JAFO AKUNWA NA UJENZI WA MIRADI MVOMERO
Waziri wa Nchi, ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(Tamisemi)Selemani Jafo amewapongeza viongozi na watendaji wa wilaya na Halmashauri ya wilaya ya Mvomero kwa usimamizi wa Miradi ya...
View ArticleWAZIRI UMMY AFANYA Ziara Zahanati ya Mhandu na Segese wilayani Msalala
Na.WAMJW-MsalalaWaziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto aweka historia kwa kutembelea Zahanati ya Mhandu kata ya Chela Wilayani Msalala ambapo tangu Uhuru wa Tanzania kijiji hicho...
View ArticleTTB Yamkabidhi Bendera Balozi wa Utalii Nchini Marekani
Mshindi wa Pili katika Mashindano ya Miss Tanzania U.S.A. mwaka 2017, Neema Olory (wa pili toka kushoto) akikabidhiwa Bendera ya Taifa na Meneja wa Masoko toka Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Geofrey...
View ArticleALIYEKUWA MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA,SADIFA JUMA ANYIMWA DHAMANA,KESI YAKE...
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi(UVCCM), Sadifa Juma Khamis amepandishwa kizimbani jana katika Mahakama ya Mkoa wa Dodoma kwa makosa mawili yanayohusu rushwa.Sadifa ambaye...
View ArticleNatoa Wiki Sita Mradi wa Maji Kivindo-Muheza Uwe Umekamilika-Waziri Jafo.
Waziri wa nchi ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo ametoa wiki sita kwa Mkandarasi wa mradi wa maji Kivindo Wilayani Muheza kukamilisha mradi huo na uanze kutoa huduma kwa wananchi.Waziri Jafo...
View ArticleMAKALA SHERIA:KUBADILI HATI KUTOKA JINA LA MAREHEMU KWENDA MSIMAMIZI WA MIRATHI.
Na Bashir Yakub.Mara kadhaa nimezungumzia kuhusu namna bora na ya kisheria ya kuuza na kununua nyumba au kiwanja kutoka kwa msimamizi wa mirathi baada ya mmiliki halisi...
View ArticleNSSF YASHIRIKI MAONYESHO YA VIWANDA DAR
Afisa Masoko wa Nssf Riziki Kibwasali (kushoto), akizungumza na baadhi ya wateja waliotembelea banda lao wakati wa maonyesho ya viwanda yanayoendelea katika viwanja vya Saba saba jijini Dar es...
View ArticleKIWANDA CHA SARUJI TANGA (SIMBA CEMENT) YATOA MIFUKO 760 KUCHANGIA UJENZI WA...
Mkuu wa wilaya ya Tanga,Thobias Mwilapwa akipanga tofali kwenye msingi wa ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa katika shule ya msingi ya wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi (Albino) na wasioona ya Pongwe...
View ArticleMRADI MKUBWA WA KUSOMA BILA MWALIMU KWA KUTUMIA TABLETI WAZINDULIWA MUHEZA
Mradi wa majaribio wa miezi 15 wa watoto waliokosa shule, kujifunza wenyewe kwa kutumia teknolojia ya kisasa inayotumia tableti umezinduliwa mkoani Tanga.Mradi huo uliozinduliwa katika kijiji cha...
View ArticleTARIME NA BUNDA WASHUKURU MFUKO WA HDIF KWA KUOKOA MAISHA YA MAMA NA MTOTO...
Kiongozi msaidizi wa Mfuko wa Ubunifu na Maendeleo ya Watu (HDIF), Joseph Manirakiza akimkabidhi barua ya makabidhiano ya mradi na vifaa mganga mkuu wa hospital ya Shirati, Dr. Bwire Chiragi kwa muda...
View ArticleNAIBU WAZIRI MADINI ATEMBELEA MACHIMBO YA JASI MKOANI SINGIDA
Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo hapo jana alifanya ziara kwenye machimbo ya Jasi (Gypsum) ya Mkoani Singida na kuzungumza na Wafanyabiashara na Wachimbaji wa Madini hayo ambapo aliwahakikishia...
View ArticleIGP SIRRO AKAGUA NA KUSHIRIKI MAZOEZI YA UKAKAMAVU NA ASKARI WA MKOA WA TABORA.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro wa tatu toka kulia alishiriki mazoezi ya utayari na kuwatia hamasa Askari wa Mkoa wa Tabora, katika ziara yake ya siku moja mkoani humo, hatua hiyo ni...
View ArticleKIWANDA CHA SARUJI TANGA (SIMBA CEMENT) YATOA MIFUKO 760 KUCHANGIA UJENZI WA...
Mkuu wa wilaya ya Tanga,Thobias Mwilapwa akipanga tofali kwenye msingi wa ujenzi wa vyumba vitatu vya madarasa katika shule ya msingi ya wanafunzi wenye ulemavu wa ngozi (Albino) na wasioona ya...
View ArticleBOHARI YA DAWA (MSD) MSHINDI WA PILI SEKTA ZA UMMA KATIKA TUZO YA MWAJIRI...
Na Dotto MwaibaleBOHARI ya Dawa (MSD) imeibuka kidedea kwa kuwa mshindi wa pili (2) kwa upande wa Sekta za Umma katika tuzo ya Mwajiri Bora mwaka 2017 zinazoandaliwa na Chama cha Waajiri nchini ( ATE)....
View ArticleGCAM CREDIT SCORING TEAM MEETS TADB BOARD OF DIRECTORS
By Our Reporter,A delegation from Group Credit Agricole of Morocco (GCAM) has met the Tanzania Agricultural Development Bank (TADB)’s Board of Directors in order to brief the Board the purpose of their...
View ArticleTATU MZUKA YAWATUNUKU WASHINDI WA WAWILI WA SH. MILIONI 10
Mchezo wa kubahatisha wa TatuMzuka umetoa washindi wa wawili wa sh. Milioni 10 katika droo maalumu ya mwisho wa mwaka ili kuwapa wachezaji wa droo hiyo kufurahia sikukuu za mwisho wa mwaka...
View Article
More Pages to Explore .....