MWANAFUNZI WA CHUO CHA UHAZILI TABORA AKUTWA AMEJINYONGA KWA KUTUMIA TAI
NA TIGANYA VINCENT - RS TABORAMWANACHUO mmoja Chuo cha Utumishi wa Umma –Tawi la Tabora kinachojulikana kama Uhazili Raphael Kadesha (22) amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa kutumia tai ya kuvaa...
View ArticleTANZANIA YAPIGWA MSASA NA ISRAEL WA KUTANGAZA UTALII KIDIGITALI
Ziara ya kutembelea nchi ya Israel iliyoandaliwa na Bodi ya Utalii Tanzania na kuhususisha viongozi wa Wizara ya Maliasili na Utalii imeanza kuzaa matunda ambapo mtaalamu wa mfumo wa mawasiliano kutoka...
View ArticleAWESO AWATAKA WAKANDARASI KUWA WAZALENDO
Naibu waziri wa maji na umwagiliaji Jumaa Aweso amewataka wakandarasi nchini kuwa wazalendo katika kuhakikisha fedha zinazopelekwa kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maji zinafanya kazi...
View ArticleWAZIRI JENISTA ATEMBELEA VITUO VYA HALI YA HEWA ARUMERU
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu) Mhe. Jenista Mhagama akizungumza jambo wakati wa mkutano na baadhi ya Watendaji wa Serikali alipofanya...
View ArticleSTANDARD CHARTERED BANK MWENYEJI WA ‘ONE BELT- ONE ROAD’ (OBOR) AFRICA-CHINA...
Mgeni Rasmi Waziri wa viwanda, biashara na uwekezaji, Mh. Charles Mwijage akihutubia waalikwa mbalimbali kuhusu fursa zinazopatikana katika uwekezaji. (OBOR Initiative) katika hafla ya chakula cha...
View ArticleBALOZI WA JAPAN ATEMBELEA WIZARA YA MADINI
Balozi wa Japan nchini Tanzania, Masaharu Yoshida, Novemba 21, 2017 alitembelea Ofisi za Wizara ya Madini za jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo na Waziri wa Madini, Angellah Kairuki na Naibu...
View ArticleRC MAKONDA ATINGA OFISI ZA CLOUDS MEDIA GROUP KUWAPA POLE.
Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Dar,ikiongozwa na Mkuu wa Mkoa Mh Paul Makonda wamefika mjengoni Clouds Media Group kutoa pole na kujionea athari zilizosababishwa na moto uliozuka jana asubuhi...
View ArticleVIONGOZI WILAYANI HANDENI WASHIRIKI UJENZI KUHAMASISHA WANANCHI KUSHIRIKI...
Mkuu wa Wilaya ya Handeni Mh. Godwin Gondwe na viongozi wengine wakishiriki kujaza zege kwenye ndoo kwaajili ya kumwaga kwenye jamvi la matundu ya vyoo. Mkurugenzi Mtendaji Bw. William Makufwe...
View ArticleNAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, MHE. JAPHET HASUNGA AAGIZA KUUNDWA KWA...
Na Hamza Temba – WMU..........................................................Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Japhet Hasunga ameuagiza uongozi wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS)...
View ArticleHALMASHAURI YA WILAYA YA KISARAWE YATOA MKOPO WA SHILINGI MILIONI 102 KWA...
NA VICTOR MASANGU, KISARAWEHALMASHAURI YA wilaya ya Kisarawe iliyopo Mkoani Pwani katika kuunga mkono juhudi za Rais wa awamu ya tano Dk. John Pombe Magufuli kuwa na uchumi wa viwanda imetoa kiasi cha...
View ArticleApplying Nuclear Medicine in Tanzania to Tackle Serious Diseases
According to estimates of Dar es Salaam’s Ocean Road Cancer Institute (ORCI), Tanzania registers about 50,000 new cancer patients every year. However, ORCI, which is the largest cancer referral...
View ArticleMAMA MCHUNGAJI GEITA AIBUKA MSHINDI WA KITITA CHA SHILINGI MILIONI 15/=TUSUA...
Bi.Adivella Muhimba,Mkazi wa Mkoa wa Geita akikabidhiwa kitita cha shilingi Miliono 15/- fedha taslimu na Meneja wa kanda ya ziwa wa Vodacom Tanzania PLC, Undule Mwamkamba ambazo amejishindia...
View ArticleWASIMAMIZI WA UCHAGUZI MDOGO NA VYAMA VYA SIASA WATAKIWA KUSHIRIKIANA ILI...
Na Clarence Nanyaro – NECMwenyekeiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Semistocles Kaijage amewataka wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi nchini Kuwashirikisha Viongozi wa Vyama vya siasa...
View ArticleMENEJA WA NYANZA CORMERCIAL FARM APIGWA FAINI YA SH MILIONI 534 AU KIFUNGO...
Na Karama Kenyunko, blogu ya Jamii. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu meneja wa Nyanza Commercial Farm, Dilipkumar Pater, kulipa faini ya Sh milioni 534 ama kutumikia kifungo cha miaka 20...
View ArticleWADAIWA SUGU WA KAMPUNI YA TTCL KUPELEKWE MAHAKAMANI- NAIBU WAZIRI MHANDISI...
Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii. NAIBU Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Atashasta Nditiye amefanya ziara makao makuu ya kampuni ya simu Tanzania (TTCL) na kuwataka kuwachukulia hatua wadaiwa...
View ArticleKUMBUKUMBU YA SABINUS KWEKA
30/12/1935 22/11/2004SABINUS PETER KWEKABaba yetu mpendwa, leo umetimiza mwaka wa 13 tangu...
View ArticleNAIBU WAZIRI MASAUNI, KAMISHNA JENERALI WAKAGUA MPAKA WA TANZANIA KENYA...
Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Dk, Anna Makakala, Mkuu wa Mkoa wa Mara, Adam Malima (katikati) wakiangalia jiwe la mpaka...
View ArticleWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA KESHO KUWASILI MKOANI RUVUMA KWA ZIARA YA SIKU TATU
Waziri mkuu Mh.KASSIM MJALIWA kesho anatarajia kuwasili mkoa RUVUMA majira ya saa saba mchna kwa ziara ya siku tatu ambapo ataanzia katika wilaya ya NAMTUMBO pamoja na TUNDURU hayo yamesemawa na mkuu...
View ArticleWAZIRI MWIJAGE AWATAHADHARISHA WATENDAJI WA SERIKALI WANAOWAKWAMISHA WAWEKEZAJI
Waziri wa Viwanda, Biashara na uwekezaji, Charles Mwijage akizungumza wakati wa Uzinduzi wa Jengo la usambazaji wa Vifaa vya ujenzi na Saruji linalojengwa na umoja wa Wafanyabiashara wa Kichina Barani...
View Article
More Pages to Explore .....