Quantcast
Channel: MICHUZI BLOG
Browsing all 117222 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKURUGENZI MTENDAJI WA KAMPUNI YA SIMU ZA MIKONONI YA VIATTEL TANZANIA...

Na Karama Kenyunko, blogu ya jamii.Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Viattel Tanzania (Halotel) Do Manh Hong, kampuni amepandishwa katika kizimba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu mashtaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Bayport yaikomboa Halmshauri mpya ya Chalinze kwa kuwapatia kompyuta

Na Mwandishi Wetu, ChalinzeTAASISI ya Kifedha ya Bayport Financial Services, jana iliikomboa Halmashauri mpya ya wilaya Chalinze kwa kuipatia kompyuta mbili kwa ajili ya kupunguza changamoto za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UWANJA WA NAMFUA WATOA MATUMAINI KWA WANA SINGIDA.

Uwanja wa Namfua uliopo manispaa ya Singida ambao ukarabati wake umefikia hatua ya kuridhisha umeanza kutoa matumaini kwa wananchi wa Singida ambao wamekuwa wakifuatilia kwa karibu ukarabati wake.Mkuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MISS TANZANIA AKABIDHIWA ZAWADI YAKE YA GARI

Na Humphrey Shao, Globu ya JamiiKamati ya Miss Tanzania kwa kushirikiana na kampuni ya Grace Product na Gift Jewelers wamekabidhi gari kwa Mrembo wa Shindano hilo Diana Edward Lukumai  ambaye alishinda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANESCO YAWAOMBA WANANCHI KUTOA TAARIFA MAPEMA WAONAPO HITILAFU YA UMEME...

NA K-VIS BLOG/Khalfan Said.SHIRIKA la Umeme Tanzania, (TANESCO), limewaomba wateja wake na wananchi kwa ujumla kutoa taarifa mapema mara inapotokea hitilafu ya umeme iliyosababishwa na mvua au sababu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TADB YAKARIBISHWA KUWEKEZA ARUSHA

Wito umetolewa kwa Benki ya Maendeleo ya Kilimo ya Tanzania (TADB) kuchangamkia fursa za uwekezaji katika serkta ya kilimo na mifugo kwa kuwapatia mikopo wakulima wanaojishughulisha katika sekta...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU LEO BNGENI MJINI DODODA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Kiongozi wa kambi ya upinzani Bungeni Freeman Mbowe, bungeni mjini Dodoma Mei 11, 2017     Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nchi,  Ofisi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI PAMOJA NA MGENI WAKE RAIS WA AFRIKA KUSINI JACOB ZUMA...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wafanyabiashara mbalimbali wa nchini pamoja na Afrika ya Kusini wakati aliposhiriki pamoja na Rais wa Afrika Kusini...

View Article


SERIKALI KUCHIMBA MABWAWA YA KUHIFADHIA MAJI NCHINI KOTE

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC KASESELA AFUNGUA WARSHA YA KUJENGA UELEWA KUHUSU PROGRAMU YA KUENDELEZA...

Na Mathias Canal, Iringa Mkuu wa Wilaya ya Iringa Mheshimiwa Richard Kasesela amefungua warsha ya siku tatu ya kuwajengea wadau uelewa wa pamoja kuhusu programu ya kuendeleza sekta ya kilimo Awamu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RUFAA DHIDI YA MBUNGE WA BUNDA MJINI ESTER BULAYA YATIMBA MAHAKAMA YA RUFAA...

 Aliyekuwa  kuwa Mbunge wa Jimbo la Bunda Mjini, Steven  Wassira  akiwa katika jengo la Mahakama ya Rufaa jijiji Dares Salaam akizungumza jambo na baadhi ya mawakili kabla ya kusikiliza kwa Rufaa ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WENYEVITI NA MAKAMU WENYEVITI WA KAMATI ZA KUDUMU ZA BUNGE WAKUTANA NA...

Mwenyekiti wa Bunge, Mhe. Mussa A. Zungu akifafanua jambo wakati wa semina ya pamoja iliyoandaliwa na Wabunge wa Bunge la Umoja wa Ulaya dhidi ya Wenyeviti na Makamu Wenyeviti wa kamati za kudumu za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Government Launches 'Nipo Tayari' Campaign

TANZANIA needs to end open defecation and have all people using improved toilets, to reflect the status of a middle-income country. The Minister for Health, Community Development, Gender, Elderly and...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MVUA ZAHARIBU MIUNDOMBINU YA BARABARA MKURANGA

Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiKutokana na mvua zinazoendelea katika maeneo tofauti barabara mbili zimekata mawasiliano na kufanya baadhi huduma za kijamii kushindwa kufanyika.Barabara zilizokata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASASI YA KUIMARISHA HUDUMA ZA AFYA TANZANIA (THPS) YAANDAA MKUTANO WA SIKU...

Na Ramadhani Ali-MaelezoTaasisi zinazojishughulisha na mapambano dhidi ya maambukizi ya virusi vya ukimwi (VVU) na ukimwi Zanzibar zimetakiwa kuelekeza nguvu katika makundi maalum ambayo maambukizi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PROF. MAJI MAREFU AOKOA WANANCHI WA JIMBO LAKE KWENYE MAFURIKO

 Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani maarufu kama Prof Maji Marefu akitoa msaada wa kuwaokoa wananchi wa Jimbo lake kwenye mafuriko yaliyotokana na mvua zinazoendelea kunyesha maeneo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA AFRIKA KUSINI JACOB ZUMA AWASILI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM NA...

 Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma akipunga mkono wakati akiwasili Ikulu akiwa pamoja na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

View Article


BBC DIRA YA DUNIA ALHAMISI 11.05.2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LG YAZINDUA BIDHAA YA MPYA YA KIYOYOZI INAYOTUMIA UMEME MDOGO NA RAFIKI KWA...

 Mkurugenzi Mtendaji LG Electronics Afrika Logistics, Janghoon Chung akingumza na waandishi habari juu ya ubora wa viyoyozi vya LG iliyofanyika leo  katika Hoteli ya Hyatt Legency jijini Dar es Salaam....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUMBUKUMBU ya Marehemu Mzee Stephano Mnyika

View Article
Browsing all 117222 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>