DODOMA SEKONDARI MABINGWA WAPYA WA MASHINDANO YA MCHEZO WA BASEBALL NCHINI...
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dr. Harrison Mwakyembe (Mb) Katikati aliyeshika gongo la Mchezo wa "Baseball" akiwa katika picha ya Pamoja na Viongozi wa Chama cha mchezo wa Baseball...
View ArticleMAAGIZO YA WAZIRI MHAGAMA KWA PROGRAMU YA MIVARF KUOGEZA THAMANI YA BIASHARA...
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira ,Kazi, Vijana na Watu wenye Ulemavu ) Mhe.Jenista Mhagama ameielekeza Programu ya Miundo mbinu ya Masoko, Uongezaji wa Thamani na Huduma za...
View ArticleMSAADA UNAHITAJIKA KWA MTOTO MLEMAVU ANAYEKULA KWA MIRIJA MIAKA MINNE SASA
Na Wankyo Gati, ARUSHAMkazi wa Mtaa wa Jamhuri kata ya Daraja Mbili Halmashauri ya Arusha Mjini Mkoani hapa, Asha Hussein amewaomba Wananchi kumsadia Fedha za Matibabu na kujikimu kimaisha kutokana na...
View ArticleWANAHABARI WAFUNDWA JUU YA UMUHIMU WA KUPINGA NDOA ZA UTOTONI NA KUPIGANIA...
Mwanaharakati wa Haki za Watoto nchini na Mkurugenzi wa Taasisi ya Msichana Initiative , Rebeca Gyumi akizungumza na Wahariri na Waandishi waandamizi wa Vyombo mbalimbali vya Habari juu ya haki za...
View ArticleTIB CORPORATE BENKI YATOA MSAADA WA VIFAA VYA MATIBABU KWA ZAHANATI YA...
Benki ya TIB imetoa msaada wa vitanda viwili pamoja na mashine ya kupumulia kwa mtoto mwenye tatizo la kupumua katika zahanati ya Msongola , Ilala jijini Dar es Dar es Salaam.Akizungumza baada...
View ArticleKAMISHNA SURURU, AIPONGEZA UHAMIAJI KASKAZINI UNGUJA KUSOGEZA HUDUMA NDANI YA...
Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar, Johari Masoud Sururu (kati kati), akiwatoa hofu Watendaji wa Mamalaka ya Vitambulisho vya TAifa (NIDA) kwamba kuanzia mwezi January 2018, Idara ya Uhamiaji Zanzbar...
View ArticleKAMISHNA JENERALI MALEWA APOKEA UTAMBULISHO WA MMWALIMU WA JUDO MAKAO MAKUU...
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Dk. Juma Ali Malewa amepokea utambulisho wa Mwalimu wa Judo Shozy Yogi aliyekuja kumtembelea Makao Makuu ya Magereza jijini Dar es Salaam leo tarehe 06 December...
View ArticleDKT SHEIN AHUDHURIA MAZISHI YA MWENYEKITI WA TUME YA UTUMISHI SERIKALI...
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi na wakijumuika na Waumini wa Dini ya Kiislam Zanzibar katika Sala...
View ArticleBREAKING NYUZZZZ: ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA MANYARA, JOEL BENDERA AFARIKI DUNIA
Taarifa iliyoifikia Globu ya Jamiii hivi punde inaeleza kuwa, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Joel Bendera amefikwa na mauti leo katika hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa amepelekwa kwa matibabu...
View ArticleMAKAMU WA RAIS MAMA SAMIA SULUHU HASSAN KUZINDUA KAMPENI YA KITAIFA YA USAFI...
WAZIRI wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na watoto Mhe. Ummy Mwalimu pamoja na Mwakilishi wa shirika la DFID nchini Tanzania Elizabeth Arthur wakikagua vyoo bora vinavyotumika na Wanafunzi wa...
View ArticleWAZIRI MKUU AKAGUA MAKAZI YA MAKAMU WA RAIS
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea maelezo ya ujenzi kutoka kwa Msanifu Majengo, Edward Kayombo (kulia) wakati alipoenda kukagua ofisi na makazi ya Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan mjini Dodoma...
View ArticleRAIS DKT. MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA WENYEVITI WA BODI SITA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa wenyeviti wa bodi sita za taasisi za Serikali baada ya wenyeviti waliokuwepo kumaliza muda wao.Kwa mujibu wa...
View ArticleKILI STARS KUIKABILI Z’BAR HEROES BALOZI WETU NCHINI KENYA DKT PINDI CHANA...
Na Alfred Lucas wa TFF, MachakosTimu ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kesho Alhamis Desemba 7, 2017 inatupa karata yake ya pili kwenye michuano ya CECAFA dhidi ya Zanzibar Heroes ya...
View ArticleUbalozi wa Norway waipatia UN Tanzania dola milioni 5.1 ili kufanikisha UNDAP II
Ubalozi wa Norway nchini umeipatia msaada wa dola bilioni 5.1 Umoja wa Mataifa Tanzania ili kusaidia kufanikisha Mpango wa Misaada wa Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNDAP II).Makubaliano hayo...
View ArticleMPINA AMSIMAMISHA KAZI MTUMISHI ALIYESHIRIKI UTOROSHAJI WA KILO 2500 ZA...
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mh. Luhaga Mpina amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Yohana Budeba kumsimamisha kazi mara moja Afisa wa Kitengo cha Doria na Udhibiti wa Uvuvi wa mpakani katika Mkoa...
View ArticleKamati ya UN kutetea haki za Wapalestina yazungumza na Waziri Dk. Mwakyembea
KAMATI maalum ya Umoja wa Mataifa (UN) iliyoundwa kutetea haki za msingi za raia wa Wapalestina imekutana na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe kwa mazungumzo maalum...
View ArticleJaffo:Stawavumilia wakurugenzi na wenyeviti wa kamati za fedha ambao...
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiWAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Sulemani Jafo amesema hatawavumilia wakurugenzi na wenyeviti wa kamati za fedha ambao hawatatoa...
View Article
More Pages to Explore .....