Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 122326 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC Rukwa aitahadharisha Manispaa ya Sumbawanga kutumia vizuri Bilioni 1.1 za...

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Kamishna Mstaafu Zelote Stephen amewataka wale wote wanaohusika na usimamizi wa fedha za ukarabati wa moja ya shule Kongwe nchini, kuhakikisha kuwa fedha hizo zinatumika kama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAFO ATOA AGIZO KWA MAAFISA WA ELIMU KUBORESHA MAZINGIRA YA SHULE

NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jafo ameagiza maafisa elimu nchini kuboresha mazingira ya shule za msingi na sekondari katika halmashauri zao wanazoziongoza ili ziwe na mandhari ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MASTER MIYAZATO WA OKINAWA GOJU RYU KARATE AMPANDISHA NGAZI SENSEI FUNDI...

Sensei Fundi Rumadha amefanya na kufaulu vizuri mitihani wake wa kupanda ngazi toka Dan ya tatu "Sandan" kwenda ngazi ya nne "Yondan" chini ya waamuzi (masters) toka Okinawa wakiongozwa na Sensei...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROF. MBARAWA: FIDIA ZITALIPWA KWA WANAOSTAHILI KISHERIA

Serikali imesema itawalipa fidia kwa mujibu wa sheria wananchi wote waliopisha ujenzi wa barabara katika maeneo mbalimbali ya nchi. Amesema hayo Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame...

View Article

MICHUZI TV: BAR YA VAMPONJI FOREST JIJINI MBEYA YANUSURIKA KUTEKETEA KWA MOTO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BANK OF AFRICA YAKABIDHI GREDA KWA MTEJA WAKE

BANK OF AFRICA imekabidhi rasmi mtambo wa ujenzi (Greda jipya aina ya JCB) lenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 300 kwa kampuni ya Dezo Civil Contactors Limited, kwa ajili ya kutekeleza miradi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ESRF YAANDAA MKUTANO KUJADILI BIASHARA NA UWEKAZAJI KATI YA TANZANIA NA CHINA

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe Dkt. Philip Mpango akisoma hotuba kwa niaba ya Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu Hassan (hayupo pichani) wakati akifungua mkutano wa 6 wa mwaka wa ESRF unaozungumzia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAHMEF YATOA HUDUMA BURE YA UPIMAJI WA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI WILAYANI...

TAHMEF (Tanzania Health and Medical Education Foundation) ni shirika lisilo la kiserikali (NGO), lililozinduliwa rasmi tarehe 8 Julai 2016 na Naibu Waziri wa Afya, maendeleo ya jamii, jinsia, watoto na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA NMB YASHINDA TUZO YA BENKI BORA YA MAENDELEO AFRIKA 2017

BENKI ya NMB PLC imeshinda tuzo mbili katika sherehe za utoaji wa tuzo wa benki bora duniani zilizofanyika Jijini London, Uingereza. NMB Imetajwa kwa mara ya kwanza kuwa ni Benki Bora ya Maendeleo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC Gambo awataka watendaji kutatua kero za wananchi

Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho M. Gambo awaagiza viongozi wa serikali ya kijiji , kata, tarafa, Halmashauri na wilaya  kuhakikisha wanatenga muda wa kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua ikiwa ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IGP SIRRO AFANYA MABADIRIKO YA KAWAIDA KWA MAKAMANDA WA POLISI

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Saimon Sirro,  amefanya mabadiliko ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni pamoja na Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Shinyanga.Katika mabadiliko hayo, aliyekuwa Kamanda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGAZETI YA JUMANNE LEO JULAI 18,2017

Kupata magazeti zaidi BOFYA HAPA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ratiba ya msiba wa marehemu Professor Henslay William Kabisama

Ndugu, Jamaa, Marafiki, wanafamilia na wote  tuliopatwa na msiba huu wa marehemu Professor  Henslay William Kabisama uliyotokea huko Ontario, California, Marekani, mnaarifiwa kwamba familia itawasili...

View Article


BADO WIKI 6 TU KWA ILE BASH YA OLD SCHOOL REUNION KUBAMBA COLUMBUS OHIO

HOTELS IN COLUMBUSHampton Inn Columbus I-70 E/Hamilton Road2093 S Hamilton Rd, Columbus, OH 43232hamptoninn3.hilton.com(614) 552-2400Holiday Inn Express & Suites Columbus Southeast4041 Hamilton...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWALIMU COMMERCIAL BANK (MCB) YAKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI WA PROMOSHENI YA...

NA K-VIS BLOG/Khalfan SaidWATEJA wanne wa Mwalimu Commercial Bank PLC wamejishindia zawadi za IPAD na vocha za manunuzi baada ya kuibuka washindi kwenye Droo iliyochezeshwa na benki hiyo kufuatia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC NCHIMBI : WATUMISHI PUNGUZENI KULALAMIKA

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt Rehema Nchimbi amewataka watumishi kupunguza malalamiko na kuelekeza nguvu zao katika kuhudumia wananchi kwa mambo yanayoonekana kwa macho.Dkt Nchimbi ameyasema hayo katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DARAJA LA FURAHISHA MWANZA LAKAMILIKA

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa amesema ujenzi wa Daraja la waenda kwa miguu lililopo eneo la Furahisha na barabara ya kutoka Furahisha hadi Pasiansi yenye urefu wa KM...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA MAMIA KUAGA MWILI MAREHEMU LINAH...

Makamu wa Rais Mhe.Samia Suluhu Hassan akiongoza Viongozi mbalimbali wa Serikali,ndugu jamaa na Marafiki katika kutoa heshima za mwisho mbele ya mwili wa Marehemu Linah George Mwakyembe,mapema leo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMLAKA ZA AJIRA NCHINI ZAAGIZWA KUREKEBISHA TAARIFA ZA WATUMISHI WA UMMA...

Mamlaka za ajira katika utumishi wa umma nchini zimeelekezwa kufanya marekebisho ya taarifa za watumishi wa umma wanaotarajiwa kustaafu ili waweze kupata stahili zao kwa wakati kama inavyostahili....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI YA NMB YAWALETEA WATEJA WAKE HUDUMA YA TRADE FINANCE ILI KUENDELEZA...

Benki ya NMB imekuja na huduma yake ijulikanayo kama Trade Finance yenye lengo lakuendana na mabadiliko na kuendeleza Uchumi wa Viwanda nchini.Trade Finance ni utaratibu wa Benki ambao unamwezesha...

View Article
Browsing all 122326 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>