TFDA YAWANOA WASINDIKAJI WA CHAKULA MKOANI GEITA
Na,Joel Maduka,Geita.Mamlaka ya Chakula na Dawa, TFDA imewakutanisha wajasiriamali wanaosindika chakula mkoani Geita na kutoa mafunzo yatakayowasaidia kutengeneza vyakula vinavyokidhi viwango vya...
View ArticleNAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA NAIBU MKURUGENZI WA...
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Susan Kolimba akizungumza na Naibu Mkurugenzi wa Kamati ya Mambo ya Nje ya Bunge la China, Mhe. CAO Weizhou alipofika Wizarani...
View ArticleWAKULIMA wa Skimu ya Umwagiliaji ya Mpunga wilayani Kakonko mkoani Kigoma...
Na Rhoda Ezekiel Kigoma.WAKULIMA wa Sikimu ya Umwagiliaji ya Mpunga Katika vijiji vya Katengera na Ruhiti Wilayani Kakonko, wametakiwa kuongeza ufanisi kwa zao la Mpunga ilikuzalisha mazao ya kutosha...
View ArticleBULEMBO AWATAKA WANA CCM KIGOMA KUWA WAMOJA NA KUHAKIKISHA MAJIMBO YOTE...
Na Rhoda Ezekiel -Kigoma.MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi Taifa, ambae pia ni mlezi wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kigoma,Abdallah Burembo amewaagiza Viongozi wapya wa Chama hicho Mkoani Kigoma...
View ArticleNHIF YAKUTANA NA WATOA HUDUMA WAKE WA JIJINI DAR LEO
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Mama Anne Makinda akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa siku moja na Watoa Huduma wake wa Mkoa wa Dar es Salaam kwa...
View ArticleTAASISI YA HER INITIATIVE 'PANDA' WATOA SEMINA SHAWISHI KWA WANAFUNZI WA VYUO...
Desemba 2, 2017 katika chuo kikuu cha Mt. Augustine (SAUTI) Mwanza kulifanyika tamasha la uvumbuzi, ujasiriamali na kazi kwa wasichana lijulikanalo kama PANDA. Tamasha hilo ambalo huandaliwa kila mwaka...
View ArticleMASAUNI AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI MPYA WA CHINA NCHINI TANZANIA
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (kushoto) akizungumza na Balozi mpya wa China nchini, Wang Ke, wakati balozi huyo alipomtembelea Masauni ofisini kwake jijini Dar es...
View ArticleSERA MPYA YA UJENZI KUKAMILIKA HIVI KARIBUNI
Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Sekta ya Ujenzi, Bi. Elizabeth Tagora, akifungua rasmi warsha ya siku moja, ya wadau wa ujenzi, kujadili mapitio ya...
View ArticleLisu kunogesha tamasha la uamsho dar
Na Salesi MalulaMwimbaji John lisu anatarajia kunogesha Kongamano kubwa la Uamsho linalotarajia kutikisa Jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyake ambapo mhubiri maarufu kutoka Sweden mwinjilisti...
View ArticleSHEREHE ZA UVISHWAJI PETE WAKINA MAMA WALEZI WA SOS YAFANYIKA ZANZIBAR
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akipunga mkono ikiwa ni ishara ya kuwasalimia wananchi mbalimbali waliohudhuria katika sherehe ya Uvishwaji Pete wakinamama wa SOS Tanzania Bara na...
View ArticleSHULE YA SEKONDARI IWAWA MKOANI NJOMBE YANUFAIKA NA KOMPYUTA 10 TOKA VODACOM...
Meneja wa Vodacom Tanzania PLC,Mkoa wa Njombe,Benedict Kitogwa(kushoto)akiwasisitiza walimu na wanafunzi wa shule ya sekondari Iwawa iliyopo mkoani humo kuzitumia vizuri na kuzitunza kompyuta 10...
View ArticleTAIFA CUP KUANZA KUTIMUA VUMBI DESEMBA 16 HADI 23 UWANJA WA NDANI WA TAIFA
Ikiwa zimesalia siku 10 kuelekea Mashindano ya Taifa Cup kwa timu za kikapu nchini, tayari timu zimeshawasilisha maombi ya ushiriki wao.Timu hizo kutoka sehemu mbalimbali nchini zimeweza kutuma maombi...
View ArticleMKURUGENZI MANISPAA YA DODOMA AMALIZA HOFU YA WAFANYABIASHARA 2,500
NA RAMADHANI JUMA,OFISI YA MKURUGENZIMKURUGENZI wa Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma Godwin Kunambi amemaliza hofu ya kuhamishwa iliyokuwa imetanda kwa wafanyabiasha takribani 2,500 wa Soko la Sabasaba...
View ArticleRAIS DKT MAGUFULI AWASILI DODOMA LEO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 07 Desemba, 2017 amewasili Mkoani Dodoma ambako pamoja na mambo mengine atakuwa mgeni rasmi katika sherehe za...
View ArticleMAJALIWA AONGOZA KIKAO CHA BAADHI YA MAWAZIRI, MAKATIBU WAKUU, MKUU WA MKOA...
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo (katikati) na Mkurugenzi wa Taasisi Isiyo ya Kiserikali ya Pastoralist Women Council, Manda Ngoitika baada ya kikao...
View ArticleRAIS DKT MAGUFULI AWASILI DODOMA LEO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Dkt. Binilith Satano Mahenge alipowasili Ikulu ya Chamwino mjini Dodoma leo Novemba 7,...
View ArticleWAZIRI MKUU AFUNGUA JENGO LA UMOJA WA MATAIFA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezindua ofisi ya Umoja wa Mataifa na kusema uamuzi huo ni hatua muhimu ya kuendeleza mchakato wa Serikali wa kuhamia Dodoma. Ametoa kauli hiyo leo mchana (Alhamsi, Desemba...
View ArticleIN LOVING MEMORY OF MAMA ROSE SHOMARI
It has been 12 years since you departed from us, in this day a memory of a life so beautifully lived and a heart so deeply loved. We will always remember you and the lessons of life you gave us. May...
View Article
More Pages to Explore .....