WIZARA YA ELIMU YATOA VITABU 16985 KWA SHULE ZA SEKONDARI SIMIYU
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe.Anthony Mtaka(kushoto) akikabidhi vitabu vya matayarisho ya awali ya kuwaandaa wanafunzi wa kidato cha kwanza kwa elimu ya sekondari (baseline course), kwa Afisa Elimu...
View ArticleTAARIFA: UKAGUZI WA KINGA NA TAHADHARI DHIDI YA MOTO
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji limeundwa na linatekeleza majukumu yake chini ya Sheria ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji namba 14 ya mwaka 2007 (Fire and Rescue Force Act No. 14 of 2007). Majukumu makubwa...
View ArticleMKAZI MIWNGINE WA TEMEKE MIKOROSHINI AIBUKA NA KITITA CHA MILIONI 50 ZA...
Katibu Tawala wilaya ya Temeke, Ndugu Hashim Komba akikabdhi mfano wa hundi kwa mshindi wa mchezo wa bahati nasibu wa Tatumzuka Enirisha Kilango mapema leo kwenye ofisi za Mkuu wa Wilaya ya...
View ArticleCHOMBO KIMEKATA KATIKATI YA SAFARI
Dereva wa chombo hicho akitafakari namna ya kufanya, baada ya kukata kiwese akiwa njiani kupeleka ng'ombe kwa Bosi wake.
View ArticleHESLB kuanza kuwasaka wadaiwa sugu 119,497 jumatatu ijayo
* Wanadaiwa Tshs 285 bilioni* Ukaguzi kwa waajiri pia kufanyikaNa Mwandishi WetuBodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) wiki ijayo (Jumatatu, Januari 8, 2018) inatarajia kuanza kuwasaka...
View ArticleNAIBU WAZIRI MGALU AWATOA HOFU YA BEI YA UMEME WANANCHI WA KIWANGWA
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akizungumza katika Mkutano na wananchi wa Kata ya Kiwangwa kabla ya kumkaribisha Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu kuzungumza na Wananchi wa kata...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AHUDHURIA MSIBA WA MKE WA KANGI LUGOLA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 3, Januari, 2018 amehani msiba wa Kamishna Msaidizi wa Polisi Mary Lugola ambaye ni Mke wa Naibu Waziri wa Nchi...
View ArticleWADAU WAPONGEZWA KWA KUTIMIZA MIAKA 50 YA NDOA ( 1967-2017)
Bwana. Hamisi Kambona na Mkewe Bibi. Hawa Salimu wakiwa katika hafla fupi ya kuadhimisha miaka hamsini (50) ya ndoa yao iliyofanyika Disemba 30, 2017 nyumbani kwake Mkoani Morogoro. Bwana. Hamisi...
View ArticleNAIBU MEYA JIJI LA MBEYA (CHADEMA) AAHIDI USHIRIKIANO NA WATEULE WA RAIS...
Na Mathias Canal, MbeyaIMEBAINIKA kuwa tofauti za kiitikadi baina ya madiwani katika Halmashauri nyingi nchini, zimekuwa ni kikwazo kwenye utekelezaji wa miradi ya maendeleo yenye tija kubwa kwa...
View ArticleNEC YATANGAZA TAREHE YA KUFANYIKA KWA UCHAGUZI MDOGO KATIKA JIMBO LA SIHA NA...
Subira Kaswaga – NEC Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema kuwa uchaguzi mdogo katika majimbo ya Siha mkoani Kilimanjaro na Kinondoni mkoani Dar es Salaam pamoja na Kata nne za Tanzania Bara...
View ArticleVIBWEKA, VITUKO VYATAWALA UCHAGUZI NAIBU MEYA DAR
* Meya wa Temeke, Ubungo nusura kuzichapa Na Said Mwishehe, Blogu ya jamiiVITUKO, Vibweka, vitimbi na kila aina ya kejeli zimetawala wakati wa uchaguzi wa Naibu Meya wa Jiji la Dar es Salaam.Ilikuwa...
View ArticleTRA INATARAJIA KUSAJILI WAFANYABIASHARA WADOGO MILIONI MOJA NCHI NZIMA
Na Chalila Kibuda, GlobuMamlaka ya Mapato Nchini (TRA) imesema kuwa wanatarajia kusajili walipakodi wapya milioni moja (1,000,000) ambao watalipa kodi ya shilingi Bilioni 1.5.Kodi zinazolipwa ndizo...
View ArticleMAGONJWA YASIYO YAKUAMBUKIZA YACHANGIA ASILIMIA 27 YA VIFO VYOTE NCHINI
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto yasema kuwa magonjwa yasiyo yakuambukiza yanachangia kiasi kikubwa katika vifo vyote vinavyotokea hapa nchini. Hayo...
View ArticleRAIS MAGUFULI AAGANA NA GAVANA WA BENKI KUU YA TANZANIA (BOT) ANAYEMALIZA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) anayemaliza muda wake Profesa Benno Ndulu mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar...
View ArticleTANESCO TABATA WALALAMIKIWA KUTELEKEZA NYAYA, NGUZO ZA MRADI KIFURU,
WAKAZI wa Kata ya Kinyerezi eneo la Kifuru kwa Kinana wameulalamikia uongozi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kituo cha Tabata jijini Dar es Salaam kwa kitendo cha kutelekeza nguzo na nyaya za...
View ArticleWAZIRI MKUU AOMBOLEZA MSIBA WA MKE WA NAIBU WAZIRI KANGI LUGOLA
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimfariji Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Kangi Lugola kwenye msiba wa mkewe MarehemuKamishna Msaidizi wa Polisi Mary Lugola Gerezani...
View Article
More Pages to Explore .....