Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 122244 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU OFISI YA MAKAMU WA RAIS AKUTANA NA WATUMISHI WA NEMC.

 Katibu Mkuu wa Ofisi ya Makamu wa Rais Profesa Faustin Kamuzora akiongea na Watumishi wa Baraza   la Usimamizi wa Mazingira (NEMC) alipokutana nao kuongea mambo mbalimbali ya Kiutumishi,  Ofisi hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAKTARI BINGWA MAGONJWA YA MOYO JKCI ASHINDA TUZO YA WATAFITI VIJANA WA...

View Article


SERIKALI YATOA UFAFANUZI KUHUSU PROPAGANDA NA UPOTOSHAJI WA TUNDU LISSU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Airtel Tanzania PLC undertakes strategic efficiency enhancement exercise

 Airtel Tanzania PLC has embarked on a strategic efficiency enhancement exercise aimed at making the company more flexible and agile and to innovate and respond better to the market demands.  “This...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTAFITI WA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI WA AWAMU YA PILI KUFANYIKA MWEZI...

Na: Veronica Kazimoto.Utafiti wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini Tanzania wa awamu ya pili unatarajia kufanyika mwezi Agosti mwaka huu.Akizungumza wakati wa mafunzo ya wadadisi yanayoendelea kufanyika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

‘COCA-COLA BILA SUKARI’ YAZINDULIWA KUKIDHI MAHITAJI YA SOKO MWANZA

Kampuni ya Coca-Cola leo imezindua katika soko la Mwanza na kanda ya ziwa kwa ujumla, soda mpya ya “Coca-Cola Bila Sukari”. Uzinduzi wa soda hii mpya umefanyika katika kiwanda cha Nyanza Bottlers...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Benki ya KCB Tanzania yaendelea kuwapatia ushauri wa kibiashara wanachama wa...

Benki ya KCB Tanzania inaendelea kuwapatia wanawake wajasiriamali waliopitia mafunzo ya ujasiriamali ya KCB 2jiajiri ushauri wa kibiashara kwa vitendo ofisini kwa wafaidika wa 2jiajiri. Maafisa watatu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAKWATA YAITAKA SERIKALI KUMCHUKULIA HATUA MTU MMOJA ANAYEJIITA MTUME MKOANI...

Baraza la ulamaa limetoa wito kwa vyombo vya dola kumchukulia hatua stahiki mtu aliyejitokeza katika mkoa wa pwani na kudai yeye ni Mtume. Akisoma wito huo, kwa niaba ya Mufti wa Tanzania, Sheikh...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUTOKA MAHAKAMA YA KISUTU:KESI YA MADAI BAINA YA DKT WILLIAM MORRIS DHIDI YA...

Na Karama Kenyunko, blog ya jamii.Mlalamikaji katika kesi ya madai iliyofunguliwa na Dk.William Morris dhidi ya Mchungaji Joseph Mwingira na Philis Nyimbi amewasilisha maombi katika Mahakama ya Hakimu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MWAKYEMBE AMLILIA MKE WAKE

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe Harisson Mwakyembe akilia juu ya jeneza la Mke wake Marehemu Linah Mwakyembe wakati wa kuaga mwili huo nyumbani kwake Kunduchi, Jijini Dar es Salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSANI AZINDUA TTCL PESA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amezindua huduma mpya ya fedha mtandao ijulikanayo kama TTCL PESA ya Kampuni ya Simu Tanzania TTCL. Uzinduzi huo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tamasha la tisa la muziki wa Kigogo: Muendelezo wa utambuzi kwa urithi wa...

Wilayani Chamwino mkoani Dodoma maeneo karibu na Ikulu kunatarajia kuwa na burudani ya aina yake kwa wakazi wa kijiji hicho na maeneo yanayokizunguka, ambapo linatarajia kufanyika Tamasha la 9 la...

View Article

MDAU ABUNI MCHEZO WA KARATA WA ALBASTINI MTANDAONI

Mtanzania Augustino  Mponzi anayeishi jijini Dallas, Texas, Marekani, amebuni mchezo marufu wa karata uitwao ALBASTINI kwa njia ya mtandao. Mchezo huu unaweza kuchezwa kwa kutumia simu ya mkononi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DRAFTI

View Article

INTRODUCING "BAKORA" BY WAKAZI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YA MAMBO YA NJE YANADI MIRAANI FURSA ZA BIASHARA KATIKA SOKO LA AFRIKA...

Kituo Kikuu cha Mabasi, DodomaBw. Justin Kisoka, Mtumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ambaye amebobea katika masuala ya uchumi akitoa somo namna vijana wa Kitanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI WATAKIWA KUTUMIA NISHATI YA BIOGAS ILI KURAHISISHA MAISHA

Wananchi wametakiwa kutumia Gesi Bayogesi kwani inapunguza gharama za watumiaji wa vyanzo vingine vya nishati ,pia gesi hii inasaida kutunza mazingira . Hayo yamebainishwa leo na Mratibu wa Ubunifu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEYA WA JIJI LA DAR AFANYA ZIARA KITUO CHA MABASI UBUNGO

 Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita akizungumza na wafanyabiashara wa Stendi ya Mabasi Ubungo,wajumbe wa Kamati ya Fedha na uchumi ya Halmashauri ya Jiji alipofanya ziara ya kushtukiza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIWANDA CHA KUZALISHA HOJA NI WATENDAJI WA HALMASHAURI; DKT NCHIMBI.

Watendaji wa halmashauri za wilaya na manispaa wamekuwa ni kiwanda cha kutengeneza hoja za mkaguzi na Mthibiti Mkuu wa hesabu za Serikali kwa kukosa umakini, uaminifu, uwajibikaji na kutokuzingata...

View Article

KIPINDI CHA BBC DIRA YA DUNIA

View Article
Browsing all 122244 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>