TPA yanunua vifaa vya kisasa Bandari ya Mtwara
Na Mwandishi WetuMamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imenunua vitendea kazi vipya na vya kisasa kwa ajili ya bandari ya Mtwara ili kuongeza ufanisi.Vifaa hivyo ambavyo tayari baadhi...
View ArticleRAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN AFUNGUZI JENGO LA MTAKIMWI MKUU WA SEREKALI...
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt,Ali Mohammed Shein akikunjuwa kitambaa kuashiria Uzinduzi wa Jengo jipya la Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mazizini Wilaya...
View ArticleDC MVOMERO ATOA SIKU NNE KWA WAFUGAJI KUONDOKA MAENEO YALIYOTENGWA KWA...
Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mh muhamed Utaly ametoa siku kumi na nne kwa wafugaji waliovamia maeneo yaliyotengwa kwaajili ya shughuli za kilimo katika kata ya Melela,kuondoka mara moja katika maeneo hayo...
View ArticleTATIZO LA MAJI MKURANGA KUWA HISTORIA- NAIBU WAZIRI ULEGA
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiNaibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amesema suala la maji Mkuranga ni tatizo la muda lakini sasa matumaini yameanza kuonekana baada ya benki ya Dunia...
View ArticleDROO RAUNDI YA TATU KOMBE LA SHIRIKISHO LA AZAM KUCHEZESHWA KESHO
Droo ya raundi ya tatu(3) ya Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) inachezeshwa kesho Januari 5, 2018 ikishirikisha timu 32.Raundi hiyo ya Tatu itahusisha timu nne(4) za mabingwa wa mikoa timu tatu(3) za...
View Articlekorosho zikiandaliwa vizuri tayari kwa kuhifadhiwa kwenye la Mkuranga
Watalaam wa zao la korosho wakiangalia ubora wa korosho na kuziweka katika madaraja ili kuingia katika ghala la Mkuranga baada ya kuchambuliwa na kuandaliwa. Akina mama wa Wilaya ya Mkuranga...
View ArticleKAMATI YA MASHINDANO TFF YAIPA USHIND PRISONS NA JKT RUVU KOMBE LA FA
Kikao cha kamati ya Mashindano kilichokutana Desemba 29, 2017 kwenye makao makuu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kujadili mchezo namba 31 na 32 uliohusisha timu za Abajalo FC dhidi ya...
View ArticleALIYEKUWA MPIGAPICHA TSN, ATHUMAN HAMISI MSINGI KUZIKWA KESHO
Mwili wa Mpendwa wetu Athumani Hamisi Msengi unatarajia kuzikwa hapo kesho Januari 5, 2018 baada ya Swala ya Ijumaa na Maziko yatafanyika katika Makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam.Mipango ya...
View ArticleJK AMLILIA MAREHEMU ATHUMAN HAMISI,KUZIKWA LEO MAKABURI YA KISUTU
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Dkt . Ibrahim Msengi Ndugu wa Marehemu Athman Khamis Nyumbani kwake Sinza kijiweni jijini Dar es salaam...
View ArticleMAAMUZI YA KAMATI YA NIDHAMU YA TFF
Kamati ya nidhamu iliyokutana Januari 1, 2018 ilipitia ripoti mbalimbali za mchezo kati ya Kagera Sugar na Tanzania Prisons uliochezwa Uwanja wa Kaitaba Novemba 2, 2017 na ule kati ya Azam Fc na Mbeya...
View ArticleWAZIRI MPINA ATOZA FAINI YA MILIONI 180 VIWANDA VYA KUCHAKATA MINOFU YA SAMAKI
WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina amewaamuru wamiliki wa viwanda vitano vya kuchakata minofu ya samaki vilivyoko jijini Mwanza kulipa faini ya shilingi milioni 180 ndani ya saa 24 baada ya...
View ArticleWAFANYAKAZI WAPYA WA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE (JKCI) WAPIGWA MSASA
Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wametakiwa kufanya kazi zao kwa kufuata maadili ya utumishi wa umma na kuepuka vitendo vya rushwa.Rai hiyo imetolewa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa...
View ArticleHIFADHI YA TAIFA TARANGIRE MAAFURU NYUMBA YA TEMBO YAZIDI KUVUTIA WATALII
Wanyamapori aina Tembo wakiwa ndani ya Hifadhi ya Taifa Tarangire inayopatika kwenye mikoa ya Manyara na Arusha ni kivutio kikbwa kwa wageni wanaotembela hifadhi hiyo.Wanyamapori aina Tembo wakiwa...
View ArticleIGP AKAGUA MIRADI KINONDONI
Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) Simon Sirro, akikagua mradi wa maendeleo ya Jeshi hilo unaotekelezwa katika Wilaya ya Kipolisi ya Magomeni jijini Dar es salaam, mradi ambao unatarajiwa kuanza kutumika...
View ArticleMBUNGE WA LUSHOTO AMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KUSAIDIA SEKTA YA AFYA JIMBONI...
Mbunge wa Jimbo la Lushoto (CCM) Shabani Shekilindi alimaarufu Bosnia akizungumza katika mkutano wa hadhara na wananchi uliofanyika Kijiji cha Lwandai Kata ya Mlola wilayani Lushoto ambapo pamoja na...
View ArticleRIDHIWANI AONESHA MAENEO YANAYOHITAJI UMEME CHALINZE
Na Said Mwishehe, Blogu ya jamiiMBUNGE wa Chalinze mkoani Pwani, Ridhiwani Kikwete amemuonesha Naibu wa Waziri wa Nishati, Subira Mgalau maeneo yenye mahitaji maalumu ya kupatiwa nishati ya umeme....
View ArticleDROO YA TATU YA KOMBE LA FA YACHEZWA, YANGA NA AZAM ZATUPWA UGENINI
Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiDroo ya tatu ya Kombe la Shirikisho Azam Sports HD imechezwa leo na timu 32 kupangwa. KMC vs Toto Africans Majimaji vs Ruvu ShootingNjombe Mji vs Rhino RangersKiluvya...
View ArticleMWILI WA MAREHEMU ATHUMAN HAMISI MSENGI WAZIKWA LEO KISUTU DAR ES SALAAM
Mwili wa Athumani Hamisi Msengi kumaliza ukiwa nyumbani kwake mara baada kuswaliwa Sinza Madukani. Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), Dkt.Jim James Yonas akizungumza jambo...
View ArticleDAWASCO WAANZA UKARABATI WA BOMBA VINGUNGUTI
Siku moja baada ya ziara ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Raisi, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kuagiza Halmashauri ya Manispaa ya Ilala kuhakikisha mabomba ya barabara ya Buguruni kwa...
View Article
More Pages to Explore .....