RAIS WA SOS CHILDREN’S VILLAGE AAHIDI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA TANZANIA...
Rais wa SOS Children’s Village, Siddhartha Kaul amesema taasisi hiyo itaendelea kuimarisha ushirikiano na serikali ya Tanzania ikiwa ni pamoja na kuendelea kusaidia miradi mbalimbali inayohusu...
View ArticleMKUCHIKA ATEMBELEA WALENGWA WA TASAF KATIKA JIJI LA TANGA.
NA. Estom Sanga- Tanga Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,Mhe. George Huruma Mkuchika amewaagiza viongozi wa halmashauri za wilaya nchini kote kusimamia kwa...
View ArticleNEC yawajibu UKAWA
Na Mwandishi MaalumMKURUGENZI wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Kailima Ramadhani alisema chama cha siasa kutangaza kugomea kushiriki uchaguzi hakuwezi kuifanya tume ihahirishe uchaguzi...
View ArticleRC MBEYA AMOS MAKALA AFUNGUA MAFUNZO YA MADAKTARI WA KANDA YA NYANDA ZA JUU...
NA K-VIS BLOG/Khalfan Said, MbeyaTAKRIBAN madaktari na watoa huduma za afya 100 kutoka mikoa saba ya Kanada ya Nyanda za Juu Kusini, wameanza kupatiwa mafunzo jijini Mbeya yanayoratibiwa na Mfuko wa...
View ArticleWAZIRI MKUU MAJALIWA AHUDHURIA MKUTANO MKUU WA TISA WA UMOJA WA WAZAZI...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM, Phillip Mangula wakati alipohudhuria katika Mkutano Mkuu wa Tisa wa Umoja wa Wazazi Tanzania kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete mjini...
View ArticleMKUU WA JESHI LA POLISI IGP SIRRO AAGANA NA MAAFISA NA ASKARI MKOANI TABORA...
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro akiaga vingozi wa Jeshi la Polisi mkoani Tabora baada ya kumaliza ziara yake ya kikazi ya siku mbili mkoani humo. Picha na Jeshi la Polisi. Mkuu wa...
View ArticleTANZIA
Marehemu Mama Badriya KiondoFamilia za Bw. Kiondo wa Kwaminchi Tanga na Bw. Ramadhan Haji wa Betras, Zanzibar wanasikitika kutangaza kifo cha Mtoto wao mpendwa, Bi. Badriya Ramadhan Kiondo aliyekuwa...
View ArticleKIKAO CHA KUJADILI HALI YA USALAMA BARABARANI NCHINI CHAFANA MJINI DODOMA
Na WAMJW - Dodoma .Madereva nchini wamepongezwa kwa kuanza kubadilika na kutii sheria bila shuruti katika kukabiliana na ajali za barabarani na hivyo kupungua kwa ajali pamoja na vifo vitokanavyo na...
View ArticleMohammed Enterprises yashinda tuzo nne za ATE 2017
Kampuni ya Mohammed Enterprises (MeTL Group) imeshinda tuzo nne za Mwajiri Bora wa Mwaka 2017 (EYA) zinazotolewa na Chama Cha Waajiri Tanzania (ATE), katika hafla ya iliyofanyika kwenye ukumbi wa...
View ArticleNAISINYAI YANYAKUA UBINGWA WA TAKUKURU SIMANJIRO
Na Woinde Shizza,Simanjiro.Timu ya jamii ya wafugaji wa Naisinyai S. C ya Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, imeshinda ngao ya maadili iliyoandaliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa...
View ArticleMWENYEKITI WA CCM RAIS DKT MAGUFUGULI AFUNGUA MKUTANO WA JUMUIYA YA WAZAZI...
Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt. John Pombe Magufuli akifungua rasmi Mkutano Mkuu wa Tisa wa Jumuiya ya Wazazi katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete mjini Dodoma leo Desemba 12, 2017. Mwenyekiti wa...
View ArticleONE STOP CENTRE YAWATAKA WADAU KUPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WATOTO
Mkurugenzi wa Chama Cha Waandishi wa Habari Wanawake Edina Sanga (wa pili kushoto) akiwa na Afisa Polisi Kutoka dawati la Jinsia Christina Onyango na wadau mbalimbali wa masuala ya ukatili wa kijinsia....
View ArticleKESI YA WEMA SEPETU KUENDELEA KUSIKILIZWA MWAKANI
Na Karama Kenyunko, Blogu ya jamii.Kesi ya matumizi ya dawa za kulevya inayomkabili Mlimbwende wa Tanzania mwaka 2006 na msanii maarufu wa Filamu nchini, Wema Sepetu itaendelea kusikilizwa ushahidi...
View ArticleDK MGALULA ASHAURI WATANZANIA KUWA NA UZALENDO KWA NCHI YAO
Meneja Mkuu wa Kiwanda cha kutengeneza vifaa Tiba cha Msagara, Dk.Ibrahim Mgalula akizungumza na Michuzi TV kuhusu jitihaza wanazofanya kutafuta ufumbuzi wa changamoto za uhaba wa vifaa tiba nchini...
View ArticleTANESCO kuimarisha Sekta ya Umeme Nchini
Shirika la Umeme Nchini TANESCO, limesema kuwa linaendelea kuimarisha Mifumo na Miundombinu ya Uzalishaji, Usafirishaji na Usambazaji umeme, lengo kuu kwa sasa likiwa ni Kuhakikisha upatikanaji wa...
View ArticleIGP SIRRO AONGEA NA WANANCHI ALIPOKUWA NJIANI AKITOKEA MKOANI TABORA KWENDA...
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP, Simon Sirro akiwagawia mahindi wananchi baada ya kumaliza kusalimiana nao wakati akitokea mkoani Tabora kwenda mkoa wa Kigoma katika ziara ya kikazi. Picha na...
View ArticleMAKAMU WA CHUO CHA IJA ASHINDA KUKU LUSHOTO KATIKA BONANZA
Nazael Mkumbo Mshindi wa kukuMakamu Mkuu wa Chuo cha uongozi wa mahakama IJA, Fahamu Mutlya mwishoni mwa wiki alionesha uhodari wa kukimbia baada ya kufanukiwa kumkamata kuku katika bonanza kuadhimisha...
View ArticleAirtel Yaleta ‘SMATIKA Na Yatosha Intaneti’ SMATIKA NA 1GB Siku Tatu Kwa 2000 Tu
‘SMATIKA NA 1GB Yatosha Intaneti inayokupa muda mrefu kwa gharama nafuu zaidi. Airtel Tananzania Mtandao bora kwa Smartphone yako imewapatia wateja wake uhuru zaidi kwa kuwaletea bando mpya za ‘SMATIKA...
View Article
More Pages to Explore .....