SERIKALI YA OMAN YAVUTIWA NA MAZINGIRA YA UWEKEZAJI TANZANIA
Na Eliphace MarwaBALOZI wa Oman Ali Al Mahruqi amesema Wafanyabiashara wa nchi hiyo wamevutiwa na na hatua mbalimbali znazochuliwa na Serikali ya Awamu ya Tano katika kujenga mazingira bora kwa...
View ArticleUMEME USIKATIKE BILA SABABU MAALUM- SUBIRA MGALU
Na Teresia Mhagama.Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu amewaagiza watendaji wa TANESCO kuhakikisha kuwa hawakati Umeme bila sababu maalum na hivyo kuwaondolea wananchi adha ya kukosa nishati...
View ArticleJamii yatakiwa kuweka mikakati ya kuhakikisha kila mama anajifungulia katika...
Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiKATIKA kuhakikisha Vifo vinavyotokana na uzazi kwa kina Mama vinapungua,Jamii imehimizwa kumpeleka mzazi kwenda kwenye vituo vya Afya ambavyo vina wataalamu ,kwani...
View ArticleNAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI NA MAWASILIANO ATASHASTA NDITIYE ATEMBELEA TUME YA...
Naibu Waziri, Mhandisi Atashasta Nditiye (katikati), akizungumza na wafanyakazi wa Tume ya Taifa ya TEHAMA katika ziara hiyo. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya TEHAMA, Mhandisi Samson Mwela...
View ArticleRais Magufuli amteua Bw. Edwin Rutageruka kuwa Mkurugenzi Mkuu TANTRADE
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE) Bw. Edwin Rutageruka
View ArticleBREAKING NEWZZZZ: Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amejiuzulu
Spika wa bunge la Zimbabwe ametangaza leo kuwa Rais wa nchi hiyo Robert Mugabe amejiuzulu.Spika Jacob Mudenda alisema kuwa hatua hiyo ni ya kujitolea na amefanya hivyo ili kuweza kuwepo kwa...
View ArticleUSHIRIKA WA WACHINJA KUKU KISUTU WENYE MALENGO MAKUBWA YA UWEKEZAJI
Na Daniel Mbega, MaendeleoVijijini.SAUTI za kuku zinasikika hata ukiwa nje ya jengo dogo ndani ya Soko la Kisutu jijini Dar es Salaam, lakini ghafla zinakoma na zinasikika nyingine.Siyo kwamba kuku hao...
View ArticleMAKAMU WA RAIS MAMA SAMIA SULUHU HASSAN AMJULIA HALI MZEE SIMAI
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan leo alimtembelea na kumjulia hali Mzee Abdulrazack Mussa Simai 'Kwacha' ambaye amelazwa MOI.Mzee Abdulrazack Mussa...
View ArticleMaafisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wapigwa msasa jinsi...
Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Pal Bhadreshwara akionyesha namna ya kumpima mgonjwa umeme wa moyo (Electrocardiogram - ECG) wakati wa mafunzo ya siku tano ya kutoa huduma kwa...
View ArticleMenejimenti ya TAA yakutana na Wajumbe wa TUGHE
Kaimu Mwanasheria wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Joachim Maambo akijitambulisha kwenye mkutano wa Menejimenti na Wajumbe wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE)...
View ArticleSERIKALI KUTOWAFUMBIA MACHO WAFANYABIASHARA WA MBOLEA WANAOKWEPA BEI ELEKEZI
Na EmanuelMadafa,MbeyaSERIKALI imewataka wafanyabiashara wa mbolea nchini kuhakikisha wanafuata bei elekezi ya uuzaji wa mbolea iliyowekwa na serikali ili kumsaidia mfanyabiashara mdogo aweze kuuza kwa...
View ArticleSHAMBA LA MIFUGO LA JK KUTUMIWA NA SUA SHAMBA DARASA KWA WANAFUNZI WAO ,...
Na John Nditi, MorogoroUONGOZI wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) umeingia makubaliano ya pamoja na Rais mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne , Dk Jakaya Kikwete ili kulitumia shamba lake la...
View ArticleKONGAMANO LA WASOMI WANATAALUMA KUFANYIKA JUMAMOSI HOTELI YA LANDMARK UBUNGO...
Na Dotto MwaibaleWANAFUNZI waliohitimu vyuo vikuu mbalimbali hapa nchini Jumamosi ya Wiki hii wanatarajia kufanya kongamono kubwa la kihistoria kujadili namna watakavyoweza kutumia taaluma zao kusaidia...
View ArticleNCC Yatakiwa Kuzingatia Ubora wa Miundombinu Nchini
Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO.Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) limetakiwa kuzingatia ubora katika kutekeleza kazi zake ili kuokoa fedha zinazotolewa kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu mbalimbali...
View Article
More Pages to Explore .....