sasa katika kijiji cha Rwamkoma ambacho kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HANANASIFU JOGGING WATOA MSAADA KWA YATIMA DAR

Mwenyekiti wa Serekali ya Mtaa wa Kawawa Kata ya Hananasifu Elizabeth Masao akizungumza jijini Dar es Salaam juzi, katika hafla ya kukabidhi vya kula kwa watoto yatima wa Kituo cha Maunga Centre...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DHAMANA KESI YA UHUJUMU UCHUMI KUJULIKANA FEBRUARI 5 MWAKA HUU

*Ni inayomhusu bosi meli ya Huihang 68 inayotuhumiwa kupeperusha bendera ya Tanzania bila kibaliNa Karama Kenyunko, blogu ya jamii.MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imesema Februari...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ISRAEL KUJENGA KITENGO CHA DHARULA NA TIBA YA MIFUPA MKOANI DODOMA

Na Chalila Kibuda,Globu ya JamiiSERIKALI ya Tanzania imesaini makubaliano na Serikali ya Israel ya ujenzi wa kitengo cha dharula na tiba ya mifupo katika hospitali ya Benjamini mkoani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NIDA YAFANIKISHA SHEREHE ZA MAULID,MWINYI AWATAKA WAISLAMU KUFUATA MAAGIZO YA...

Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiWaumini wa dini ya kiislamu Tanzania wametakiwa kufuata mafunzo na maagizo ya Mtume ili kuweza kupata dhawabu mbele za Mwenyezi Mungu.Hayo yamesemwa na Mufti Mkuu wa...

View Article


UNNewsKiswahili:Watu 6 wauawa wakati wa maandamano DRC Congo

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA JUMANNE LEO JANUARY 23,2017

Kupata magazeti zaidi BOFYA HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UVCCM SIMANJIRO WAJINYANYUA KIUCHUMI

VIJANA wajasiriamali wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, wamefanikiwa kujinyanyua kiuchumi kwa kukusanya sh40 milioni, kupitia kikundi cha...

View Article
Browsing all 110186 articles
Browse latest View live


Latest Images