IGP SIRRO AFANYA ZIARA BANDARI YA DAR ES SALAAM
Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) Simon Sirro, akiwa ameongozana na baadhi ya maofisa wa Jeshi hilo alipofanya ziara katika bandari ya Dar es salaam, leo kwa lengo la kukagua magari 119 ya Jeshi hilo...
View ArticleWANANCHI WAFURIKA USAJILI VITAMBULISHO VYA TAIFA MKOANI RUVUMA
Mamia ya Wananchi wa Wilaya za mkoa wa Ruvuma wamejitokeza kwa wingi kwenye vituo vya Usajili zoezi la Vitambulisho vya Taifa huku baadhi wakiwataka viongozi kusimamia utekelezaji wa agizo la Serikali...
View ArticleWAZIRI MWIJAGE: NJIA NZURI YA KUFIKIA UCHUMI WA KATI NI UCHUMI WA VIWANDA
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe. Charles Mwijage amesema njia nzuri ya kufikia Uchumi wa Kati ifikapo mwaka 2025 ni kupitia Uchumi wa Viwanda jumuishi. Waziri Mwijage ameyasema hayo...
View ArticleDKT. MWAKYEMBE AUNDA KAMATI YA NGUMI
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe (Mb) leo tarehe 3 Januari, 2018 amekutana na wadau wa mchezo wa ngumi za kulipwa nchini. Kikao hicho ni mwendelezo wa vikao vya...
View ArticleKampeni ya Uzalendo yapata Mapokeo Chanya
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe.Dkt. Harrison Mwakyembe akiwapongeza wajumbe wa kamati ya Uzinduzi wa Kampeni ya Uzalendo kwa ubunifu waliyofanya katika siku ya uzinduzi uliyofanywa...
View ArticleAZAM NA JAMUHURI UWANJA WA AMAAN ZANZIBAR
KIPA wa Timu ya Jamuhiri Ali Khamis akijaribu kuokoa mpira uliopigwa na Mshambuliaji wa Timu ya Azam Benard Arthur akifunga bao la kwanza kwa Timu yake katika dakika ya 26 ya mchezo huo uliofanyika...
View ArticleMASAUNI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA JAPAN, JIJINI DAR ES SALAAM LEO
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni akimfafanulia jambo Balozi wa Japan nchini, Masaharu Yoshida (kulia) wakati Balozi huyo alipomtembelea ofisini kwake, jijini Dar es Salaam...
View ArticleTAARIFA YA MATUKIO MAKUBWA NA MADOGO YA JINAI KATIKA MKOA WA MBEYA
Ifuatayo ni taarifa ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa kipindi cha Januari hadi Disemba, 2017. Taarifa hii inaonesha matukio makubwa na madogo ya uhalifu, matukio ya usalama barabarani, matukio...
View ArticleTAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA KIPINDI CHA MWAKA 2017
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, DCP Mohamed Mpinga.
View ArticleTRA YAJIZATITI KUONGEZA IDADI YA WALIPAKODI
Na: Veronica Kazimoto, 04 Januari, 2018, Dar es Salaam. Mwaka huu wa fedha wa 2017/18, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imedhamiria kuongeza idadi ya walipakodi kwa ajili ya kuisaidia nchi yetu...
View ArticleRAIS MHE. DKT. MAGUFULI AKUTANA NA MJUMBE MAALUM WA RAIS WA UGANDA YOWERI...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mjumbe maalum wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda Sam Kutesa mara baada ya...
View ArticleWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI MKOANI RUVUMA KWA ZIARA.
Waziri mkuu Kassim Kajaliwa amewasili mkoani Ruvuma kwa ziara ya siku sita ambapo katika ziara hii waziri mkuu atatembelea halimashauri ya MBINGA,na NYASA na kuhitimisha katika Manispaa ya SONGEA...
View ArticleWAZIRI MWAKYEMBE AUNDA KAMATI YA KUPITIA KATIBA YA MCHEZO WA NGUMI.
Na Shamimu Nyaki-WHUSMWaziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe.Dkt.Harrison Mwakyembe ameunda kamati ya watu kumi na moja watakaopitia Katiba ya kusimamia mchezo wa ngumi za kulipwa hapa nchini...
View ArticleWANANCHI WILAYA YA CHEMBA WAHAMASISHWA KUTUMIA FURSA YA KUJIPATIA KIPATO KWA...
Na Shani Amanzi, Wananchi wa Wilaya ya Chemba wamehamasishwa kutumia fursa ya mifugo waliyonayo katika kuwapatia kipato na siyo kwa ajili ya matumizi ya nyumbani pekee kutokana na mabadiliko ya tabia...
View ArticleWAZIRI MPANGO AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA GAVANA MTEULE WA BoT
Gavana mteule wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Prof. Florens Luoga, akisaini kitabu cha wageni alipokutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), Jijini...
View ArticleBOT YAPIGA STOP BENKI TANO KUJISHUGHULISHA NA MASUALA YA KIBENKI
Na: Frank Shija - MAELEZOSerikali kupitia Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imezifutia leseni za uendeshaji wa shughuli za kibenki Benki tano ambazo zimeshindwa kukidhi matakwa ya sheria ya Mabenki na...
View Article
More Pages to Explore .....