NAIBU SPIKA ATEMBELEA BOHARI YA DAWA (MSD)
Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD) Bwana Laurean Bwanakunu, akizungumza na Naibu Spika, Tulia Akson alipofanya ziara ya kikazi ya siku moja kutembelea MSD kuona shughuli mbalimbali za uhifadhi...
View ArticleNAPE AFUNGUKA AKIMNADI DK. NDUMBARO ADAI KAMWE HATA IHAMA CCM
Na Gideon Mwakanosya-SongeaMBUNGE wa jimbo la Mtama mkoa wa Lindi Nape Nnauye amefunguka kwa kudai kuwa hawezi kukihama chama cha mapinduzi (CCM) kama baadhi ya watu wakiwemo wa vyama vya upinzani kwa...
View ArticleDKT MASHINGO AHIMIZA NG'OMBE WENYE UMRI WA MIEZI SITA NA KUENDELEA KUPIGWA CHAPA
Na Kumbuka Ndatta, KASULUKATIBU Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi(Mifugo) Dk. Maria Mashingo ameagiza ng’ombe wote wenye umri wa kuanzia miezi sita na kuendelea kuhakikisha wamepigwa chapa kabla ya...
View ArticleWAZIRI MKUU AWATAKA VIONGOZI WA HALIMASHAURI YA WILAYA YA NYASA KUMALIZA...
Waziri mkuu wa Jamuhuri Ya Muungano wa Tanzania KASSIM MAJALIWA, amewaagiza viongozi wa halimashauri ya NYASA akiwemo mbunge wa jimbo hilo, mkuu wa wilaya na mkurugenzi, kumaliza tofauti zao na madala...
View ArticleLUBINGA AMNADI MGOMBEA WA CCM JIMBOLA SINGIDA KASKAZINI LEO.
Katibu wa NEC Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Mstaafu Ngemela Lubinga (kushoto) akimnadi mgombea wa Ubunge jimbo la Singida Kaskazini ndg:Justine Monko (kulia) wakati wa mkutano wa...
View ArticleDK.KIGWANGALLA ATEUA KAMATI BONDE LA MTO KILOMBERO
Waziri wa Maliasili na Utalii Dk. Hamisi Kigwangalla (MB) ameteua Kamati maalum ambayo itaishahuri Serikali namna ya nini kifanyike katika kushughulikia athari za bonde la Kilombero lililopo Mkoani...
View ArticleKATIBU MKUU KATIBA NA SHERIA AFANYA ZIARA MAKAO MAKUU YA JESHI LA POLISI
Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Profesa Sifuni Mchome (kulia), akiweka saini kwenye kitabu cha wageni alipowasili Makao Makuu ya Jeshi la Polisi kwa ziara ya kikazi ili kuona namna Kamisheni ya...
View ArticleTFC YAPAKIA TANI 200 ZA MBOLEA KUTEKELEZA AGIZO LA RAIS DK. JOHN MAGUFULI
Na Dotto MwaibaleKUFUATIA agizo la Rais Dkt John Pombe Magufuli, kwa Wizara ya Kilimo, kuhakikisha ndani ya siku saba kumaliza malalamiko ya mahitaji ya mbolea kwa mikoa ya Katavi na Rukwa, Kampuni ya...
View ArticleRAIS WA ZANZIBAR DK SHEIN AZINDUWA SOKO LA KISASA KINYASINI MKOA WA KASKAZINI...
Soko la Kinyasini Mkoa wa Kaskazini Unguja lililofunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, ikiwa ni Shamrashamra za miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar....
View ArticleJiji la Dar es Salaam kupokea Tuzo ya huduma bora ya Usafiri endelevu
Na Nteghenjwa Hosseah, Dar es Salaam.Jiji la Dar es Salaam limechaguliwa kupata tuzo ya huduma bora ya Usafiri endelevu barani Afrika kufuatia Mradi wake wa mabasi yaendayo haraka (DART) ambao kwa...
View ArticleSOKO LA SAMAKI MKOA WA LINDI
Wajasirimali katika Soko kuu la samaki la mkoa wa Lindi wakitayarisha Samaki kwa lengo la kuwauza kwa wateja watakaofika sokoni hapo.Wajasiliamali katika soko kuu la mkoa wa Lindi wakipanga samaki...
View ArticleDkt. Abbas Ahamasisha Wanahabari Kushiriki Tuzo za SADC
Mkurugenzi wa Idara ya Habari – MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas amewahamasisha Waandishi wa Habari wa Tanzania kushiriki vema katika kuwania tuzo za wanahabari wa Jumuiya za...
View Article
More Pages to Explore .....