Waziri Profesa Mbarawa avamia bandarini Usiku, abaini madudu...!
Na Mwandishi WetuWAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa jana usiku amefanya ziara ya kushtukiza katika Bandari ya Dar es Salaam na kubaini mawakala wa meli wanaotoa huduma...
View ArticleJalada la kesi ya Vigogo, Six telecom latua kwa DPP
Na Karama Kenyunko, Blogu ya jamii.JALADA la kesi ya uhujumu uchumi na kuisababishia Serikali hasara ya Dola za Marekani milioni 3.7, sawa na Sh.bilioni nane, dhidi ya vigogo wanne wa Kampuni ya Six...
View ArticleHAZINA YANG’ARA TENA MATOKEO DARASA LA NNE
SHULE ya Msingi Hazina ya jijini Dar es Salaam imeng’ara kwenye matokeo ya darasa la nne kwa kufanikiwa kuwa ya kwanza Mkoa wa Dar es Salaam na kutoa wanafunzi saba kati ya 10 walioingia kumi bora...
View ArticleRAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI MKUU MSTAAFU...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam. Rais wa...
View ArticleRC TELACK AFANYA ZIARA KUKAGUA KILIMO CHA PAMBA NA MTAMA WILAYANI KISHAPU
Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Zainabu Telack amefanya ziara ya kukagua kilimo cha zao la Pamba na Mtama wilayani Kishapu kwa ajili ya kuendelea kuhamasisha wakulima kulima mazao hayo kwa wingi kwa njia za...
View ArticleRAIS MAGUFULI AMEMSIFU LOWASSA KWA KUFANYA SIASA ZA KISTAARABU
*Asema ni mwanasiasa wa tofauti na wengine*Amuahidi kumpa ushirikiano,apokea ushauri wakeNa Said Mwishehe, Globu ya jamiiRAIS Dk.John Magufuli amemuelezea Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa kuwa ni...
View ArticleWACHEZAJI SIMBA WAREJEA DAR NA VIFURUSHI MKONINI
Wachezaji wa Simba SC, Nicolaus Gyan na Asante Kwasi wakiwasili leo jijini Dar es Salaam kutokea visiwani Zanzibar baada ya kuondolewa katika Michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa kushika nafasi ya tatu...
View ArticleBALOZI POSSI AJITAMBULISHA RASMI KWA RAIS WA AUSTIA
Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani anayehudumia pia Austria, Balozi Abdallah Possi akiwasili katika Ikulu ya Viena, nchini Austria kwa kujitambulisha rasmi kwa Rais wa nchi hiyo, Dkt. Alexander Van...
View ArticleWanafunzi 26 IFM wahitimu shahada ya uzamili
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiWANAFUNZI 26 wamehitimu shahada ya uzamili ya Teknolojia ya habari na Uongozi wa katika chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM).Mkuu wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM),...
View ArticleHazina yang’ara tena matokeo darasa la nne
SHULE ya Msingi Hazina ya jijini Dar es Salaam imeng’ara kwenye matokeo ya darasa la nne kwa kufanikiwa kuwa ya kwanza Mkoa wa Dar es Salaam na kutoa wanafunzi saba kati ya 10 walioingia kumi bora...
View ArticleNaibu Waziri Mpya wa Madini, Doto Biteko aanza kazi
Naibu Waziri wa Madini, Doto Mashaka Biteko ambaye ameapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli kuwa Naibu Waziri katika Wizara ya Madini tarehe 8 Januari, 2018...
View ArticleMWIGULU AONGOZA KIKAO CHA WIZARA NA IDARA ZAKE JIJINI DAR ES SALAAM
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Mwigulu Nchemba akiongoza kikao cha kujadili utendaji kazi wa wizara na Idara zilizopo chini ya wizara.Kushoto meza kuu ni Katibu Mkuu wa wizara, Meja Jenerali...
View ArticleWAZIRI AAGIZA KUFUFULIWA KWA MNADA IFIKAPO FEBRUARI ILI KUDHIBITI UPOTEVU WA...
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina (mwenye kofia) akipata maelezo ya hali ya sekta ya mifugo na Uvuvi kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Missenyi Kanali Denis Mwila (mwenye suti nyeusi) alipotembelea...
View ArticleHEKARI 2,737 ZA MAZAO ZALIWA NA KUHARIBIWA NA PANYA HUKO CHALINZE, WAKULIMA...
Na Mwamvua Mwinyi,Globu ya Jamii - ChalinzeHEKARI 2,737 za mazao hasa mahindi katika halmashauri ya Chalinze, mkoani Pwani ,zimeliwa na kuharibiwa na wimbi la panya ambalo limejitokeza tangu mwezi...
View ArticleTAARIFA KWA UMMA KUHUSU USALAMA WA SEKTA YA KIBENKI NCHINI
Benki Kuu ya Tanzania inapenda kuutaarifu umma kuwa taarifa zinazosambaa mitandaoni kuhusu sekta ya kibenki nchini kutokuwa salama si sahihi na zinapaswa kupuuzwa. Sekta ya kibenki nchini ipo salama na...
View ArticleRAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AZINDUZI WA STUIO MPYA ZA ZBC ZANZIBAR LEO
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akikata utepe kuashiria kuifungua Studio ya Kisasa ya Shirika la Utangazaji Zanzibar (ZBC) ikiwa ni shamra shamra za sherehe...
View Article
More Pages to Explore .....