UVCCM YAVUNA WANACHAMA 350 CHUO KIKUU DAR ES SALAAM
Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiMwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Kheri James amepokea jumla ya Wanachma wapya 350 katika Kongamano Maalum lililoandaliwa na Tawi la Chuo...
View ArticleFAWOPA yapiga Msasa Wadau wa Elimu-Mtwara.
Shirika lisilokuwa la kiserikali la faidika wote pamoja FAWOPA limetoa Elimu kwa Wadau Mbalimbali wa sekta hiyo Juu ya uandaaji wa Bajeti na kuweza kuwasilisha kwa kamati za Shule, ili kuzifanyia kazi...
View ArticleWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AMTEMBELEA MAMA MARIA NYERERE NA KUTOA HESHIMA...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakizungumza na Mama Maria Nyerere wakati walipomtembelea nyumbani kwake Mwitongo, Butiama Januari 20, 2018.Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary...
View ArticleMKUU WA MAJESHI YA ULINZI JENERALI MABEYO AKAGUA UHARIBIFU WA MIUNDOMBINU YA...
Na. Andrew Chimesela – MorogoroHali mbaya ya mafuriko yanayoendela kuathiri wananchi wa Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro yamemfanya Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Generali Venance Mabeyo kufika...
View ArticleSERIKALI YA JAPAN YAAHIDI KUENDELEA KUSAIDIA MIRADI YA UMWAGILIAJI NCHINI
Kaimu Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha(ATC),Dk Masudi Senzia(kushoto) akimshukuru Balozi wa Japan nchini Tanzania,Mh. Masaharu Yoshida baada ya kuweka jiwe la msingi katika shamba la mafunzo ya...
View ArticleWaandishi wa Habari wa Dodoma Kupewa Kipaumbele Katika Mafunzo ya Kuwajengea...
Na. Lilian Lundo – MAELEZO, Dodoma.Serikali kupitia Idara ya Habari ya MAELEZO imesema itatoa kipaumbele kwa waandishi wa habari wa Dodoma kwa kuwapa mafunzo ya kuwajengea uwezo kutokana na mkoa huo...
View ArticleFIGISU FIGISU KAMA HIZI KWENYE SOKA LETU,MPAKA LINI.!?
Na Hafidh Kido, Moshi.KWA nafasi yangu ya msemaji wa timu ya Coastal Union 'Wagosi wa Kaya' ninatakiwa kusafiri na timu popote iendapo lakini kutokana na majukumu mengine nashindwa kutenda haya.Lakini...
View ArticleSEKTA BINAFSI YARIDHISHWA NA UHUSIANO WAKE NA SERIKALI
Na Benny Mwaipaja-WFM, DodomaSekta Binafsi nchini imekiri kuwa uhusiano kati yake na Serikali umezidi kuimarika kutokana na kuboreshwa kwa mazingira ya uwekezaji na ufanyajibiashara hapa nchini kuliko...
View ArticleMAAFISA WA BUNGE WATOA ELIMU KWA SHULE ZA SEKONDARI ZILIZOPO MUSOMA MJINI.
Mkurugenzi Msaidizi na Mratibu wa Dawati la Bunge la Afrika kutoka Ofisi ya Bunge, Ndg. Lawrence Makigi, akisisitiza jambo wakati akitoa Elimu kwa Shughuli Mbali mbali zinazofanywa na Bunge la Tanzania...
View ArticleDKT. MWAKYEMBE AOMBA WATANZANIA KUSAIDIA MATIBABU YA WASTARA
Na Anitha Jonas – WHUSMWaziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt.Harrison Mwakyembe ametoa wito kwa watanzania kujitokeza kumchangia msanii wa Filamu Wastara Issa ili aweze kwenda kupatiwa...
View ArticleMBUNGE KASULU VIJIJINI AAHIDI KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI
Na Rhoda Ezekiel Kigoma.MBUNGE wa Jimbo la Kasulu Vijijini, Agaustine Vuma ameahidi kufanya ziara ya kutembelea vijijini vyote vya jimbo hilo kwa lengo la kuangalia changamoto na kero zinazo wakabili...
View ArticleSIMANJIRO KUJENGA HOSPITALI YA WILAYA
Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, ambayo haina hospitali ya Wilaya imejipanga huhakikisha inaanza mchakato wa ujenzi wa hospitali hiyo. Wilaya ya Simanjiro iliyoanzishwa mwaka 1993 baada ya...
View ArticleWALIMU WAWILI KIBAHA WASHUSHWA VYEO KWA KUKAIDI AGIZO LA ELIMU BURE
Na Mwamvua Mwinyi,KibahaMKUU wa wilaya ya Kibaha,Mkoani Pwani, Assumpter Mshama ameamuru walimu wawili wa shule za msingi washushwe vyeo kutoka nafasi ya mwalimu mkuu na kuwa walimu wa kawaida...
View ArticleMaandalizi ya Ujio wa FIFA YAANZA
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt.Harrison Mwakyembe akizungumza na wajumbe wa Kamati ya Maandalizi ya Mkutano Mkuu wa Kimataifa wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) (hawapo...
View ArticleELIMU YA AFYA YA UZAZI YASISITIZWA KUOKOA VIJANA KISIWANI PEMBA
SHIRIKA la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limetakiwa kutoa elimu ya afya ya uzazi kisiwani Pemba ili kuokoa kizazi kutokana na kukua kwa wimbi la...
View ArticleZANA ZA UVUVI HARAMU ZA MAMILIONI ZATEKETEZWA GEITA
Na Joel Maduka,Geita.Serikali Mkoani Geita Imeteketeza zana haramu zenye thamani ya shilingi milioni therathini na tatu zikiwemo Nyavu za makila zilizounganishwa 2,393,makokolo ya sangara 32,timba 142...
View Article
More Pages to Explore .....