WAZIRI NCHI OFISI YA RAIS KATIBA SHERIA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA...
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala bora Haroun Ali Suleiman akikunjuwa kitambaa kuashiria Ufunguzi wa Kituo cha Afya Ukongoroni Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini...
View ArticleDC GAIRO AAMURU KUKAMATWA VIONGOZI WALIOKULA FEDHA ZA UJENZI WA SEKONDARI YA...
Mkuu wa Wilaya ya Gairo, Siriel Shaidi Mchembe ameagiza kukamatwa kwa viongozi wote waliofuja shilingi milioni 32 za ujenzi wa shule ya sekondari ya Kata ya Idibo.Kauli hiyo ameitoa leo wakati...
View ArticleRC TELACK AFANYA ZIARA KUKAGUA KILIMO CHA PAMBA NA MTAMA WILAYANI KISHAPU
Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Zainabu Telack amefanya ziara ya kukagua kilimo cha zao la Pamba na Mtama wilayani Kishapu kwa ajili ya kuendelea kuhamasisha wakulima kulima mazao hayo kwa wingi kwa njia za...
View ArticleWAZIRI MPINA AKAMATA KILO 65,600 ZA SAMAKI ZENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI...
Mwandishi Maalum,BukobaWaziri wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Luhaga Joelson Mpina amekamata kilo 65600 za samaki wachanga aina ya Sangara waliokaushwa kwa chumvi wenye thamani ya shilingi milioni mia...
View ArticleMHASIBU HALMASHAURI YA NAMTUMBO MKOANI RUVUMA AJISHINDIA KITITA CHA SHILINGI...
Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma Mh.Luckiness Amlima akimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 50 mwishoni mwa wiki kwa Mkazi wa wilaya ya namtumbo mwenye umri wa miaka...
View ArticleWANANCHI MKOANI MBEYA WAZIDI KUJITOKEZA KATIKA ZOEZI LA USAJILI LICHA YA MVUA...
Licha ya Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani Mbeya, Wananchi katika Kata na vijiji mbalimbali mkoani humo, wameendelea kuhamasika kujitokeza kwa wingi kusajili kupata Vitambulisho vya Taifa.Katika...
View ArticleJafo ataka Ukarabati wa Ruvu sekondari uwe wa haraka na Viwango
Na Nteghenjwa Hosseah, Kibaha.Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Selemani Jafo amemtaka atakayepewa jukumu la ukarabati wa Shule ya Sekondari ya Ruvu wilayani Kbaha mkoa wa Pwani wafanye kazi kwa...
View ArticleKatibu Mkuu atembele Kiwanda Cha Matrekta Na Kiwanda Cha Viua Dudu
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Prof. Elisante Ole Gabriel atembelea kiwanda cha Viua dudu kilichopo Tamco – Kibaha na kukutana na balozi wa Cuba nchini Tanzania Mhe. Lucas...
View ArticleMBUNGE MGIMWA ATUMIA MAMILIONI UJENZI WA MADARASA YA SHULE ZA MSINGI,...
Na Fredy Mgunda,Mufindi Kaskazini. Mbunge wa jimbo la Mufindi Kaskazini kwa kushirikiana na wananchi wa kijiji cha Kibengu wametumia jumla ya shilingi milioni mia moja kumi na tisa na laki mbili...
View ArticleWAZIRI JAFO APONGEZA JITIHADA ZA MBUNGE WA MAKAMBAKO
Nteghenjwa Hosseah,Makambako.Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe.Selemani Jafo amempongeza Mbunge wa Makambako Mhe. Deo Sanga kwa jitihada mbalimbali anazozifanya...
View ArticleMWENYEKITI, WAJUMBE WA SERIKALI YA KIJIJI LAMADI WASIMAMISHWA KAZI KUPISHA...
Na StellaKalinga, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa SimiyuMkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe.Anthony Mtaka amemsimamisha kazi kwa muda wa mwezi mmoja Mwenyekiti wa Kijiji cha Lamadi Wilayani Busega Mhe.Nzala Hezron...
View ArticleUTARATIBU WA KUSAJILI CHAMA CHA SIASA HUU HAPA.
Na Bashir Yakub.Haki ya kusajili na kuwa na chama cha siasa ipo kwa kila mtanzania. Hata wewe unaweza kuwa na chama cha siasa ikiwa utataka kufanya hivyo. Wako wanaofikiri...
View ArticleLUKUVI ATATUA MIGOGORO YA ARDHI PAPO KWA HAPO KWA WAKAZI DAR
Na Said Mwishehe, Globu ya jamii.WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi ameamua kukutana na wakazi wa Jiji la Dar es Salaam ambao wanamigogoro mbalimbali ya ardhi kwa lengo la...
View ArticleSHAKA AWASILI SINGIDA LEO,KUMNADI MGOMBEA UBUNGE WA CCM SINGIDA KASKAZINI.
''Tutashinda na tutashinda kwa sababu mtaji wa ushindi tunao lengo ni lile lile kuhakikisha Singida kaskazini inaendelea kuwa ngome ya CCM''Alisema Shaka wakati akizungumza na Viongozi wa CCM...
View Article
More Pages to Explore .....