ZAIDI YA RAIA 800 KUTOKA CONGO WAKIMBILIA KIGOMA KUHOFIA MACHAFUKO
Takribani raia 800 kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wamekimbilia Nchini Tanzania kuomba hifadhi ya ukimbizi katika kijiji cha Kigadye Wilayani Kasulu, Mkoani Kigoma wakihofia machafuko. Raia...
View ArticleTamasha la Tigo Fiesta kufanyika Jumamosi Jijini Dar
Mkurugenzi wa Huduma za Masoko Tigo, William Mpinga(katikati) akifafanua jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye mkutano wa kutambulisha wasanii watakaopanda katika jukwaa la Tigo...
View ArticleMEJA JENERALI PROJEST RWEGASIRA NA MEJA JENERALI SIMON MUMWI WASTAAFU...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira (Mstaafu) akiagana na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi , Jenerali Venance Mabeyo, baada ya kumaliza utumishi katika Jeshi la...
View ArticleRC MOROGORO AONYA WAKURUGENZI WANAOKALIA FEDHA ZA CHF
Na John Nditi, MorogoroMKUU wa mkoa wa Morogoro, Dk Kebwe Stephen Kebwe, amewaonya Wakurugenzi wa halmashauri za wilaya za mkoa huo ambao watakalia fedha za wananchi wanaojiunga na Mfuko wa Afya ya...
View ArticleDkt.Ndugulile afungua kambi ya upasuaji Mabusha mkoani Lindi
Naibu Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto akipokea hundi yenye thamani ya shilingi milioni 264 toka kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya utafiti na uchimbaji wa mafuta ya Statoil...
View ArticleWAZIRI MHAGAMA AKABIDHI PIKIPIKI KWA TASISI YA IOGT INAYOJIHUSISHA NA...
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Watu Wenye Ulemavu), Mhe.Jenista Mhagama, akizungumza wakati wa kukabidhi Pikipiki kwa Tasisi ianyojiusisha na kutoa eleimu...
View ArticleSERIKALI YAHAMASISHA KILIMO CHA MIHOGO ALIZETI KWANI KUNA SOKO LA UHAKIKA...
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiSERIKALI imesema kuwa wananchi wazalishe mazao ya Mihogo, Alizeti kutokana na kuwepo kwa masoko katika nchi ya China hali ambayo itafanya kufikia uchumi wa kati kwa...
View ArticleWAZIRI MKUU AWATAKA WATUMISHI WILAYANI NAMTUMBO KUVUNJA MAKUNDI YAO
Waziri Mkuu KASSIM MAJALIWA amemwagiza mkuu wa wilaya ya NAMTUMBO pamoja na watumishi wa wilaya ya hiyo mkoani RUVUMA waache makundi ili kuleta ufanisi wa kuwatumikia wananchi.
View ArticleCHUO KIKUU ARDHI MARUFUKU KUKODI MAKAMPUNI - MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekipiga marufuku Chuo Kikuu Ardhi kukodi makampuni ya kufanya kazi mbalimbali kwa niaba yake, akisema kuwa kitendo hicho kinaharibu kazi na sifa ya chuo hicho kwa kuwa...
View ArticleMAELFU WAMZIKA MEYA MSTAAFU WA DAR ES SALAAM KLEIST SYKES MAKABURI YA KISUTU...
Maelfu ya waombolezaji leo wamehudhuria mazishi ya aliyekuwa Meya wa jiji la Dar es salaam marehemu Kleist Sykes aliyezikwa leo Alhamisi Novemba 23, 2017 katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es...
View ArticleNEWZ ALERT:Rais DKT Magufuli amteua Dkt. Wilbrod Peter Slaa kuwa Balozi
Balozi mteule Dkt. Wilbrod Peter Slaa
View ArticleRais Magufuli Mgeni Rasmi Uzinduzi wa Hospitali ya Taaluma MUHAS Kampasi ya...
Kaimu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) Prof. Appolinary Kamuhabwa akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu uzinduzi wa Hospitali ya Taaluma na Tiba ya Chuo Kikuu cha...
View ArticleMATAWI YA BENKI YA EXIM YAPATA UTHIBITISHO WA KIMATAIFA - ISO 9001:2015.
Mkuu wa rasilimali watu wa benki ya Exim, Frederick Kanga akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kuhusu matawi ya benki hiyo kupata cheti cha ISO 9001:2015 ikiwa kama uthibitisho wa ubora...
View ArticleTamasha la Tigo Fiesta kufanyika Jumamosi Jijini Dar
Mkurugenzi wa Huduma za Masoko Tigo, William Mpinga(katikati) akifafanua jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari kwenye mkutano wa kutambulisha wasanii watakaopanda katika jukwaa la Tigo...
View ArticleMICHUZI TV: MPANGO WA MATIBABU BURE KUWAFIKIA WAZEE WA HANDENI
Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Godwin Gondwe amewahamasisha wazee kuanzia umri wa miaka 60 na kuendelea kujitokeza kwenye zoezi la upigwaji picha ili waweze kupatiwa kadi za bima ya afya zitakazowawezesha...
View ArticleWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA SERIKALI ITABORESHA MFUMO WA ELIMU.
Waziri mkuu KASSIM MAJALIWA amesema serikali ya awamu ya tano chini ya Rais DKTJOSEPH MAGUFULI itaboresha mfumo wa elimu ili kuweza kumwandalia mwanafunzi maznigira bora ya kielimu, amesema hayo wakati...
View Article
More Pages to Explore .....