VIJANA WA ZANZIBARA NA TANZANIA BARA WAKUTANA JIJINI DAR ES SALAAM KUANGALIA...
Na Dotto MwaibaleVIJANA wa Zanzibar na Tanzania Bara wamekutana jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuangalia fursa zilizopo nchini ili kuliletea taifa maendeleo.Katika mkutano huo uliofanyika mwishoni...
View ArticleMEYA MWITA AHUDHURIA MKUTANO WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA ULIOANDALIWA NA...
MSTAHIKI Meya wa Jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita ameondoka Jijini hapa jana jioni kuelekea Addis Ababa, kuhudhuria mkutano wa kujadili changamoto zinazo wakabili viongozi wa serikali za mitaa.Mkutano...
View ArticleMahojiano na Saidi Kanda - sehemu ya 3
Sehemu ya 3 ya mazungumzo yetu na mwanamuziki mpiga ngoma na muziki wa jadi- Saidi Kanda anaelezea baadhi ya wanamuziki aliyofanya nao kazi. Na nini kajifunza au atafundisha kutokana na hilo?
View ArticleWATOTO SITA WENYE MATATIZO YA MOYO WAENDA KUTIBIWA NCHINI ISRAEL
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kushirikiana na Taasisi ya Okoa Moyo wa Mtoto (Save a Child’s Heart – SACH) ya nchini Israel zimewapeleka watoto sita (6) wenye umri wa mwaka mmoja hadi...
View ArticleKILIO CHENU NIMEKISIKIA MIMI MWENYE MAMLAKA YA KUFANYA MABADILIKO, APONGEZWA...
Na Hamza Temba, Arusha..............................................................Wadau wa Utalii Jijini Arusha wamempongeza Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla kwa kukubali...
View ArticleSERIKALI NA UMOJA WA MATAIFA ZAUNGANA NA MRADI WA DUNIA WA XPRIZE ILI...
WILAYA YA MUHEZA, TANGA, TANZANIA – Katika sherehe zilizofanyika katika kijiji kimoja huko mkoani Tanga, Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) na Shirika la Umoja wa Mataifa...
View ArticleBALOZI WA KUWAIT NCHINI AL-NAJEM AMKABIDHI DIWANI WA VIGWAZA VIFAA VYA WENYE...
Balozi wa Kuwait nchini ,Mhe.Jasem Al- Najem akizungumza na baadhi ya wananchi wa Vigwaza kwenye zahanati ya Vigwaza Chalinze Bagamoyo Mkoani Pwani baada ya kumkabidhi diwani wa kata ya Vigwaza Mohsin...
View ArticleKANISA BOTSWANA LAUOMBEA UONGOZI WA RAIS MAGUFULI
Uongozi wa serikali ya awamu ya tano nchini Tanzania inayoongozwa na Dr. John Pombe Magufuli ni mfano wa kuigwa kwa nchi za Afrika kwa kuwa umekuwa makini kutumia vizuri rasilimali za nchi kwa manufaa...
View ArticleWAZIRI MPINA AFUTA TOZO ZOTE ZA MIFUGO ZISIZOZINGATIA SHERIA
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe Luhaga Mpina akisoma stakabadhi ya malipo ya sh 50,000 kwa kila ng’ombe kinyume cha sheria aliyotozwa mfugaji wa Kijiji cha Handa, Tulway Bombo ambapo Waziri Mpina...
View ArticleNAIBU WAZIRI MHANDISI MANYANYA ATEMBELEA MAONESHO YA PILI YA VIWANDA JIJINI DAR
Naibu Waziri wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Mhandisi Stella Manyanya ametembelea maonesho ya pili ya Viwanda vya Tanzania na kujionea uzalishaji wa bidhaa mbalimbali za viwanda vya...
View ArticleUZINDUZI WA WIKI YA NENDA KWA USALAMA MKOA WA GEITA
Mhandisi Robert Gabriel Mkuu wa Mkoa wa Geita aliyevaa koti la rangi ya dhambarau na miwani akipata maelezo juu ya matumizi ya kamera za barabarani kutoka kwa Mkuu wa Kikosi cha Usalama barabarani Mkoa...
View ArticleTUNAZO RASILIMALI NYINGI LAKINI BADO KUNA HALMASHAURI ZINALALAMIKA HAKUNA...
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt Rehema Nchimbi amezitaka halmashauri za Mkoa wa Singida kuacha kulalamika kukosa mapato bali watumie vizuri rasilimali nyingi zilizopo, ambazo zikitumika vizuri zinaweza...
View ArticleMwenyekiti Mpya wa UVCCM apatikana mjini Dodoma leo
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpongeza Mwenyekiti Mpya wa UVCCM Kheri James, nje ya Ukumbi wa Chuo cha Mipango, mjini Dodoma Desemba 11, 2017...
View ArticleIGP SIRRO AKAGUA NA KUSHIRIKI MAZOEZI YA UKAKAMAVU NA ASKARI WA MKOA WA TABORA
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro wa tatu toka kulia leo asubuhi alishiriki mazoezi ya utayari na kuwatia hamasa Askari wa Mkoa wa Tabora, katika ziara yake ya siku moja mkoani humo, hatua...
View ArticleSERIKALI YASAINI MIKATABA MINNE YA UJENZI WA BARABARA
Serikali imesaini mikataba minne na kampuni nne za ujenzi wa barabara yenye thamani ya zaidi ya sh. bilioni 702 kwa ujenzi wa kilomita 402. Tukio hilo la kusaini mikataba hiyo limeshuhudiwa na Waziri...
View Articlebei mpya ya mafuta Zanzibar kwa mwezi wa Disemba kuanzia kesho
Kaimu Mkurugenzi masuala ya wateja wa Mamlaka ya udhibitiwa huduma wa nishati na maji(ZURA) Mussa Ramadhani Haji akizungumza na waandishi wa habari huko ofisini Maisara Zanzibar.(Picha na Kijakazi...
View ArticleWANANCHI WAASWA KUJENGA UZALENDO, KULINDA RASILIMALI ZA NCHI
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella akishiriki kupanda katika Shule ya Msingi Jeshini wakati wa maadhimisho ya Siku ya Uhuru, huku baadhi ya makamanda, maofisa na wapiganaji wa Jwshi la Wananchi wa...
View Article
More Pages to Explore .....