TPB Bank Plc, Multichoice kuwapatia Watanzania DStv kwa Mkopo
BENKI ya TPB imeingia kwenye makubaliano rasmi na kampuni ya Multichoice Tanzania inayotoa huduma za DStv ambapo wafanyakazi umma, wateja na hata wale wasio wateja sasa wanaweza kupata ving’amuzi vya...
View ArticleIGP SIRRO AFUNGA MKUTANO WA URRA SACCOS MKOANI MOROGORO
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro pamoja na Viongozi wengine wa Chama cha kuweka na kukopa cha Jeshi la Polisi (URA SACCOS) wakiimba wimbo wa maadili ya ofisa wa Polisi wakati wa hafla...
View ArticleMAKAMU WA RAIS AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA VIONGOZI WA KUU WA OFISI YA MAKAMU WA...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (kulia) akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba, Katibu Mkuu wa...
View ArticleRais Magufuli akutana na Rais Shein na Balozi wa Japan Ikulu Jijini Dar es...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Balozi wa Japan nchini Mhe. Masaharu Yoshida alipokutana na na kufanya mazungumzo naye Ikulu jijini Dar es salaam leo...
View ArticleNAIBU WAZIRI WA UJENZI KWANDIKWA ARIDHISHWA NA HUDUMA ZA VIVUKO JIJINI DAR ES...
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.NAIBU Waziri wa Ujenzi Elias Kwandikwa amefanya ziara katika kivuko cha Kigamboni na kujionea namna mashine mpya za kieletroniki zilivyoweza kufungwa na kumtaka...
View ArticleTAMBWE KAMILI GADO, YANGA KUENDELEA KUWAKOSA TSHISHIMBI, NGOMA NA KAMOSOKU
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii.KIKOSI cha Yanga kimeendelea na mazoezi yake leo katika Uwanja wa Uhuru kujiandaa na mchezo wa raundi ya 11 ya ligi kuu Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Tanzania Prisons...
View ArticleDK.MAHENGE: HALMASHAURI ZIHAKIKISHE ASILIMIA 10 YA FEDHA ZA VIJANA, WANAWAKE...
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge amezitaka Halmashauri za Wilaya, Mji na Manispaa Mkoani Dodoma kuhakikisha zinatenga asilimia kumi (10%) ya makusanyo yao ya ndani kwa ajili ya vijana,...
View ArticleCHUO KIKUU ARDHI MARUFUKU KUKODI MAKAMPUNI-MAJALIWA
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekipiga marufuku Chuo Kikuu Ardhi kukodi makampuni ya kufanya kazi mbalimbali kwa niaba yake.Amesema kitendo hicho kinaharibu kazi na sifa ya chuo hicho kwa kuwa baadhi ya...
View ArticleMATUMIZI YASIYO YA LAZIMA YADHIBITIWE
Nteghenjwa Hosseah, OR-TAMISEMI.Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe.Selemani Jafo amewataka watendaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kudhibiti matumizi yasiyo ya...
View ArticleNAIBU WAZIRI ULEGA AFANYA ZIARA KATIKA KISIWA CHA MAFIA
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amefanya ziara katika Kisiwa cha Mafia kwa ajili kukagua shughuli za uvuvi pamoja na kumuona Samaki aina Papa Potwe.Akizungumza na Wavuvi , Watendaji wa...
View ArticleUFUNGAJI WA MAFUNZO YA UDHIBITI USAMBAAJI MAFUTA BAHARINI WAFANYIKA ZANZIBAR.
Injinia Mratibu wa maswala ya Mazingira Baharini kutoka ZMA Halfani Hamad Hassan kulia akitoa maelezo kuhusiana na zoezi la vitendo la Udhibiti wa Usambaaji wa mafuta yaliomwagika Baharini katika...
View ArticleBondia Mtanzania kutetea ubingwa wa GBC dhidi ya bondia wa Afrika Kusini
Bondia Mtanzania Ibrahim Class Mgendera, anatarajia kutetea ubingwa anaoushikilia wa mkanda wa dunia wa Baraza la Ngumi Duniani (Global Boxing Council – GBC) uzito wa “Lightweight dhidi ya bondia...
View ArticleRC GEITA AUNGA MKONO JITIHADA ZA UJENZI WA SHULE NA ZAHANATI KATA YA LUTEDE...
Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel ameunga mkono jitihada za ujenzi wa Zahanati na Shule kata za Ludete na Kakubilo Halmashauri ya Geita kwa kuchangia matofali yenye thamani ya shilingi...
View ArticleBANK OF AFRICA-TANZANIA CELEBRATES 19th ANNIVERSARY IN STYLE
The guest of honor; Honorable Charles Mwijage, Minister of Industries, Trade and Investment giving out the speech at the Bank’s 10 years’ anniversary event, yesterday at Serena Hotel.CEO and Managing...
View Article
More Pages to Explore .....