Kamal Group brings New-Year smiles to hundreds in artificial limb project
Dar es Salaam. Over 100 people, who lost their limbs in various accidents, will now be able to walk again, thanks to a multi-million shilling initiative by the Dar es Salaam-based Kamal Group guided by...
View ArticleBABU SEYA NA PAPII KOCHA WAANZA MAANDALIZI YA UJIO WAO MPYA
Muimbaji nguli wa muziki wa dance, Nguza Viking maarufu kama Babu Seya pamoja na mwanae, Papii Kocha wameanza maandalizi ya ujio wao mpya, ikiwa ni takriban miaka 14 tangu waachie kibao kipya.Wawili...
View ArticleRais Dk. Shein Awasili Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu Kuanza Ziara Yake
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Kiongozi wa Ngazi za Juu wa nchi za Umoja wa nchi za Falme za Kiarabu( UAE) Dr. Ahmad bin Abdallah Humaid...
View ArticleRC LUHUMBI ATANGAZA KIAMA KWA WAZAZI NA WALEZI WALIOGOMA KUWAPELEKA WATOTO...
Na,Joel Maduka,GeitaSerikali mkoani Geita imetangaza oparesheni ya kuwafuatilia wazazi na walezi ambao watoto wao walichaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza na kwamba hadi sasa bado awajawapelekwa...
View ArticleTAMASHA LA BUSARA KUENZI SANAA NA UTAMADUNI WA MWAFRIKA
. Watanzania wametakiwa kuenzi sanaa na utamaduni waliona kwa ajili ya kizazi kijacho ili kukijendea uzalendo wa kupenda nchi yao. Hayo yamesema Mkurugenzi wa Tamasha la Sauti za Busara, Yusuf Mahmoud...
View ArticleWANACHAMA 139 WA CHADEMA SIMANJIRO WAJIUNGA NA CCM
WANACHAMA 139 wa Chadema wa Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro, wamejiunga na CCM na kupokelewa na Mwenyekiti wa UVCCM wa Mkoa wa Manyara Mosses Komba. Akizungumza wakati wa kuwapokea na...
View ArticleSerikali yatoa Msimamo wake kwa Klabu ya Simba kuhusu suala la uwekezaji
Na Anitha Jonas – WHUSMSerikali imetoa msisitizo kwa Klabu ya Mchezo ya Simba kuzingatia sheria na kanuni zinayosimamia suala la uwekezaji kwa Klabu zilizoanzishwa na wanachama ambapo wanachama...
View ArticleSIMANJIRO YAPITISHA BAJETI YA SHILINGI BILIONI 25.3
MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, wamepitisha rasimu ya mpango wa bajeti ya shilingi bilioni 25.3 kwa mwaka wa fedha wa 2018/2019. Akizungumza baada ya kupitishwa kwa...
View ArticleWAZIRI ULEGA AONGOZA KUTEKETEZA NYAVU HARAMU ZA MAMILIONI MWALO WA IGOMBE...
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe.Abdalla Hamisi Ulega jana ameongoza shughuli ya kuziteketeza nyavu haramu zenye thamani ya jumla ya shilingi Milioni 400 katika Mwalo wa Igombe,mkoani...
View ArticleWAZIRI MKUCHIKA AFURAHISHWA NA MAENDELEO YA TPSC TAWI LA MBEYA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Kapteni Mstaafu George Mkuchika (katikati) akipatiwa maelezo juu maendeleo ya Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC)...
View ArticleMakete: Diwani apanga kwenda kwa Waziri Lukuvi
Diwani wa kata ya Mbalatse Wilayani Makete Mkoani Njombe (CHADEMA) Edson Msigwa amesema wanampango wa kwenda kumuona Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Wiliam Lukuvi awasaidie kutatua...
View ArticleMBUNGE WA CHALINZE MH. RIDHIWANI KIKWETE AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO JIMBONI...
Mbunge wa jimbo la Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete akimsikiliza Shedeli Mikole Mwenyekiti wa CCM kata ya Vigwaza wakati akiwa katika ziara ya kikazi kukagua huduma za maendeleo na miradi mbalimbali...
View ArticleWAZIRI MKUU MAJALIWA AHITIMISHA ZIARA YA MKOA WA MARA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe kuzindua mabweni mawili ya Magufuli na Majaliwa katika Shule ya Sekondari ya Bumagi wilayani Butiama Januari 20, 2018. Watatu kulia ni mkewe Mary.Waziri Mkuu,...
View ArticleTimu mbili zaidi zaongezeka kuwania taji la Taifa la mashindano ya kuogelea...
Timu mbili zaidi zimethibisha zimethibitisha kushiriki katika mashindano ya taifa ya kuogelea kwa vijana wa umri kuanzia miaka saba mpaka 14 yaliyopangwa kuanza Ijumaa (Januari 26) na kumalizikia...
View ArticleAirtel FURSA: zaidi ya vijana 10,000 wajiandikisha kusoma kupitia VSOMO
Meneja Miradi Airtel Tanzania Jane Matinde akizungumza wakati wa semina kwa vijana kuhusu umuhimu wa kusoma kwa kutumia mtandao kupitia aplikesheni ya VISOMO inayotumiwa na VETA kwa kushirikiana na...
View ArticleWAJASILIAMALI WATAKIWA KUTUMIA MAFUNZO YA SIDO KIKAMILIFU
Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam, Sporah Lyana akiongea na wajasiliamali mwishoni mwa wiki iliyopita wakati akifunga mafunzo yaliyokuwa yameandaliwa na SIDO jijini Dar es Salaam yenye lengo la...
View ArticleBREAKING: Salum Njwete "Scorpion" atupwa gerezani miaka Saba na kutakiwa...
Na Karama Kenyunko, Blogu ya JamiiMahakama ya wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam imemuhukumu Mwalimu wa Sanaa ya kujihami, 'Martial arts' Salum Njwete maarufu kama Scorpion, kutumikia kifungo cha...
View Article
More Pages to Explore .....